Rais Magufuli akitembelea maeneo yenye mawe ndani ya Ikulu ya Chamwino, Dodoma

Rais Magufuli akitembelea maeneo yenye mawe ndani ya Ikulu ya Chamwino, Dodoma

Kwa hiyo akae analia ili Corona iondoke siyo?
Maisha yangu hayakuhusu,ya rais yananihusu kwa sababu ni kiongozi,hajakatazwa kula bata hoja ni matangazo ya picha zake ktk kipindi hiki.Nafikir hujui rais ni nani ndo maana unajifanya upo busy na maisha yako,Katiba inamtambua kama mfariji mkuu wakati wa majanga.
 
Rais sio taasisi ni mtu mmoja anayechaguliwa na wananchi kuongoza mhimili wa serikali ambayo ndio taasisi.
Spika wa bunge sio taasisi ni mtu mmoja anayechaguliwa na wabunge kuongoza mhimili wa bunge ambalo ndilo taasisi.
Jaji mkuu sio taasisi ni mtu mmoja anayeteuliwa kuongoza mhimili wa mahakama ambao ndio taasisi.

Sent using Jamii Forums mobile app
Shukrani kwa kuweka rekodi sawa.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Kiongozi mzuri ni Yule ambae kwanza Sio mnafk kisa baby kamwambia I mic you na yeye ajibu ivyo ivyo pia kiongozi mzuri ni Yule wakati wa uzun anaficha machungu na kuwapa WATU matumain
Ukitaza hii video na na picha zilizotoka leo zikimuonesha mh. Rais akipunga upepo ndani ya Ikulu zinaleta picha ya kumshushia hadhi ya kuwa kiongozi wa watu, kwenye janga kubwa hili la corona, Rais uko busy na picha kweli?
Ninadhani kuna watu wanamuhujumu mh. Rais bila ya yeye kujua, au mtu wa protoco hayuko vizuri



Karibuni kwa michango yenu


Sent using Jamii Forums mobile app
 
Waziri mkuu wa australia almanusura wananchi wamtumbue kisa picha yake ya vacation wakati nchi inahangaika na janga la moto mwezi december mwaka jana, sasa leo hii kuna janga la kidunia mtu anapost picha akiwa amelala kwenye mawe akipunga upepo hii haileti picha nzuri, kuna muda napata feeling huenda kuna watu wanafanya sabotage bila mzee baba kujielewa.

Sent using Jamii Forums mobile app
Kila kitu hakiwezi kufanyika kwa namna moja dunia nzima.. Ilikuwa Australia hii ni Tanzania
 
Waziri mkuu wa australia almanusura wananchi wamtumbue kisa picha yake ya vacation wakati nchi inahangaika na janga la moto mwezi december mwaka jana, sasa leo hii kuna janga la kidunia mtu anapost picha akiwa amelala kwenye mawe akipunga upepo hii haileti picha nzuri, kuna muda napata feeling huenda kuna watu wanafanya sabotage bila mzee baba kujielewa.

Sent using Jamii Forums mobile app
Ameshajipambanua vyema yeye ni wa tofauti kimtazamo na wengine
 
Nadhani hapa watu mmeshindwa kumtofautisha Makonda na Magu, secondly baadhi ya wachangiaji mnashusha hadhi Taifa hili, yaani Kiongozi wetu anawezaje kufanya vacation juu ya mawe!?..ninachokiona hapo Rais alikua anafanya stretch ya mgongo wakati akifanya evening walk ili kuweka mwili wake Fit..ata WHO Wanashauri watu wafanye mazoezi Kwa Sana kuraise joto la mwili ili kuepuka gonjwa jipya.
Kuna muda yakupasa kukaa kimya na kusoma watu walichoandika

Hivi wewe una uchungu na mtu mwingine kuliko wazazi wako

Rais ni taasisi sio mtu, Akiwa Dodoma sema taasisi ipo Dodoma,

Hata mawasiliano ya taasisi yanasema kurugenzi ya Ikulu

Mkuu wapi uliona barua zinaandikwa "Rais Magufuli" zinaandikwa kurugenzi ya mawasiliano Ikulu kama taasisi

Mtakuja kufa kwa kujaza chuki vifuani, Wewe ni moja ya watu mnaoitafuta presha kwa kujaa chuki
 
Hizo ndizo zilizopitishwa tuzione?

Zina ujumbe gani...; angekuwa 'relaxed' kidogo namna hiyo huku akichapa kazi, huenda angeonekana katika mwonekano tofauti na aliojijengea katika miaka hii miinne.

Lakini watu wanapicha kidogo tofauti na hizo!
 
Majority wako vijijin / wanaishi kweny nyumba za matope na nyasi huku wakikosa huduma zote muhimu / na uwo ndo permanent capital ya ccm .
Mkuu, Hilo la umaskini sina hakika kama kwenu hakuna maskini, na sina hakika kama ukoo wenu mmesoma wote,

Lakini hata Hivyo Raisi ameliona Hilo,na ndiyo maana serikali yake haitaki kuingilia bei ya mazao ya hao unaowaita maskini

Na Kwa usemi wako huu, inaonyesha dhahiri kwamba wewe na chama chako ni wabaguzi wakubwa ninyi
 
  • Thanks
Reactions: Ole
Waziri mkuu wa australia almanusura wananchi wamtumbue kisa picha yake ya vacation wakati nchi inahangaika na janga la moto mwezi december mwaka jana, sasa leo hii kuna janga la kidunia mtu anapost picha akiwa amelala kwenye mawe akipunga upepo hii haileti picha nzuri, kuna muda napata feeling huenda kuna watu wanafanya sabotage bila mzee baba kujielewa.

Sent using Jamii Forums mobile app
Kwani kuna janga gani hapa nchini!!?? Acha ulimbukeni wewe...nchi ina amani ya kutosha.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom