Rais Magufuli afanya Mabadiliko ya teuzi, amteua Mhandisi Mwita kuwa RC Njombe

Haya mavyeo ya kupeana kwa jinsi mtu anavyoamka siku hiyo,yanalitia Taifa hasara,
Unamteua mtu leo,baada ya saa 48,unatengua,kama si kukurupuka ni nini?
 
HAAAAHAAAAAHAAAA NIMECHEKA KAMA KIBOSILE WAKATI HATA CHAPA JAILII MFUKONI.😀😀😀😀😀😀📻
 
Really now!?... Hii ni Sawa na kusema wabunge wa CCM wamejazana kwenye kamati za kudumu za Bunge bila kutilia maanani wao ndio wengi Bungeni...FYI kanda Ile INA 1/3 ya population ya nchi hii. Na demokrasia mara nyingi unasema wengi wape.
Pia wamesoma sana . mfano mzuri saivi mkurya akaachana na ng'ombe amejizatiti katika kusomesha na biashara. Zamani ile kanda waliyosoma kwanza wakurya Ilikuwa ni cows in blood really in blood. Kuua kisa kuiba cows ni easy task at him.
Sasaivi kuna bilionea amepata Hela kama 6+ bilioni Machimbo ya buhemba. Baada ya laizer akapatikana huyu.
 
Huyo aliyekuwa ameteuliwa ikiwa alikuwa amechinja hadi ng'ombe ya kufurahia uteuzi vipi atalipwa hiyo hasara!!
 
Tumechoka na hizi post za uteuzi,

Mtaani kwako au kijijini kwenu hakuna mambo ya muhimu yanayoizunguka jamii yako ukatupostia?
 
Rais Magufuli amemteua mhandisi Marwa Mwita Rubirya kuwa mkuu wa mkoa wa Njombe badala ya Dr Jumanne Fikha anayerudi ofisi ya Rais.

Nawatakia Dominica yenye baraka!
Ndio maana wanakimbilia ubunge, imagine Fikha alikua anajiandaa ukuu wa Mkoa mara karudi kuwa desk officer
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…