Rais Magufuli akitembelea maeneo yenye mawe ndani ya Ikulu ya Chamwino, Dodoma

Rais Magufuli akitembelea maeneo yenye mawe ndani ya Ikulu ya Chamwino, Dodoma

Mara moja kwa mwezi mhe si mbaya
1584988089976.png
 
Sidhani kama unaelewa maana ya corona mkuu

Mkuu corona ipo miaka mingi sana, Ila kuna aina tofauti tofauti kama Sars na kadhalika

Hii ya mwaka huu ni Covid 2019, Sasa atakimbiaje corona ambayo ipo miaka kibao

Sema anakimbia corona virus disease 2019 utaeleweka
Duuh Wachina wangejua wangekutafuta mapema uwasaidie
 
Huu ni uthibitisho tuu kuwa hatutishiki!.
Tusitishane, Watanzania tuendelee kuchapa kazi
Na hii ndio ilikuwa kazi ya leo siku ya kazi ya Monday, sijui weekends huwa ni za nini?.
Jana weekend ni siku ya mapumziko ndio ndio siku ya kufanya leisure activities zinaitishwa press conference kuhutubia taifa, halafu leo Monday siku ya kazi na serious business ndio tunatembelea mawe for leisure!.
Kiukweli wapanga ratiba za rais, this time wana kazi kweli kweli, watu dunia nzima wako kwenye agony ya janga la Corona, unaonyesha how serious rais wetu is and how busy he is kwenye kuatend serious issues!. Nchi za wenzetu ni vikao na consultations 24/7.
P
Tupe basi time frame ya hizo picha mkuu Mayalla?
 
Huyu mzee bnaa yaani nimecheka kwa sauti kumbe aliye lala pale ni yeye, anazeeka vibaya sana. Alale tuu huko ila Mike Pompeo anaandaa Mashitaka yake atalala sana huko lupango na Bashite wake.
Asanteni watu wa America.

IN GOD WE TRUST

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Walienda Lkn walileta tija yaani return ni kubwa nchi ikafaidika na wawekezaji,unaweza usiende ukawa unawekeza kwenye mifuko iliyotoboka hapo Kazi bure
 
Unasema una T-shirt kama ya Rais. Mwingine hapo juu akasema raba alizovaa ni sawasawa na za bibi yake. Hii inadhihirisha huyu ni Rais wa watu. Hana makuu. Miezi michache iliyopita watu walimuonyesha Rais wa Netherlands akiendesha baiskeli mtaani wakamsifia sana. Kwa fikra mlizoonyesha hapa, Magufuli angefanya hivyo mngemzomea.
Wanataka avae raba ya mil 2 wamuite fisadi. Si unajua walishakosa ajenda gani watatumia kumbana.
 
Huyu mzee bnaa yaani nimecheka kwa sauti kumbe aliye lala pale ni yeye, anazeeka vibaya sana. Alale tuu huko ila Mike Pompeo anaandaa Mashitaka yake atalala sana huko lupango na Bashite wake.
Asanteni watu wa America.

IN GOD WE TRUST

Sent using Jamii Forums mobile app
Hahaha...misho.ga ikishachubuliwa kwa kukosa vilainishi inafurahisha sana, pambana na hali "upinde wa mvua".

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Walienda Lkn walileta tija yaani return ni kubwa nchi ikafaidika na wawekezaji,unaweza usiende ukawa unawekeza kwenye mifuko iliyotoboka hapo Kazi bure
Tena kama mwawapenda sana ni bora mkae kimya, mkitumia kama strategy ya kampeni mtajuta, mkumbuke ni MSEMA KWELI, hata kale kaheshima alowatunzia kataisha.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom