Bana likasi
JF-Expert Member
- Jan 7, 2020
- 6,926
- 6,422
Huyo ni member wa Lumumba fcmtu mwenyewe anaitwa Lumumba sasa kuna tofauti gani na Lumumba yetu hii tuijuayo
Sent using Jamii Forums mobile app
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Huyo ni member wa Lumumba fcmtu mwenyewe anaitwa Lumumba sasa kuna tofauti gani na Lumumba yetu hii tuijuayo
Sent using Jamii Forums mobile app
Labda in political socialismKwanza ni Profesa wa nini? uchumi? sheria au profesa of politics?
Lumumba na wakenya wanakijua kikombe kwa njePro Lumumba ana imani na Dr.Magufuli kwenye sera ya MAGULIFICATION anataka Magu agombee uraisi kwa kipindi kingine.
U DC unamtoshaTanzania hairuhusu uraia wa nchi mbili, je ataukana u-Kenya?
Halafu akipewa uraia asipewe ajira nyeti kihasara hivyo, watanzania wengi sana wamemzidi iq. Kwa nini afike tuu na kupewa ajira wakati watanzania kibao wanasota mtaani bila ajira!
Unforgetable
Nimepaniki vipi wewe?Umeshapanic meku!
Katibiwe kwanza hayo Magonjwa MtambukaWewe ni limbukeni sana.
Kwenye kesi adhimu ya kupinga matokeo ya uchaguzi wa rais, aliongea kama hataongea tena maishani mwake. Alijipanga kisawasawa. Kiingereza fasaha. Presentation murua. Lafudhi yake utaipenda. Akateteamtu mwenyewe anaitwa Lumumba sasa kuna tofauti gani na Lumumba yetu hii tuijuayo
Sent using Jamii Forums mobile app
Sitaki. Utanifanya nini sasa?Katibiwe kwanza hayo Magonjwa Mtambuka
Unataka kufanywa?Sitaki. Utanifanya nini sasa?
Kumbe umezoea kufanywa?Unataka kufanywa?