Rais Magufuli afanya mazungumzo na msomi Prof Patrick Loch Otieno Lumumba, msomi huyu ammwagia sifa lukuki Dr Magufuli

Rais Magufuli afanya mazungumzo na msomi Prof Patrick Loch Otieno Lumumba, msomi huyu ammwagia sifa lukuki Dr Magufuli

Ni vigezo gani vinavyotumika kutoa uraia wa Tanzania kando na kuunga mkono juhudi na ameomba epewe huo uraia au ameombwa na yule anayelengwa kusifiwa kwenye kitabu.

In my view, this is nonsense and I think it doesn't aim to benefit this country but the one who is the behind this bogus project.
 
Namna bora ya kutetea rasilimali ni kufanya uwekezaji kwenye vichwa vya watu... Hizi blah blah zetu WaAfrica haziwezi kutufikisha popote.. tuwape watu wetu elimu bora inayoendana na wakati tuliopo kwa maarifa yaliyoshiba kulingana na kasi ya dunia..

Hawa wasomi wetu wanasiasa waliozoea kuishi kwa blah na maneno meengi.. Duniani anaheshimika yule mwenye uwezo wa kugeuza rasimali zilizopo kwenye matumizi ya binadamu ndio maana walioendelea wamewekeza kwenye science and technology na sio blah blah zisizo na msaada za hawa wapiga porojo..
Tatizo ndiyo hilo
 
Baada ya Huyu ni Obama
Yaani badala ya kuelemisha vijana watakaoendana na dunia ya leo
Bado tunaajiri wazee na fikra za ujima


Sent from my iPhone using Tapatalk
 
Halo wana JF.

Kuna tetesi nimepata kutoka chanzo nyeti serikalini, kuwa Professor Patrick Lomomba maarufu PLO wa nchini Kenya, atapewa uraia wa Tanzania siku yoyote ndani ya mwezi march 2020.

Lomomba ni msemaji hodari yaani kwa kingereza good orator. Amekuwa mshambuliaji mkuu wa mabeberu kwa kutetea raslimali za Africa na pia mfuasi mkubwa wa Rais Magufuli. Anaandaa kitabu cha The Magufulication of Africa.

Inadaiwa ktk tetesi hizo atakabidhiwa idara nyeti ya kupambana na ufisadi humu nchini Tanzania lakini inadaiwa wahafidhina serikalini ambao hawaamini watani wetu wa Kenya, wanapendekeza kama serikali imempenda gwiji hili la sayansi ya siasa, wampe chuo kikuu kimoja wapo nchini awe Vice Chancellor.

Naendelea kutafuta ukweli wa tetesi hii kabla muda haujaongea mwezi march 2020.
Fanya utafiti wako vizuri.
Tume ya kupambana na Ufisadi alikabidhiwa ya Kenya ikamshinda. Kwenye manguli ya ufisadi.
Sasa hapo Tanzania kwenu atafanya nini na ufisadi.

PLO anazunguka nchi nyingi sana Afrika, wote watampatia uraia?!

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Lomomba! lomomba! Hata akipewa ukuu wa majeshi, who cares?
Tetesi za kijinga kama mjinga aliyemleta lomomba na ujinga wake.
Chochote atakachopewa hakita add value kwenye maisha yetu.
 
Unaona walivyofanya. Hapo
Sawa bwashee wasalimie huko migombani!
View attachment 1369305
20200226_073224.jpeg
20200226_073456.jpeg


Sent using Jamii Forums mobile app
 
Halo wana JF.

Kuna tetesi nimepata kutoka chanzo nyeti serikalini, kuwa Professor Patrick Lomomba maarufu PLO wa nchini Kenya, atapewa uraia wa Tanzania siku yoyote ndani ya mwezi march 2020.

Lomomba ni msemaji hodari yaani kwa kingereza good orator. Amekuwa mshambuliaji mkuu wa mabeberu kwa kutetea raslimali za Africa na pia mfuasi mkubwa wa Rais Magufuli. Anaandaa kitabu cha The Magufulication of Africa.

Inadaiwa ktk tetesi hizo atakabidhiwa idara nyeti ya kupambana na ufisadi humu nchini Tanzania lakini inadaiwa wahafidhina serikalini ambao hawaamini watani wetu wa Kenya, wanapendekeza kama serikali imempenda gwiji hili la sayansi ya siasa, wampe chuo kikuu kimoja wapo nchini awe Vice Chancellor.

Naendelea kutafuta ukweli wa tetesi hii kabla muda haujaongea mwezi march 2020.
Je PLO alifanikiwa vita vya ufisadi alipokuwa director of Kenya anti-corruption commission?
 
Back
Top Bottom