Nasikia kule kwa wazee wa kubadilisha gia angani kuna jamaa furani anaitwa memba sijui mamba ala membe ndo atapambana na hiki kisiki cha mpingo.
Sent using Jamii Forums mobile app
acha ale shushaaa kazi za kujenga taifa si lelemama alianza Mwalimu Nyerere na hakumaliza akaenda zake na kazi zip tu so let him enjoy.
Mimi sina chama na ni mkweli daima, miongoni mwa ukweli mchungu kwa siasa zetu kipindi hiki cha awamu ya tano, CCM ndio mpango mzima.Kwel mkuu japo watu wanakuitaha puppet wa Lumumba hila Miminakuona kama msema ukweli.
Sijalielewa swali, timeframe ya hizo picha ndio nini?.Tupe basi time frame ya hizo picha mkuu Mayalla?
P. Umekesha !! Ondoa stress lala onghwise [emoji120].Sijalielewa swali, timeframe ya hizo picha ndio nini?.
P
Jamaa anatembea kwenye mawe tu wenzake wanapiga vita corona
Anajielewa Kweli huyu?
Sent using Jamii Forums mobile app
No ndio nimeamka, usingizi umekata saa 10 alfajiri, sisi shughuli zetu ni kwenye mikusanyiko ya watu, tunaendesha maisha yetu kwa kazi ya kijungu jiko living from hand to mouth, kufuatia Corona, hakuna press conference, mikutano, seminar, warsha, wala makongamano, tunaishije?, inabidi tuu usingizi ukatike.P. Umekesha !! Ondoa stress lala onghwise [emoji120].
Sent using Jamii Forums mobile app
The same to me. Kama umesikia viwanda vimefungwa Mwz kwa sababu ya Corona ulaya na China. Kila kitu kimesimama [emoji86]No ndio nimeamka, usingizi umekata saa 10 alfajiri, sisi shughuli zetu ni kwenye mikusanyiko ya watu, tunaendesha maisha yetu kwa kazi ya kijungu jiko living from hand to mouth, kufuatia Corona, hakuna press conference, mikutano, seminar, warsha, wala makongamano, tunaishije?, inabidi tuu usingizi ukatike.
P
Hata Kama Kuna koroma!Big up Mr president, Haya maisha hayahitaji pressureView attachment 1397195
Sent using Jamii Forums mobile app
The Corona aftermath ni janga kubwa kuliko hata tishio la Corona yenyewe. PoleThe same to me. Kama umesikia viwanda vimefungwa Mwz kwa sababu ya Corona ulaya na China. Kila kitu kimesimama [emoji86]
Sent using Jamii Forums mobile app
Acha mawazo ya kitoto kwani majukumu ya rais kwenye majanga ni kulia?Kwa hiyo akae analia ili Corona iondoke siyo?
Tanzania ni moja ya nchi rahisi kuongoza duniani.Mpo kwenye janga zitto alaf mtu analeta picha za mkuu wa nchi akila bata kwenye mawe.Aliyeleta hiz picha hajamtendea haki mkuu wa nchi kwa wananchi wakati viongoz wenzetu nchi zilizzoendelea wakihangaika na kulia kwa janga hilli eti mtu kwa ulevi wa kujipendekeza analeta picha za furaha kwa rais,haiko sawa kabisa kwa maoni yangu
haha hatari sana= fulani
Hivi hizo shule mlienda kusomea ujinga?