Rais Magufuli ajibu hoja za Marekani, Asijifiche kwenye hoja za uzalendo, Kwanza sio Mzalendo

Kwani Marekani kashikilia nini?
Kwa taarifa yako Marekani hawezi kushikilia chochote kisicho na maslahi kwake.
Anawasanifu tu na kuwashangaa mnavompelekea umbea mkidhani yeye anamind umbea wenu.
Marekani anamind interest zake tu.
Mkimpelekea umbea usiomlipa anawang'ong'a tu.
Subiri UTAONA.
 
Waliochangia kuirudisha nchi kwenye chama kimoja ni akina Lisu na Mbowe 2015 walipokubali kununuliwa na CCM kijinga
 

Kabudi alifuata nini Marekani kama US hana interest na nchi yetu?
 
We la Marekani hulioni unaona la Tanzania tu?
Hivi kwenye haki za binadamu unaweza kumquote Marekani kweli?
Mmekuwa brainwashed utafikiri hamjasoma?
Mnatia kichefuchefu!
Kwanini tuyafanye mabaya kisa tu US wanafanya ?!. Hii tabia ya kuandama raia wetu kisa tu itikadi, dini, kanda nk imetoka wapi ?! Hamkukabidhiwa nchi ya namna hiyo.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Mkuu kama vipi tumuwekee vikwazo Marekani,ili atujue kwamba sisi ni donor kantri na tunaongozwa na kiongozi wa malaika mtarajiwa
 
Magufuli is a naive, corrupt and a bigot oppressor!!
 
Marekani si kielelezo sahihi cha Democrasia ama utawala bora am,bao wengi wetu tumekuwa tukiulilia na wala wao pia hawana hizo kitu ktk utawala wao, sasa inakuwaje USA wakisema jambo huku tunalishupalia km vile ndio kilakitu?

USA walimpiga tik tak Hillary Clinton, CIA + DEA & Navy Seals wanatekeleza matukio mazito tuu na ya kutisha ila wote twajifanya hatuyaoni wala kuyasikia, ajabu tunashupalia kauli zao eti kisa zinambeba fulani ama kumzodoa fulani. And for that - we have a long way to go!

SIKU INZI AKIACHA UJINGA ATATENGENEZA ASALI
 
Mkuu kama vipi tumuwekee vikwazo Marekani,ili atujue kwamba sisi ni donor kantri na tunaongozwa na kiongozi wa malaika mtarajiwa
Hii sasa ni akili ya usiku ifanyayo kazi mchana
 
Mungu wabariki Wazungu
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…