Inside10
JF-Expert Member
- May 20, 2011
- 29,909
- 32,414
Lengo kufunika habari ya mbowe jioni hii na kesho kwenyw magazeti.nazo hizi siasa!
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Lengo kufunika habari ya mbowe jioni hii na kesho kwenyw magazeti.nazo hizi siasa!
Si watengeneze tu, kwani shida ipo wapi?Jiji kasoro bahari
Mkuu, Hilo la umaskini sina hakika kama kwenu hakuna maskini, na sina hakika kama ukoo wenu mmesoma wote,
Lakini hata Hivyo Raisi ameliona Hilo,na ndiyo maana serikali yake haitaki kuingilia bei ya mazao ya hao unaowaita maskini
Na Kwa usemi wako huu, inaonyesha dhahiri kwamba wewe na chama chako ni wabaguzi wakubwa ninyi
You are like a chichidodo, which hates faeces still feeding on maggots!. Hivi mnataka Rais afanye nini sasa you mburulas?Waziri mkuu wa australia almanusura wananchi wamtumbue kisa picha yake ya vacation wakati nchi inahangaika na janga la moto mwezi december mwaka jana, sasa leo hii kuna janga la kidunia mtu anapost picha akiwa amelala kwenye mawe akipunga upepo hii haileti picha nzuri, kuna muda napata feeling huenda kuna watu wanafanya sabotage bila mzee baba kujielewa.
Sent using Jamii Forums mobile app
Ningependa kufahamu kifaa kilichotumika kupigia hizo picha [emoji23][emoji23]
Sent from my iPhone using JamiiForums
Yaani we acha tu. Kila nikiiangalia nacheka sanaHahaahhah.Haki nimecheka hiyo picha ya chini. Rais tunae kwa kweli.
Hii ni katika kutekeleza agizo la "epuka mikusanyiko - jitahidi kuwa peke yako".Mzee anasahau Corona kidogo anakula bata chamwino View attachment 1397187View attachment 1397188View attachment 1397189View attachment 1397191
Sent using Jamii Forums mobile app
Nadhani China but i am not sureNimekusoma nikapita..., nikaona nirudi kuuliza swali mkuu.
Natumaini utanijibu swali languhili:
Zimetengenezwa wapi?
Mkuu, umeniangusha hapo!Nadhani China but i am not sure
Lengo kufunika habari ya mbowe jioni hii na kesho kwenyw magazeti.
Waziri mkuu wa australia almanusura wananchi wamtumbue kisa picha yake ya vacation wakati nchi inahangaika na janga la moto mwezi december mwaka jana, sasa leo hii kuna janga la kidunia mtu anapost picha akiwa amelala kwenye mawe akipunga upepo hii haileti picha nzuri, kuna muda napata feeling huenda kuna watu wanafanya sabotage bila mzee baba kujielewa.
Sent using Jamii Forums mobile app
Mijusi kafiri wakimng'ata wewe kama siyo mteule utapungukiwa nini?Bahahahaha ndio maana anang'ang'ania Magogoni kwa hiyo hapo ndio Beach?😝😝
Kuna mijusi kisukuma wanaitwa Magomamli kwa watu wengine wanawaita mijusi kafiri inapenda sana kukaa kwenye hayo mawe ajiangalie
Kama hana habaree
2020 hakuna shujaa mwingine zaidi ya huyu
Kuna muda yakupasa kukaa kimya na kusoma watu walichoandika
Hivi wewe una uchungu na mtu mwingine kuliko wazazi wako
Rais ni taasisi sio mtu, Akiwa Dodoma sema taasisi ipo Dodoma,
Hata mawasiliano ya taasisi yanasema kurugenzi ya Ikulu
Mkuu wapi uliona barua zinaandikwa "Rais Magufuli" zinaandikwa kurugenzi ya mawasiliano Ikulu kama taasisi
Mtakuja kufa kwa kujaza chuki vifuani, Wewe ni moja ya watu mnaoitafuta presha kwa kujaa chuki