Rais Magufuli afanya mazungumzo na msomi Prof Patrick Loch Otieno Lumumba, msomi huyu ammwagia sifa lukuki Dr Magufuli

Rais Magufuli afanya mazungumzo na msomi Prof Patrick Loch Otieno Lumumba, msomi huyu ammwagia sifa lukuki Dr Magufuli

Rais Magufuli leo amekutana na msomi mbobezi duniani Prof Patrick Lumumba Ikulu jijini Dsm.

Rais Magufuli amempongeza Prof Lumumba kwa namna anavyojitahidi kuwashauri viongozi wa Afrika namna ya kuzifanya nchi zao zijitegemee.

Nay Lumumba amempongeza Dr Magufuli kwa jinsi alivyoibadilisha Tanzania kutoka kuwa Taifa tegemezi hadi kuwa taifa linalojitegemea.

Prof Lumumba amesisitiza kuwa anaipenda sana kaulimbiu ya Hapa Kazi Tu iliyoasisiwa na mzalendo wa kweli barani Afrika Rais Magufuli

Source ITV habari!
HUYO PROFESA NJAA, HANA MAANA. HAJUI ANACHOONGEA, ANGEKUWA ANAONGEA LA MAANA BASI ANGEKUWA NEUTRAL LAKINI ANAENDA KWA MAGUFULI ILI AMPE SIFA. INA MAANA HAYO MAMBO ANAYOFANYA MAGUFULI HUYU PROFESA UCHWARA HAYAONI?
 
Kenya ina wasomi wazuri sana sijui huyu Mjaluo mwenye Njaa hivi katokea wapi?
 
SISI BAVICHA TUNASEMA LUMUMBA ANAJIPENDEKEZA APATE UTEUZI,UDC
 
HUYO PROFESA NJAA, HANA MAANA. HAJUI ANACHOONGEA, ANGEKUWA ANAONGEA LA MAANA BASI ANGEKUWA NEUTRAL LAKINI ANAENDA KWA MAGUFULI ILI AMPE SIFA. INA MAANA HAYO MAMBO ANAYOFANYA MAGUFULI HUYU PROFESA UCHWARA HAYAONI?
Bwashee usimfananishe Lumumba na Prof Jay!
 
Back
Top Bottom