LIMBOMAMBOMA
JF-Expert Member
- Oct 3, 2017
- 10,482
- 14,007
Yaani hii mbegu chafu ya kikenya iletwe hapa Tanzania
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kaamua kumzushia mtu asiyemjua.. Ndio tatizo
Tatizo ndiyo hiloNamna bora ya kutetea rasilimali ni kufanya uwekezaji kwenye vichwa vya watu... Hizi blah blah zetu WaAfrica haziwezi kutufikisha popote.. tuwape watu wetu elimu bora inayoendana na wakati tuliopo kwa maarifa yaliyoshiba kulingana na kasi ya dunia..
Hawa wasomi wetu wanasiasa waliozoea kuishi kwa blah na maneno meengi.. Duniani anaheshimika yule mwenye uwezo wa kugeuza rasimali zilizopo kwenye matumizi ya binadamu ndio maana walioendelea wamewekeza kwenye science and technology na sio blah blah zisizo na msaada za hawa wapiga porojo..
Anaitwa Patrick Lomomba kwa kifupi PLO Na sio Patrice Lumumba wa Congo, haya majina hayafanani hata kidogo ila marehemu Mkongomani amelifunika jina la Professor.Ee ndio Lomomba
Fanya utafiti wako vizuri.Halo wana JF.
Kuna tetesi nimepata kutoka chanzo nyeti serikalini, kuwa Professor Patrick Lomomba maarufu PLO wa nchini Kenya, atapewa uraia wa Tanzania siku yoyote ndani ya mwezi march 2020.
Lomomba ni msemaji hodari yaani kwa kingereza good orator. Amekuwa mshambuliaji mkuu wa mabeberu kwa kutetea raslimali za Africa na pia mfuasi mkubwa wa Rais Magufuli. Anaandaa kitabu cha The Magufulication of Africa.
Inadaiwa ktk tetesi hizo atakabidhiwa idara nyeti ya kupambana na ufisadi humu nchini Tanzania lakini inadaiwa wahafidhina serikalini ambao hawaamini watani wetu wa Kenya, wanapendekeza kama serikali imempenda gwiji hili la sayansi ya siasa, wampe chuo kikuu kimoja wapo nchini awe Vice Chancellor.
Naendelea kutafuta ukweli wa tetesi hii kabla muda haujaongea mwezi march 2020.
Kenya na Tanzania ni ndugu kuna shida gani akipewa
Wewe Mbona umetoka somalia na umekuwa Mtanzania acha wivu
Jay hawezi kuwa profesa, Tuliopitia shule tunaelewa maana ya kuwa profesa. Ongea pointi usiongee kwa sababu una mdomo au una bundle.Bwashee usimfananishe Lumumba na Prof Jay!
We jamaa huwa waonekana zina chaji ila unashindwa elewa hiyo ni PS
Sent using Jamii Forums mobile app
Kwa vitendo vyake aitwe Prof. Mobutu.Huyo Lumumba dishi limecheza
Umeshapanic meku!Jay hawezi kuwa profesa, Tuliopitia shule tunaelewa maana ya kuwa profesa. Ongea pointi usiongee kwa sababu una mdomo au una bundle.
View attachment 1369305Sawa bwashee wasalimie huko migombani!
Hizo ndio ishara kuwa mkandarasi yuko site!Unaona walivyofanya. Hapo View attachment 1369305View attachment 1369306View attachment 1369307
Sent using Jamii Forums mobile app
Je PLO alifanikiwa vita vya ufisadi alipokuwa director of Kenya anti-corruption commission?Halo wana JF.
Kuna tetesi nimepata kutoka chanzo nyeti serikalini, kuwa Professor Patrick Lomomba maarufu PLO wa nchini Kenya, atapewa uraia wa Tanzania siku yoyote ndani ya mwezi march 2020.
Lomomba ni msemaji hodari yaani kwa kingereza good orator. Amekuwa mshambuliaji mkuu wa mabeberu kwa kutetea raslimali za Africa na pia mfuasi mkubwa wa Rais Magufuli. Anaandaa kitabu cha The Magufulication of Africa.
Inadaiwa ktk tetesi hizo atakabidhiwa idara nyeti ya kupambana na ufisadi humu nchini Tanzania lakini inadaiwa wahafidhina serikalini ambao hawaamini watani wetu wa Kenya, wanapendekeza kama serikali imempenda gwiji hili la sayansi ya siasa, wampe chuo kikuu kimoja wapo nchini awe Vice Chancellor.
Naendelea kutafuta ukweli wa tetesi hii kabla muda haujaongea mwezi march 2020.
Hizo ndio ishara kuwa mkandarasi yuko site!