Rais Magufuli afanya mazungumzo na msomi Prof Patrick Loch Otieno Lumumba, msomi huyu ammwagia sifa lukuki Dr Magufuli

Rais Magufuli afanya mazungumzo na msomi Prof Patrick Loch Otieno Lumumba, msomi huyu ammwagia sifa lukuki Dr Magufuli

Tanzania hairuhusu uraia wa nchi mbili, je ataukana u-Kenya?

Halafu akipewa uraia asipewe ajira nyeti kihasara hivyo, watanzania wengi sana wamemzidi iq. Kwa nini afike tuu na kupewa ajira wakati watanzania kibao wanasota mtaani bila ajira!

Unforgetable
U DC unamtosha
 
mtu mwenyewe anaitwa Lumumba sasa kuna tofauti gani na Lumumba yetu hii tuijuayo

Sent using Jamii Forums mobile app
Kwenye kesi adhimu ya kupinga matokeo ya uchaguzi wa rais, aliongea kama hataongea tena maishani mwake. Alijipanga kisawasawa. Kiingereza fasaha. Presentation murua. Lafudhi yake utaipenda. Akatetea
rais Kenyatta. Maraga akamsikiliza kwa umakini wote. Jopo la utetezi likatupiwa maswali rahisi tu na majaji. Kwa mbwembwe zao wakatoa majibu magumu kwa maswali rahisi. Maraga akamkalisha propesa na wenzake waandike vizuri notes za kanuni na sheria za uchaguzi huru na wa haki. Maraga katengua matokeo!
 
I liked it very much!
I'll make sure our country is Magulified again for the next 5 years of his second and last tenure.
 
Back
Top Bottom