Rais Magufuli akitembelea maeneo yenye mawe ndani ya Ikulu ya Chamwino, Dodoma

Rais Magufuli akitembelea maeneo yenye mawe ndani ya Ikulu ya Chamwino, Dodoma

Kwa hiyo Rais hapumziki?
Daa watu wanapenda kukuza jambo
Mbona kawaida tu


Sent from my iPhone using Tapatalk
 
mkuu au mkongwe mwezangu umeyakanyaga utapondwa utatolewa akili majina mabaya yote utaitwa wewe maroboti au ukipenda kuwaita watoto wadogo kutoka facebook na instagram na wale vijana wa buku saba za data kutoka lumumba watakutukana najua utokubari utawarudishia mwishowe utakuwa ugomvi kuepusha yote hayo nakuomba wambie mods wafute hii threads .
 
?????
IMG-20200323-WA0094.jpeg
IMG-20200323-WA0093.jpeg


Don't make a promise you can't fulfill...
 
Waziri mkuu wa australia almanusura wananchi wamtumbue kisa picha yake ya vacation wakati nchi inahangaika na janga la moto mwezi december mwaka jana, sasa leo hii kuna janga la kidunia mtu anapost picha akiwa amelala kwenye mawe akipunga upepo hii haileti picha nzuri, kuna muda napata feeling huenda kuna watu wanafanya sabotage bila mzee baba kujielewa.

Sent using Jamii Forums mobile app

leo kwa mara ya kwanza namtetea jiwe , sasa mkuu ulitaka avae nguo nyeusi huku akiwa analia kama anaombeleza ?


Sent using Jamii Forums mobile app
 
Ukitaza hii video na na picha zilizotoka leo zikimuonesha mh. Rais akipunga upepo ndani ya Ikulu zinaleta picha ya kumshushia hadhi ya kuwa kiongozi wa watu, kwenye janga kubwa hili la corona, Rais uko busy na picha kweli?
Ninadhani kuna watu wanamuhujumu mh. Rais bila ya yeye kujua, au mtu wa protoco hayuko vizuri



Karibuni kwa michango yenu

Ssfi sana mkuu!
 
Back
Top Bottom