CROSSFIRE
JF-Expert Member
- Mar 4, 2018
- 496
- 1,462
Urais ni tatizo yaani kila unachofanya ni habari, Duh!! [emoji481][emoji482]
Sent using Jamii Forums mobile app
Sent using Jamii Forums mobile app
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Maisha yangu hayakuhusu,ya rais yananihusu kwa sababu ni kiongozi,hajakatazwa kula bata hoja ni matangazo ya picha zake ktk kipindi hiki.Nafikir hujui rais ni nani ndo maana unajifanya upo busy na maisha yako,Katiba inamtambua kama mfariji mkuu wakati wa majanga.
Kwani nawe ni Msukuma?Acha majungu wewe, ulitaka apige picha anafanya nini? Hapo ndio mwisho wa upeo wa akili yako
Shukrani kwa kuweka rekodi sawa.Rais sio taasisi ni mtu mmoja anayechaguliwa na wananchi kuongoza mhimili wa serikali ambayo ndio taasisi.
Spika wa bunge sio taasisi ni mtu mmoja anayechaguliwa na wabunge kuongoza mhimili wa bunge ambalo ndilo taasisi.
Jaji mkuu sio taasisi ni mtu mmoja anayeteuliwa kuongoza mhimili wa mahakama ambao ndio taasisi.
Sent using Jamii Forums mobile app
Uzalendo uo ikibidi aongezewe na muhula kabisa rais mzuri sana huyu [emoji23]Kulala kwenye mawe ni uzalendo? Baadhi ya watanzania mnahitaji kufanyiwa vipimo vya akili.
Ukitaza hii video na na picha zilizotoka leo zikimuonesha mh. Rais akipunga upepo ndani ya Ikulu zinaleta picha ya kumshushia hadhi ya kuwa kiongozi wa watu, kwenye janga kubwa hili la corona, Rais uko busy na picha kweli?
Ninadhani kuna watu wanamuhujumu mh. Rais bila ya yeye kujua, au mtu wa protoco hayuko vizuri
Karibuni kwa michango yenu
Kila kitu hakiwezi kufanyika kwa namna moja dunia nzima.. Ilikuwa Australia hii ni TanzaniaWaziri mkuu wa australia almanusura wananchi wamtumbue kisa picha yake ya vacation wakati nchi inahangaika na janga la moto mwezi december mwaka jana, sasa leo hii kuna janga la kidunia mtu anapost picha akiwa amelala kwenye mawe akipunga upepo hii haileti picha nzuri, kuna muda napata feeling huenda kuna watu wanafanya sabotage bila mzee baba kujielewa.
Sent using Jamii Forums mobile app
Ahsante mkuu, watu wamepofushwa akili hawaoni wala kufikiri tenaKiongozi mzuri ni Yule ambae kwanza Sio mnafk kisa baby kamwambia I mic you na yeye ajibu ivyo ivyo pia kiongozi mzuri ni Yule wakati wa uzun anaficha machungu na kuwapa WATU matumain
Sent using Jamii Forums mobile app
Ameshajipambanua vyema yeye ni wa tofauti kimtazamo na wengineWaziri mkuu wa australia almanusura wananchi wamtumbue kisa picha yake ya vacation wakati nchi inahangaika na janga la moto mwezi december mwaka jana, sasa leo hii kuna janga la kidunia mtu anapost picha akiwa amelala kwenye mawe akipunga upepo hii haileti picha nzuri, kuna muda napata feeling huenda kuna watu wanafanya sabotage bila mzee baba kujielewa.
Sent using Jamii Forums mobile app
Mkuu Mshumaa, na wewe ni duni kama hao wengine? Mbona kama hufananii? Unaongea nini SASA hapoCcm ni cha watu watu wachache.
Watu wachache vipi Wakati ndo wanaoongoza Taifa mkuu?Mkuu ccm ni chama cha watu wachache / ambao wanapata national cake.
Kuna muda yakupasa kukaa kimya na kusoma watu walichoandika
Hivi wewe una uchungu na mtu mwingine kuliko wazazi wako
Rais ni taasisi sio mtu, Akiwa Dodoma sema taasisi ipo Dodoma,
Hata mawasiliano ya taasisi yanasema kurugenzi ya Ikulu
Mkuu wapi uliona barua zinaandikwa "Rais Magufuli" zinaandikwa kurugenzi ya mawasiliano Ikulu kama taasisi
Mtakuja kufa kwa kujaza chuki vifuani, Wewe ni moja ya watu mnaoitafuta presha kwa kujaa chuki
Ningependa kufahamu kifaa kilichotumika kupigia hizo picha [emoji23][emoji23]
Sent from my iPhone using JamiiForums
Nimekusoma nikapita..., nikaona nirudi kuuliza swali mkuu.Dah na mie nina t shirt hiyo nilikiwa nataka niitume shamba nikiamini imekuwa kama jezi za mpira kumbe mpk Rais anavaa nimeghairi
Mkuu, Hilo la umaskini sina hakika kama kwenu hakuna maskini, na sina hakika kama ukoo wenu mmesoma wote,Majority wako vijijin / wanaishi kweny nyumba za matope na nyasi huku wakikosa huduma zote muhimu / na uwo ndo permanent capital ya ccm .
Kwani kuna janga gani hapa nchini!!?? Acha ulimbukeni wewe...nchi ina amani ya kutosha.Waziri mkuu wa australia almanusura wananchi wamtumbue kisa picha yake ya vacation wakati nchi inahangaika na janga la moto mwezi december mwaka jana, sasa leo hii kuna janga la kidunia mtu anapost picha akiwa amelala kwenye mawe akipunga upepo hii haileti picha nzuri, kuna muda napata feeling huenda kuna watu wanafanya sabotage bila mzee baba kujielewa.
Sent using Jamii Forums mobile app