Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
🤔 😅😅😅😅😅!Baada ya Corona kutua dar ndio anajifanya kuikumbuka ikulu ya Dodoma?Akae huko huko asirudi mjini
Mzee anasahau Corona kidogo anakula bata chamwino View attachment 1397187View attachment 1397188View attachment 1397189View attachment 1397191
Sent using Jamii Forums mobile app
MBONA KAVAA SARE ZA CHADEMA?Mzee anasahau Corona kidogo anakula bata chamwino View attachment 1397187View attachment 1397188View attachment 1397189View attachment 1397191
Sent using Jamii Forums mobile app
Sijalielewa swali, timeframe ya hizo picha ndio nini?.
P
Umenena vema. Hii raha ya kugaragara juu ya mawe anaipata wapi wakati wenzake tunaomboleza makanisani, misikitini na kila mahali kwa ajili ya janga hili la corona.Waziri mkuu wa Australia almanusura wananchi wamtumbue kisa picha yake ya vacation wakati nchi inahangaika na janga la moto mwezi december mwaka jana, sasa leo hii kuna janga la kidunia mtu anapost picha akiwa amelala kwenye mawe akipunga upepo hii haileti picha nzuri, kuna muda napata feeling huenda kuna watu wanafanya sabotage bila mzee baba kujielewa.
Sent using Jamii Forums mobile app
Hapo ni ikulu.Mbona naona Rais kama yuko kwenye mazingira hatarishi ? Huku kwenye mawe Kuna usalama kweli? Mlinzi wake Yuko wapi?
Unaomboleza?UMENENA VEMA. HII RAHA YA KUGARAGARA JUU YA MAWE ANAIPATA WAPI WAKATI WENZAKE TUNAOMBOLEZA MAKANISANI, MISIKITINI NA KILA MAHALI KWA AJILI YA JANGA HILI LA CORONA.
Sema Baba yako!Magufuli baba lao
Hapo ni ikulu.
Hizo akili za kulazimisha kwenda kula Bata ndo zimegharimu maisha ya Waitalia wengi!Unaomboleza?
Huko Italy kwenyewe watu wanalazimishwa kukaa nyumbani, wanataka wakale bata