Rais Magufuli afanya mazungumzo na msomi Prof Patrick Loch Otieno Lumumba, msomi huyu ammwagia sifa lukuki Dr Magufuli

Rais Magufuli afanya mazungumzo na msomi Prof Patrick Loch Otieno Lumumba, msomi huyu ammwagia sifa lukuki Dr Magufuli

Namna bora ya kutetea rasilimali ni kufanya uwekezaji kwenye vichwa vya watu... Hizi blah blah zetu WaAfrica haziwezi kutufikisha popote.. tuwape watu wetu elimu bora inayoendana na wakati tuliopo kwa maarifa yaliyoshiba kulingana na kasi ya dunia..

Hawa wasomi wetu wanasiasa waliozoea kuishi kwa blah na maneno meengi.. Duniani anaheshimika yule mwenye uwezo wa kugeuza rasimali zilizopo kwenye matumizi ya binadamu ndio maana walioendelea wamewekeza kwenye science and technology na sio blah blah zisizo na msaada za hawa wapiga porojo..
 
Kama uraia mimi ningependekeza apewe Mkulima maarufu Mzee Stayn
Ushujaa aliouonyesha katika kudai chake umetufunza mengi haswa kwenye kukomaa mpaka kieleweke hata kama waziri anakukodolea mimacho kama chura
Huyu naye alikwisha tulipa mahela yetu? Au serikali ilimsamehe.
 
Tanzania hairuhusu uraia wa nchi mbili, je ataukana u-Kenya?

Halafu akipewa uraia asipewe ajira nyeti kihasara hivyo, watanzania wengi sana wamemzidi iq. Kwa nini afike tuu na kupewa ajira wakati watanzania kibao wanasota mtaani bila ajira!

Unforgetable
Hizo ni stori za kwenye vijiwe vya kwenye kahawa. Lakini hata kama akipewa hawezi kukubali. PLO ana akili sana kwani anajua aliyempa anaweza kumgeuka wakati wowote!
 
😎😎😎😎😎😎😎😎😎😎😎😎😎😎😎🤔🤔🤔🤔🤔🤔
 
Halo wana JF.

Kuna tetesi nimepata kutoka chanzo nyeti serikalini, kuwa Professor Patrick Lomomba maarufu PLO wa nchini Kenya, atapewa uraia wa Tanzania siku yoyote ndani ya mwezi march 2020.

Lomomba ni msemaji hodari yaani kwa kingereza good orator. Amekuwa mshambuliaji mkuu wa mabeberu kwa kutetea raslimali za Africa na pia mfuasi mkubwa wa Rais Magufuli. Anaandaa kitabu cha The Magufulication of Africa.

Inadaiwa ktk tetesi hizo atakabidhiwa idara nyeti ya kupambana na ufisadi humu nchini Tanzania lakini inadaiwa wahafidhina serikalini ambao hawaamini watani wetu wa Kenya, wanapendekeza kama serikali imempenda gwiji hili la sayansi ya siasa, wampe chuo kikuu kimoja wapo nchini awe Vice Chancellor.

Naendelea kutafuta ukweli wa tetesi hii kabla muda haujaongea mwezi march 2020.
Ee ndio Lomomba
 
Kuna uwezekano wa kuteuliwa ubunge na kupewa u waziri. English ya Lomomba imemkosha bwana yule, foreign affairs inaweza kupata mtu mbadala.
 
Lumumba ni bwege tu Kama lipumpa makao ya ccm yanaitwa lumumba kaniona yupo nyumbani mganga njaa na kiingereza chake Cha kukariri
Kiboko yake miguna miguna
 
Back
Top Bottom