Freed Freed
JF-Expert Member
- Jun 27, 2017
- 6,547
- 7,167
Tumegee habari kamiliFreed Freed,
Tetesi tetesini!
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Tumegee habari kamiliFreed Freed,
Tetesi tetesini!
Ni Lomomba mkuu, watu huwa wanamchanganya na yule marehemu wa Congo Patrice Lumumba
Sijataja uhodari wa Kingereza bali uhodari wake wa kuongea, soma tenaFreed Freed,
Ni rahisi sana kujua kiwango cha elimu cha watu wanaoendeleza tetesi kama hizi, na hasa pale wanapotaja sifa ya uhodari kwenye kiingereza
Umejuaje kuwa uraia wa nchi hii nimeutafuta?Mshauri njia ulizotumia kupata uraia wa Tanzania
In God we Trust
Wewe! Sio lazima kukomentFicha upumbavu wako
Umejuaje kuwa uraia wa nchi hii nimeutafuta?
Huyu naye alikwisha tulipa mahela yetu? Au serikali ilimsamehe.Kama uraia mimi ningependekeza apewe Mkulima maarufu Mzee Stayn
Ushujaa aliouonyesha katika kudai chake umetufunza mengi haswa kwenye kukomaa mpaka kieleweke hata kama waziri anakukodolea mimacho kama chura
Bwashee wewe ndio utupe ukamilisho wa tetesi!Tumegee habari kamili
Hizo ni stori za kwenye vijiwe vya kwenye kahawa. Lakini hata kama akipewa hawezi kukubali. PLO ana akili sana kwani anajua aliyempa anaweza kumgeuka wakati wowote!Tanzania hairuhusu uraia wa nchi mbili, je ataukana u-Kenya?
Halafu akipewa uraia asipewe ajira nyeti kihasara hivyo, watanzania wengi sana wamemzidi iq. Kwa nini afike tuu na kupewa ajira wakati watanzania kibao wanasota mtaani bila ajira!
Unforgetable
Ee ndio LomombaHalo wana JF.
Kuna tetesi nimepata kutoka chanzo nyeti serikalini, kuwa Professor Patrick Lomomba maarufu PLO wa nchini Kenya, atapewa uraia wa Tanzania siku yoyote ndani ya mwezi march 2020.
Lomomba ni msemaji hodari yaani kwa kingereza good orator. Amekuwa mshambuliaji mkuu wa mabeberu kwa kutetea raslimali za Africa na pia mfuasi mkubwa wa Rais Magufuli. Anaandaa kitabu cha The Magufulication of Africa.
Inadaiwa ktk tetesi hizo atakabidhiwa idara nyeti ya kupambana na ufisadi humu nchini Tanzania lakini inadaiwa wahafidhina serikalini ambao hawaamini watani wetu wa Kenya, wanapendekeza kama serikali imempenda gwiji hili la sayansi ya siasa, wampe chuo kikuu kimoja wapo nchini awe Vice Chancellor.
Naendelea kutafuta ukweli wa tetesi hii kabla muda haujaongea mwezi march 2020.
Achana na hao 'manipulator'...!Hawana lolote.Kwani kwa sasa ni raia wa wapi, akipewa ina maana ataukana wa nchi atokeayo maana kwa sheria zetu si bado haturuhusu uraia pacha!!?
Umejuaje kuwa uraia wa nchi hii nimeutafuta?
Tulikwisha mlipa Fedha zake taslim halafu awamu ya tano ikawaambia wasiwaambie WatanzaniaHuyu naye alikwisha tulipa mahela yetu? Au serikali ilimsamehe.