Rais Magufuli aagiza Madaktari waliohama Hospitali ya Rufaa mkoani Tabora kwenda Hospitali binafsi kwa kisingizio cha maslahi wafuatiliwe

Rais Magufuli aagiza Madaktari waliohama Hospitali ya Rufaa mkoani Tabora kwenda Hospitali binafsi kwa kisingizio cha maslahi wafuatiliwe

Kuna wachangiajii humu bado wanasifiaa kauli za meko na jambo hilo linanisikitisha sanaa ila uzuri miaka bado minne ipo siku yako na wewe utapapaswaa........ Inawezekan huyo doctor alikuwa mzee wa mitano tena haya sasa kumekucha upande wake
 
Huu ni upumbavu, Rais lazima asaidiwe na wasaidizi wake.....kauli zake za siku hizi hata chekechea anashangaa. Kuwekeana masharti mtu anatafuta maisha yake ni ujinga, ajirini wengine wapo mtaani kibao tu...........what if alijisomesha mwenyewe hakutumia huu mkopo ambao umeturudisha kwenye Ukoloni aliopambana nao Nyerere.
Last

BoldItalicMore options…

Insert linkInsert imageMore options…
UndoMore options…
Preview

Font sizeText colorFont familyListAlignment
  • Align left
  • Align center
  • Align right
  • Justify text
Paragraph formatStrike-throughUnderlineInline spoilerInline code
SmiliesQuoteMediaInsert tableInsert horizontal lineSpoilerCodeSubscriptSuperscript
RedoToggle BB codeRemove formattingDrafts
Huu ni upumbavu, Rais lazima asaidiwe na wasaidizi wake.....kauli zake za siku hizi hata chekechea anashangaa. Kuwekeana masharti mtu anatafuta maisha yake ni ujinga, ajirini wengine wapo mtaani kibao tu...........what if alijisomesha mwenyewe hakutumia huu mkopo ambao umeturudisha kwenye Ukoloni aliopambana nao Nyerere.
Vilevile hatakama alikopeshwa na serikali, je masharti ya mkopo ni lazima afanye kazi serikalini? Mbona hata akiwa hospitali binafsi anahudumia Watanzania? Anachotakiwa rais kufanya ni kuboresha maslahi ya watumishi wa umma, na sio kuwatumikisha kwa nguvu na kuwazuia kufuata fursa nyingine wanazoona zinaweza kuinua maisha yao. Yeye alipoacha ualimu akagombea ubunge, kama angezuiwa, leo angekua ikulu? Asijisahau sana alikotoka. Hata alipokua waziri ktk serikali ya JK, alifanya makosa madogo madogo kibinadamu, ila rais hakumfukuza kama yeye anavodhalilisha watumishi kipindi hiki. Alimpa nafasi ya kujirekebisha. Hapa sisemi alee uzembe, ila adhabu iwe kwa lengo la kumfanya mkosaji ajisahihishe na sio kumharibia maisha yeye na wategemezi wake. Hapa watakuja wale wanaosifu kila kauli ya kiongozi bila kuitafakari. Fikiri hivi: Wewe ni daktari una watoto wanadona sekondari na vyuo na a mikopo wamenyimwa. Unalipwa na serikali labda sh. 2m/= p.m. Kisha unapata ajira sekta binafsi kwa mshahara labda 3.5m/= p.m., ukiamua kwenda huko kosa lako ni lipi? Na ile hospitali binafsi inayokuajiri ina kosa gani? Hivi siku hizi ukiwa mtumishi wa serikali huna tena uhuru wa kuacha kazi ukitaka?
Post reply

Attach files

Similar Discussions​

Share
NEdit

Nziiri

Senior Member
Messages146Reaction score106Trophy points250


WHO WE ARE​

JamiiForums is a 'User Generated Content' site; anyone can register (MUST) and comment or start a new topic.
You are always welcome!
Read more...

WHERE ARE WE?​

We have our offices in Dar es Salaam but we still work virtually.
For anything related to this site please Contact us.
Contact us now...

DISCLAIMER​

JamiiForums, its partners, affiliates and advertisers are not responsible for the content of threads/topics that are submitted by users..
Read more...

FORUM RULES​

JamiiForums is moderated under the rules set by users and moderators to safeguard you.
You MUST read them and comply accordingly.
Read more...

PRIVACY POLICY​

We are committed to respecting your privacy rights when visiting any JamiiForums.com page, such as this one.
Read our Privacy Policy.
Proceed here...



Rais Magufuli ameagiza Madaktari waliohama Hospitali ya Rufaa mkoani Tabora kwenda Hospitali binafsi kwa kigezo cha maslahi wafuatiliwe | JamiiForums
There are more posts to display. View them?
[IMG alt="Kazitunayo"]https://www.jamiiforums.com/data/avatars/m/133/133997.jpg?1470343916[/IMG]

Kazitunayo

JF-Expert Member​

Mi 5 tena
Azim Sokoine said:
Kwa sasa nchi imekua ngumu sana aisee

Thanks Quote Reply
Report
[IMG alt="Lambardi"]https://www.jamiiforums.com/data/avatars/m/9/9121.jpg?1207579794[/IMG]

Lambardi

JF-Expert Member​

Mitano tena .....awamu mwisho mtajuta

Thanks Quote Reply
Report
N

Nziiri

Senior Member​

Chukwuemeka Takpo said:
Huu ni upumbavu, Rais lazima asaidiwe na wasaidizi wake.....kauli zake za siku hizi hata chekechea anashangaa. Kuwekeana masharti mtu anatafuta maisha yake ni ujinga, ajirini wengine wapo mtaani kibao tu...........what if alijisomesha mwenyewe hakutumia huu mkopo ambao umeturudisha kwenye Ukoloni aliopambana nao Nyerere.
Click to expand...
Vilevile hatakama alikopeshwa na serikali, je masharti ya mkopo ni lazima afanye kazi serikalini? Mbona hata akiwa hospitali binafsi anahudumia Watanzania? Anachotakiwa rais kufanya ni kuboresha maslahi ya watumishi wa umma, na sio kuwatumikisha kwa nguvu na kuwazuia kufuata fursa nyingine wanazoona zinaweza kuinua maisha yao. Yeye alipoacha ualimu akagombea ubunge, kama angezuiwa, leo angekua ikulu? Asijisahau sana alikotoka. Hata alipokua waziri ktk serikali ya JK, alifanya makosa madogo madogo kibinadamu, ila rais hakumfukuza kama yeye anavodhalilisha watumishi kipindi hiki. Alimpa nafasi ya kujirekebisha. Hapa sisemi alee uzembe, ila adhabu iwe kwa lengo la kumfanya mkosaji ajisahihishe na sio kumharibia maisha yeye na wategemezi wake. Hapa watakuja wale wanaosifu kila kauli ya kiongozi bila kuitafakari. Fikiri hivi: Wewe ni daktari una watoto wanasoma sekondari na vyuo na a mikopo wamenyimwa. Unalipwa na serikali labda sh. 2m/= p.m. Kisha unapata ajira sekta binafsi kwa mshahara labda 3.5m/= p.m., ukiamua kwenda huko kosa lako ni lipi? Na ile hospitali binafsi inayokuajiri ina kosa gani? Hivi siku hizi ukiwa mtumishi wa serikali huna tena uhuru wa kuacha kazi ukitaka?
 
Kuna mtu aliacha kufundisha akaenda kwenye siasa nae huyo tumfanyeje????
Akajibu asiekuwa na dhambi na achakue jiwe ampige huyo daktari.
Akaongeza akasema kwa nini wakitizama kibanzi kilicho jicho la daktari ilihali jichoni mwako kuna kiboriti.......
 
Inawezekana alipata Grant sio Mkopo... Grant kuna amsharti yake
Mkataba wa grants kwa Wanafunzi wanaosoma MD na DDS kwa MUHAS uliokua unatolewa enzi za serikali ya awamu ya nne, ulikuwa unamtaka mnufaika kufanya kazi Tanzania kwa miaka mitano Mara baada ya kuhitimu chuo. Hakuna sehemu ya mkataba iliyokuwa inastate kuwa lazima kufanya kazi kwenye Taasisi ya Serikali.
 
Itoshe kusema hili zee ni taahira! Kwani mtu akiendam kufanyakazi sekta binafsi halipi mkopo? Hii akili utopolo ni ya wapi hii? Huyu mzee siyo Mtanzania huyu!
 
Jamaa anachoweza ni usimamizi tuu , Ila Sera za uchumi jamaaa ni wa hovyo mnoo, na watanzania wasitegemee lolote Kwa huyu jamaaa...wataendelea kuwa maskini wa kutupwa kadri atakavyoendelea kuwa madarakan....

Kuajiri hatak, kuongeza mishahara hatak , wanaojaribu kujinasua anawagonga nyundo ...., Kwenye kujiajiri huko sasa utitiri wa Kodi mpaka unavuja jasho....

Na still anawatukana wahisani hadharani
Mataga watakupinga. Umaskini unazidi kuwa juu kwa speed ya rocket. Tatizo ni jiwe (non-living matter).
 
Tatizo lako wewe uelewi hata kwanini serikali inafanya aina fulani za investment.

Serikali inajukumu la kugharamia ‘merit goods’ maana yake nini serikali isiposomesha, kujenga shule, kutoa huduma za afya na uwekezaji mwingine wenye faida za jamii watakaofaidika ni wachache wenye hela.

Sasa serikali imekusomesha kwa faida ya jamii maana yeye ndio mtoaji huduma pia kwa watanzania maskini tulio wengi.

Mtu anatakiwa akaitumikie jamii ambayo inamuhitaji kama sababu za kusomeshwa kwake na kupewa experience. Anafika huko anaona hakufai sijui amepewa offer yenye maslahi mapana zaidi yule aliyekutengeneza unamuona fala.

Na unadhani Drs are entitled to that wakati kupata replacement yake ni shida.

Magufuli yupo right hapa huyo daktari ateme hela ya serikali tena anaondoka bila ya kujali kama kuna mtu wa-ku replace nafasi; halafu mnataka achekewe.
Alipotembelea Tanga miaka miwili iliyopita alisema Mfanyakazi yeyote ambaye hajaridhika na mshahara aende akalime au atafute kazi ya kufanya,sasa mtu ameona kipato chake hakitoshi akaenda private unamfuatilia wakati wewe umebana mapato lakini kwenu kunachanua kila siku huu ni uhuni.
 
Kazi kutetea ujinga!!
Kama rahisi ivyo nenda kawaambie hao private wachukue new graduates tu wawape wao hizo practice skills, wamejaa mitaani mpaka wengine wanaona bora wakalime.

Yaani watu wapatie ujuzi serikalini halafu wakishafikia hatua za kuaminika wengine wavune.

You ppl are not serious.
 
Mbona wanasiasa wanakula hela za serikali za kila siku mnawaacha. Si jana kasamehewa alonunua gari la anasa na zahanati hazina ambulance.
Kwa hiyo ndiyo maana nyinyi na Wanasiasa mmeaamua kutuibia sisi Wananchi!?
 
,,,,,,,hii inatwa psychological phobia of leadership,,,,,isitoshe there is no permanent situation in life.Tuzidi kuwaombea viongozi wetu kwa Mungu.
 
Alipotembelea Tanga miaka miwili iliyopita alisema Mfanyakazi yeyote ambaye hajaridhika na mshahara aende akalime au atafute kazi ya kufanya,sasa mtu ameona kipato chake hakitoshi akaenda private unamfuatilia wakati wewe umebana mapato lakini kwenu kunachanua kila siku huu ni uhuni.
Inategemea na aina ya mfanyakazi, daktari ni precious serikalini kwa sasa.

Wawe wazalendo serikali inajitahidi inavyoweza kuboresha maslahi yao but the resources are limited.
 
Wapo wengi madaktari wanazurura na vyeti vyao akawachukue hao wafanye uzalendo anaoutaka,ajabu hao hao madaktari wanaozurura ,kila siku anawaambia wakajiajiri hizi kauli hazina tija kwa taifa huru.
Kwanini private isichukue hao?
 
Back
Top Bottom