Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mpunga haujakata bwashee........ Ile itachongwa hadi njia panda ya Vikawe na kandarasi yuko site ameshalipwa anachostahili!Oyaa. Hii Bara bara ya bagamoyo pale mapinga.mbona wameichimba chimba tu alafu wameitelekeza?
Kuanzia pale mapinga mpaka kwa kibosha.
Au mpunga umekataa?
Sasa hivi wameweka zile kokoto nyeusi tena kwa mafungu.
Sent using Jamii Forums mobile app
Mpunga haujakata bwashee........ Ile itachongwa hadi njia panda ya Vikawe na kandarasi yuko site ameshalipwa anachostahili!
Jina la Rais wako tu ni la umombo...Unafikiri hao jamaa wana ulimbukeni kama ulio nao. Wote wanazungumza Kiswahili, kimombo cha nini?
Pumbavu
In God we Trust
Kudadadeeeki hawana ubavu huoManunuzi yanataka kuhamia jf hehe
Sawa bwashee wasalimie huko migombani!Umepita hivi karibuni?wameichimba alafu wameacha.ngoja nikirudi nitakupigia picha niweke . sasa Inakaribia mwezi.
Sent using Jamii Forums mobile app