Rais Magufuli leo amekutana na msomi mbobezi duniani Prof Patrick Lumumba Ikulu jijini Dsm.
Rais Magufuli amempongeza Prof Lumumba kwa namna anavyojitahidi kuwashauri viongozi wa Afrika namna ya kuzifanya nchi zao zijitegemee.
Nay Lumumba amempongeza Dr Magufuli kwa jinsi alivyoibadilisha Tanzania kutoka kuwa Taifa tegemezi hadi kuwa taifa linalojitegemea.
Prof Lumumba amesisitiza kuwa anaipenda sana kaulimbiu ya Hapa Kazi Tu iliyoasisiwa na mzalendo wa kweli barani Afrika Rais Magufuli
Source ITV habari!