Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kuna balozi kama UK yupo Dr.Migiro,Malaysia yupo Dr. Dau ni wapya hakukuwa na haja ya kuteua tena .Nimesoma nakuelewa ndio maana nimeuliza. Amesema balozi zingine zitabakia kama zilivyo 'swali langu hizi balozi zilizoachwa hazina mapungufu? Soma uelewe nini nauliza?
Wakurazimisha kuchinja hata msipotakiwa mbona mna lalamika sana,hata hivyo naona mmetulia sjui mnacheki upepo ninyi ni hatari sanaKipaumbele chenu ni kujengewa makao makuu ya Bakwata Makonda tayari amewaombea ufadhili GSM, amekuja mfalme wa Morocco Rais amewaombea mjengewe msikiti mkubwa, sasa mwatakani tena nyinyi watu?
Hivi Sheikh Jongo kwenye bunge la katiba wakati analia kilio cha kinafiki hamkukumbuka kumueleza kwamba mlimpeleka bunge la katika kusimamia maslahi ya waislamu? Alitimiza wajibu wake?
Sasa tulieni umnyolewe huenda akili zitawarudia.
Lakini si wapo? Tena wachache huenda wakawa wa maana zaidi kuliko wengi.Twaona yanazidi, asilimia zile zile. Panga pangua.
hii ni zamu yetu...Sheikh Khalifa, pitia na huku.
Hapana, yule so Rajabu Omar Ruhava, yule ni Dr Rajabu Rutengwe.Naona kilio cha aliyekuwa MKUU WA mkoa WA Morogoro bwana Rajabu Omary ruhava kimesikikika
Angalia namba 11...!!
Aliyemlilia magufuri amsaidie yeye ni mtoto wa maskini
Mnataka nilijibie hili Mara ngapi? Nilishasema ni kipindi hicho huwa anasoma kitabu cha waamuzi kutoka kwenye Biblia.
Sasa Recho hata kama ni mwenzetu utampa nafasi gani wakati hata mtihani tu wa QT aliferi?Recho mashishanga nae chali!!
Kama kuna mwislam anaunga mkono,ajitafakar upya juu ya dini yake
2020 sio mbali waislam tutakachomfanyia huyu baba nae hatosahau
Bakwata haina kinyongo chochote na serikali hii na inashukuru kwa kujengewa makao makuu.Kama kuna mwislam anaunga mkono,ajitafakar upya juu ya dini yake
2020 sio mbali waislam tutakachomfanyia huyu baba nae hatosahau
Udini Udiniiii Udiniii
Teuzi za John Poor Manager ni za upendeleo wa udiniii...lakin potelea mbali maana acha jahazi lizame na watu wake
Waislamu wengi wanaojitambuwa watoto wao wanawapeleka kwenye seminary za WakristoUdini Udiniiii Udiniii
Teuzi za John Poor Manager ni za upendeleo wa udiniii...lakin potelea mbali maana acha jahazi lizame na watu wake
Ni muhim kuanza kujenga fikra kila mtu sehem yake alipoBakwata haina kinyongo chochote na serikali hii na inashukuru kwa kujengewa makao makuu.
Kwao teuzi za waislamu hazijawahi kuwasaidia kitu zaidi ya familia za wateuliwa, kwanza uzoefu unaonesha kadiri mwislamu anapopata maisha mazuri ndio anazidi kukaa mbali na uislamu hachangii ujenzi wa msikiti wala madrasa na kuswali ndio kabisa hataki kusikia yeye na familia yake
Ukitaka kuamini leo jumapili tembelea makanisani uone vibopa wa kikafir walivyojaa makanisani na magari yalivyojaa kanisani mwisho sikiza sadaka iliyopatikana leo tu.
Ukifanya research hii huku ukiwa na mawazo huru kuanzia leo utaacha rasmi kuwaza kwamba makafir na watu wa dini ya haki wako sawa na utaacha kuwalinganisha.
Ndio maana Bakwata kwa kulijuwa hili huwa wanaridhika tu pale wanapopata kitu cha manufaa kwao na si waislamu, waislamu hawana manufaa kwa dini yao zaidi ya ulalamishi tu, haya sasa msikiti tu wKuswali wenyewe wanataka msaada.
Ni tofauti na makafir, hata vile vikanisa vya mfukoni wanajenga wenyewe makanisa yao.
kawaambie kabisa leo kanisanMsipige kura kidini.Vyeo havitolewi kama sadaka.
Anaemjua huyu atujuzeBalozi Mohamed Said ni huyu wa jamii forums ?
mdini wahediTwaona yanazidi, asilimia zile zile. Panga pangua.
Nchimbi anatupwa mbali na siasa za Tanzania
Hahahaa umeshindwa kusifia? Ndio shida ya unafikiSheikh Khalifa, pitia na huku.