JUAN MANUEL
JF-Expert Member
- Nov 26, 2010
- 7,808
- 16,972
Haya mavyeo ya kupeana kwa jinsi mtu anavyoamka siku hiyo,yanalitia Taifa hasara,Rais Magufuli leo July 19,2020 amefanya mabadiliko ya uteuzi alioufanya July 17,2020 ambapo amemteua aliyekuwa Meneja wa TANROADS Mkoa wa Mwanza, Mhandisi Marwa Mwita kuwa RC Njombe, Mwita ameteuliwa badala ya Jumanne Fhika ambaye atabaki Ofisi ya Rais kuendelea na majukumu yake.
View attachment 1510811
Kwa akili yako ndogo ukidhani yupo rais tuKumbe ofisi ya rais kuna wafanyakaz kibao
HAAAAHAAAAAHAAAA NIMECHEKA KAMA KIBOSILE WAKATI HATA CHAPA JAILII MFUKONI.😀😀😀😀😀😀📻Wale Wataalamu wa Nyota... hivi huu ndo Mwezi Mchanga, au ni Upepo wa Kusi?! Hoyaa Mshana Jr, hivi huku kwenye mambo ya Mwezi Mchanga huna utalaamu nako?!
Kule Uswahilini kwetu nasikia kuna kitu kinaitwa kipaipai! Nasikia watalaamu wa kipaipai huwa wanafunga kikaratasi kwenye mti!! Sasa ngoja pepo la kusi lianze kupeperusha kikaratasi huku na huko constantly!!!
Ndo hapo unakuta jamaa mmekaa mnapiga nae stori, mara anainuka huyoo, mbele kidogo mara anasimama na kurudi alikotoka kabla hajabadili tena njia kueelekea upande mwingine... ni mwendo wa kufuata mwelekeo wa kikaratasi hadi Kusi lipite!!
Halafu hata sijui nilitaka kusema nini hasa hapo... cjui na mimi ndo Pepo la Kusi lenyewe!!!
Ila tuache masihara... Watanzania tuweke siasa pembeni tukisake hicho kikaratasi kwa udi na uvumba kabla hamjasikia Bashite kateuliwa kuwa RPC Kanda Maalumu ya Kinondoni!!
Kwa sababu haumoTeuzi awamu hii zimeshapoteza maana kabisa!!
Eeeh ndio nkajua yupo anko magu tu[emoji28]Kwa akili yako ndogo ukidhani yupo rais tu
InaitwajeNi wizara kamili.
Huyo Marwa vetting imekurupuka sana wampekue vizuri ni mchafu sana corruptly & mtumiaji ovyo wa madaraka
Pia wamesoma sana . mfano mzuri saivi mkurya akaachana na ng'ombe amejizatiti katika kusomesha na biashara. Zamani ile kanda waliyosoma kwanza wakurya Ilikuwa ni cows in blood really in blood. Kuua kisa kuiba cows ni easy task at him.Really now!?... Hii ni Sawa na kusema wabunge wa CCM wamejazana kwenye kamati za kudumu za Bunge bila kutilia maanani wao ndio wengi Bungeni...FYI kanda Ile INA 1/3 ya population ya nchi hii. Na demokrasia mara nyingi unasema wengi wape.
Hata MIE sijachoka na tumbuatumbua hii mkuu. So aendelee nayo tyWananchi wepi hao unaowasemea kuwa wamechoka na tumbua tumbua ya jembe magufuli? Jisemee mwenyewe,mbona Mimi sijachoka?
JPM hapendi mazoea kazini acha watu wazoee kuishi kwa maadili ya kiutumishi wa umma.
Inaitwaje
Ndio maana wanakimbilia ubunge, imagine Fikha alikua anajiandaa ukuu wa Mkoa mara karudi kuwa desk officerRais Magufuli amemteua mhandisi Marwa Mwita Rubirya kuwa mkuu wa mkoa wa Njombe badala ya Dr Jumanne Fikha anayerudi ofisi ya Rais.
Nawatakia Dominica yenye baraka!
Dk Fikha ni mtu mkubwa!Ndio maana wanakimbilia ubunge, imagine Fikha alikua anajiandaa ukuu wa Mkoa mara karudi kuwa desk officer
Roving journalist mtaani kwake ni hapa Jf!Tumechoka na hizi post za uteuzi,
Mtaani kwako au kijijini kwenu hakuna mambo ya muhimu yanayoizunguka jamii yako ukatupostia?
Mimi mgeni ngoja niendelee na kilimo subirini uteuziWanasema mteuaji mara nyingi hua anafanana na anaowateua mkuu.Au unaonaje mkuu?
Mimi mgeni ngoja niendelee na kilimo subirini uteuzi
So kwenye URC ilikuwa demotion?Dk Fikha ni mtu mkubwa!
Rais anabadilika kama kinyonga.