titimunda
JF-Expert Member
- Nov 26, 2014
- 7,571
- 9,789
NenoNaona anakwenda kutengua sheria mpya ya kikokotoo ili apate credit kama kawaida yake
Unaanzisha tatizo then unatatua mwenyewe hiyo inasaidia manyumbu wa lumumba kumuona ni mtetezi wao
Sent using Jamii Forums mobile app
Sent using Jamii Forums mobile app