Rais Magufuli afungua mkutano Mkuu wa Chama cha Waalimu, Corona imeisha, Shule za Msingi kufunguliwa karibuni

Shehe kakosea kusali
Aiseh ubinadamu upo
Kataja majina matatu benjamini, Edward ndio baadae akapatia jina la John Pombe Magufuri
Maisha yanaendelea hapa viwanjani
Shehe ubwabwa katika ubora wake
 
Woote mnaopinga JPM kualikwa je mlipenda nani ndio aalikwe ?

Walimu wamechagua upande wao mapema, mlijitahidi kumfitinisha magufuli na walimu mwisho wa siku walimu wameamua kwenda na JPM
 
aisee sijui walimpitishaje no issue tokea aanze kuzungumza
 
Woote mnaopinga JPM kualikwa je mlipenda nani ndio aalikwe ?

Walimu wamechagua upande wao mapema, mlijitahidi kumfitinisha magufuli na walimu mwisho wa siku walimu wameamua kwenda na JPM
Hihihihi hiki ulichokisema ni unafiki na inaonekana hawa walimu ni makada wa CCM
 
Kuitenganisha Serikali na Chama Cha Walimu Tanzania ni sawa na kutaka Kutenganisha Ndoa ya Wawili waliokula Viapo halali Kanisani / Msikitini.
 
Waisimamishe kwa muda ili watu wadonee zenye tija.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Kwa akili yako timamu unategemea kutakuwa na jipya leo?kualikwa kwa JPM na even asingealikwa there is no difference
 
Mkuu kuna binadamu kwenye ubongo wao kuna maji machafu.
 
Je, kama kajifunza mwenyewe?

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…