Rais Magufuli akitembelea maeneo yenye mawe ndani ya Ikulu ya Chamwino, Dodoma

Rais Magufuli akitembelea maeneo yenye mawe ndani ya Ikulu ya Chamwino, Dodoma

Nimeamini Msemo Wa :Sifa Za Masikini Ni Roho Mbaya na Chuki

Mm simkubali Magu Lkn Kwahili Sioni Kama Anatatizo Sababu Nae Ni Binadamu lkn pia Anamaisha Yake

Tuna Hudhuni Na Taazari Sana Lkn Sio Sababu Ya Kuto Furahi Maana Kufa Kupo Kuumwa Kupo Hata Corona Ingekuwa Haipo

Jeshini Watu Huwa vitani Lkn Sometimes huwa Wana jiburudisha Kwa Music Story and Kidding Kama zote

Kwani wao Hawana hofu Yakifo ?

Lkn wanajiliwaza Maana hata wakinuna haisaidii kurudisha Uhai au kuzuia Kifo

Sent using Jamii Forums mobile app
Sawa mkuu umeeleweka kuwa mzee wa watu kapiga zake raba na suruali ya suti amekaa anapunga upepo anatafakari mambo yake ya kazi na mengineyo.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Urais kweli mtamu yaani mtu akiwa rais kila atakachokifanya ni habari hata akila mavi ni habari.

Ila sometime unatakiwa ku refresh mind.

Uku Corona uku Chadema usipokuwa makini presha inakuchukua. yuko xawa wacha a-relax uko kuna usalama wa kutosha.
Kumbuka hata katiba ya JMT wa Tanzania inamtambua kama raia namba moja. Kwa hiyo usidhanie ni mtu mdogo. Chochote atachofanya ni habari. Na ni utaratibu kwa nchi zote.
 
[emoji16][emoji16][emoji16]
tapatalk_jpeg_1584989237703.jpeg
 


Rais akivinjari Ikulu - Chamwino​
 
Huyu mzee bnaa yaani nimecheka kwa sauti kumbe aliye lala pale ni yeye, anazeeka vibaya sana. Alale tuu huko ila Mike Pompeo anaandaa Mashitaka yake atalala sana huko lupango na Bashite wake.
Asanteni watu wa America.

IN GOD WE TRUST

Sent using Jamii Forums mobile app
Jitahidi kila siku utembee na akili zako, umwombe mama yoyo kama unakuwa msahaulifu Sana angalau awe anakukumbusha kila Asubuhi ukiamka, ili usizisahsu nyumbani,

Huyo pompeo ni babayo??
 
Mpaka muachane na ush.oga na msinune kunyimwa vilainishi, mkasome muachane na vyeti feki, fanyeni biashara msikwepe kodi, zoeeni kwamba serikalini mtaendelea kupasikia tu...kinyume na hayo mawazo hayatawaisha na KORONA ikiingia lazima ianze na nyinyi maana mawazo yeshatingisha kinga zenu za mwili na ndo maana mko na hofu ya hatari na huu upepo.

Sent using Jamii Forums mobile app
Mtu ayawazayo ndiyo yanayomzunguka. Uliyoyaeleza yote yanakuhusu wewe . Ukipinga namwaga ukweli hapa hapa .

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom