Rais Magufuli akitembelea maeneo yenye mawe ndani ya Ikulu ya Chamwino, Dodoma

Rais Magufuli akitembelea maeneo yenye mawe ndani ya Ikulu ya Chamwino, Dodoma

Asijisahau huko corona inasambaa kwa kasi ya 5g, nawashauri sasa miji isafishwe kama hivi
1585051396880.png
 
Screenshot_20200324-143233.png
Punga upepo mwanana wa fukwe za Dodoma huku ukitafakari namna ya kupambana na corona, huko Dar ni mchanga mtupu.
Screenshot_20200324-144245.png

Rais Magufuli akiwa amejipumzisha juu ya jiwe lililo eneo la Ikulu Chamwino Dodoma hapo jana.

Kelele za Dar zingekuchanganya hasa kipindi hiki kigumu cha kupambana na Corona maana ni PEPO MCHAFU anayekatisha maisha hasa ya watu wazima.
Screenshot_20200324-143834.png


Hili ni pigo kwetu binadamu tunaofanya madhambi mengi juu ya uso wa daunia na ndiyo maana maambukizi kwa watoto ni madogo sana na hakuna KIFO HATA KIMOJA CHA MTOTO kwasababu watoto wadogo hawana dhambi. Nhttps://www.nbcnews.com/health/health-news/we-simply-do-not-understand-why-coronavirus-sparing-children-puzzling-n1147951n
 
JIWE JUU YA JIWE. MIAKA YA NYUMA MTU AKISEMA NIPO JUU YA MAWE MAANA YAKE HALI SI NZURI.
 
Waziri mkuu wa Australia almanusura wananchi wamtumbue kisa picha yake ya vacation wakati nchi inahangaika na janga la moto mwezi december mwaka jana, sasa leo hii kuna janga la kidunia mtu anapost picha akiwa amelala kwenye mawe akipunga upepo hii haileti picha nzuri, kuna muda napata feeling huenda kuna watu wanafanya sabotage bila mzee baba kujielewa.

Sent using Jamii Forums mobile app
Umenena vema. Hii raha ya kugaragara juu ya mawe anaipata wapi wakati wenzake tunaomboleza makanisani, misikitini na kila mahali kwa ajili ya janga hili la corona.
 
UMENENA VEMA. HII RAHA YA KUGARAGARA JUU YA MAWE ANAIPATA WAPI WAKATI WENZAKE TUNAOMBOLEZA MAKANISANI, MISIKITINI NA KILA MAHALI KWA AJILI YA JANGA HILI LA CORONA.
Unaomboleza?
Huko Italy kwenyewe watu wanalazimishwa kukaa nyumbani, wanataka wakale bata
 
Back
Top Bottom