Rais Magufuli aamuru Kikokotoo kilichokuwa kinatumiwa awali kiendelee hadi 2023 (kulingana na mfuko husika)

Rais Magufuli aamuru Kikokotoo kilichokuwa kinatumiwa awali kiendelee hadi 2023 (kulingana na mfuko husika)

Mheshimiwa Raisi anaongea na viongozi wa vyuma wafanyakazi,nimelipongeza sana,yani moyo wangu umesuuzika sana. Asante sana Mpendwa rais wetu. Pia tuangalie tulio sekta binafsi kwani sisi mkataba wetu mrefu miaka miwili,fao la kujitoa pia liangaliwe.
Kweli kwa hili umenigusa sana.
 
Kuna yeyote ambaye kazungumzia Fao la Kujitoa?
Mi nashangaa , hakuna anayeizungumzia hata kidogo , Kama ss wafanyakazi wa private ambao mikataba yetu inaisha ndani ya mda mfupi haingii akilini eti usubiri mpka miaka 55 au upate asilimia 33 ya mshahara kwa mirzi sita
 
Wewe ni ke/me?
raha sana! ukiwa umeajiriwa na serikali au shirika la umma wewe ni kama mtoto wa familia bora usipolizika unajiliza kisha baba anakuja kukubembeleza!

sasa njoo huku sekta binafsi ikiwa mshahara 300,000 ni hiyo tu na haitegemei kupanda na hakuna huduma zingine kama matibabu

changamoto ya maisha haya inakuja pale kazi inapokwisha uishi maisha binafsi kama haukujipanga na kwa bahati mbaya ulikuwa na kipato kidogo na nyongeza ulichelewa kuoa na kujenga familia hivyo mtoto wa kwanza yuko form two!

hivyo nawashauri tumieni fursa ya kuajiriwa kukopa na kuwekeza sio kununua vigari kila kukicha hatuoni wivu lakini ndo ukweli tulioko huku tunaona fursa mnazo sana kuzidi mnavyofikiria.

hivi kuna tabu gani ukakopa ukanunua bajaji ukatumia kama 7,000,000/- mpaka 8,000,000 kwa siku ukapata 20,000 ambazo kwa mwaka ukapata 7,200,000/- inayotosha kusimamisha nyumba ndogo ya kupangisha ya vyumba viwili mpaka linta? tutaendelea nina mteja kwanza
 
Ni imani yetu wastaafu watapatiwa mafao yao kwa wakati na wapatiwe 100%
Mie nakubaliana na kuunga mkono kbs mswaada wa serikali.kuna jirani yangu amelipwa ml150.akanunua nyumba 2.akapata na kausafiri,akafungua na biashara,lkn leo hana hata 100.na nyumba moja keshauza tayari.kw ss anateseka,hana hata mia mfukoni.lkn vp angekuwa analipwa laki 8 zake kila mwez?!

Sent using Jamii Forums mobile app
 
This time around serikali inafanya mchezo wa "hide and seek". Yaani una create tatizo na baadaye unakuja na majibu yake. Baadaye unasimama mbele ya makamera na kusitisha 25%, hii ni serikali ya wanyonge ndugu zangu😂😂😂😂😂
nani kakwambia atasitisha subiri majibu. atakacho fanya labda kuongeza 5%-10% na itakomea hapo.
 
Hongera Esther Bulaya, hongereni Wapinzani, hongereni Wote mliotetea na kusimama na Wafanyakazi muda Wote. CCM Ni slow learners siku zote. Sheria hiyo imetungwa na serikali JIWE akiwa anafahamu na kutoa maelekezo. Sheria hiyo ilipitishwa kwa wingi wa Kura na Wabunge wa CCM licha ya kupingwa na Wapinzani. CCM msijifanye mnawajali Wanyonge, nyie Ni Kupe na Chawa mnaowamaliza Wanyonge katika Taifa hili. Leo hii JIWE anajadili Nini asichokijua? Au kwakuwa Watanzania wengi wapo gizani basi Ni mwendo wa kutengeneza Tatizo na kulitatua baadae?

Wito kwa Wapinzani! Huu ndio mwaka Mzuri wa kupaza sauti zaidi, ATAFANYA hata Kama Hapendi ili tu, Uchaguzi wa Serikali za mitaa na Uchaguzi Mkuu ujao apate kura. Pazeni sauti kwa Maslahi ya Wanyonge wa nchi hii, sauti hii itasikilizwa Sana hii miaka miwili!

Sent using Jamii Forums mobile app
Had jiwe naye ni slow leana[emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3]

Sent using Jamii Forums mobile app
 
ATUAMBIE TU AMESAINI KIMAKOSA HIYO SHERIA ,ITAREKEBISHWA
NB: FAO LA KUJITOA PRIVATE SEKTA
 
Naona wawakilishi wa wafanyakazi wanapendekeza 40% na mshahara wa mwisho utumike.

Naona wengi wana hofu ila naona taratbu wanafunguka.

Inaonekana wamenasa mtego wa kumwaga sifa
 
Hivi hyu mtu kwa nini anapenda macamera sna ila matanzania majinga mtu anatengeneza ttzo yy halafu anakuja kulitatua mbele ya kamera halafu mnamshangalia\stupid
 
Back
Top Bottom