Rais Magufuli alivyovuruga Uhusiano na Wadau wa Maendeleo

Rais Magufuli alivyovuruga Uhusiano na Wadau wa Maendeleo

Kinacho endelea Venezuela ni zaidi ya unavyo yaelewa mataifa ya mabepari.


Neno mabepari linatumika kuficha ujinga, udhaifu na upumbavu wa viongozi aina ya Hugo Chaves na kibaraka wake Dereva wa Mwendokasi Maduro na wengine wengi; Hata Mugabe bado atawasingizia mabeberu for turning a once booming Zimbabwe from being Africas Grain basket to a basket case nation with a million % inflation rate! Kama tunajua kwamba there is no free lunch, yes! It is also true we can not manage in isolation; enzi za Robbinson Crusoe zilishaisha!
 
Je watanzania waliendelea baada ya kupewa hiyo misaada? Ili tuendelee inabidi tuwe "sooooooooooo broke" ili akili ije tujitegemee kwa kodi zetu kama walio endelea - waliokuwa wanatupa hiyo misaada. Misaada inadumaza. Hatuitaki. Afadhali kukopa.
Kwa Elimu ipi?
Jaribu kutumia akiba ya akili Kidogo.
Maendeleo Uhitaji Elimu,

Libeberu ni muhimu sana kwetu.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Wakikupa shilingi 100 hao wadau wa maendeleo unaowasema kisha ukalipa mishahara watu wao wanaokuja kwa majina ya expert 60% ya hiyo 100 kisha wakafanya manunuzi kwa hiyo hiyo 100 tena vifaa toka zilikotoka 30& na kisha ukawapa misamaha ya kodi kwa bidhaa zao zinazoingia hapa ndani utabaki na nini? Ni bora kubaki hauna ukajua hauna.

Sent using Jamii Forums mobile app
Hata wasipo chukua kwao nchini mwako vipo?, hayo ni mapatano ya kibiashara na hiyo ni biashara na miradi mingi iliyopo nchini huo ndiyo mwelekeo wake mwenye nacho ndiye mwenye maamuzi na kwa mutumiaji ni kuangalia faida na hasara ya maamuzi yako. Swali la msingi ni kujiuliz tunafaidika kwa maamuzi hayo au tuaingia hasara?
Hata wajenzi wa reli wanatoa vifaa kwao, na maexpert wanatoka kwao hiyo niyo biashara ya dunia, tusiwe wageni kwenye ukweli
 
Rais JPM leo kazungumzia habari kukolezwa munyu. Hao WB si wanafanya biashara ya kutukopesha, Waambieni wakiondoka wamekosa mteja tutaenda ADB, wa kwende zao.

Hao wadau wengine walipewa mikataba ya kuiba madini na raslimali nyingine halafu wanatugaia kidogo kutoka walichotuibia nao wa kwende zao, Tanzania bado itasisimama tu, wala msitishe watu na propoganda zenu, eti Tanzania iwe Zimbabwe iliyokuwa inaongiozwa na maiti inayotembea. Acheni kelele zenyu mpeni nafasi JPM ainyoshe hii nchi illiyogeuzwa kuwa shamba la bibi na wahuni flani hivi. Hivi Zimbabwe wana hata bandari kweli? Sasa kwa nini mtishe watu kuwa Tanzania yenye bandari egeuke kuwa Zimbabwe?

Propoganda zile za mazunguzo baada ya habari zimepitwa na wakati na zinachosha, hazina mashiko tena. Badilikeni.
 
Tatizo ni Jiwe.
Tuna raisi wa hovyo kweli.
Anajifanya mzalendo lakini maneno na matendo yake yanaiharibu nchi.
#JiweMustGo
Kalime inafanya nini mijini kama huna kazi au shughuli ya kukuingizia pato. Usiwe kupe. Kuwa kule ni umasikini. Wewe mlalamikaji ndiye unayeleta umasikini katika nchi yetu. Kupe mkubwa wewe. Hata haibu huna!

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Mkuu safi sana kama ana akili autumie huu ushauri wa bure ,akiyafata haya Manyumbu hayajasoma Uzi yamo mkupinga tu.
 
Reli na miradi mingine uliyoitaja haitakamilika wakati wa Magufuli. Akilazimisha hatalipa mishahara. Siku hizi TRA wanapiga simu hadi jumapili "kukumbusha" kulipa kodi. Na bado jiwe anataka hadi wauza mchicha na mishikaki walipe kodi (nionyesheni mchoma mishikaki wa kawaida atakaepata revenue inayovuka 4m kwa mwaka).
Hiyo ni dalili ya kushindwa. And fail he will surely do just that.
Namshukuru baba yangu kwa kunihimiza niende shule. Shule imenifanya nione mengi ya ulimwengu. Kusema kweli elimu ni ufunguo wa maisha. Nina uhakika ungejitahidi shuleni ungepata nafasi ya kwenda kusoma kwa wenzetu, huko ndiyo ungejua nini maana ya kodi kwa Taifa.

Nchi zote zilizoendelea zimendelea kwa ajili ya kodi. Wewe unfikiri hizo nchi zinapata wapi pesa za kugharimia miradi na matumizi mbali mbali? Kodi iko hata kwenye Biblia na Koran. Kodi sio kwa ajili ya Magufuli kodi ni kwa ajili yako na vizazi vyako baadae.

Wenzako wanso soma bure wanajua muhimu wa walipa kodi.

Kuto kujua vitu kweli ni umasikini wa akili!

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Kalime inafanya nini mijini kama huna kazi au shughuli ya kukuingizia pato. Usiwe kupe. Kuwa kule ni umasikini. Wewe mlalamikaji ndiye unayeleta umasikini katika nchi yetu. Kupe mkubwa wewe. Hata haibu huna!

Sent using Jamii Forums mobile app
Kupe ni nyie mnaofisadi fedha za umma pumbavu, wezi wa fedha za umma 2.4T.
Kusema ukweli na kulalamika ni vitu viwili tofauti, we punguani.
 
Mkuu yaani katika watu ambao wamekaa nje kwa mda mrefu mpaka wana sahau kiswahili kama ulivyodai, basi wewe ni mtanzania wa kwanza ambaye amewahi kuandika upuuzi usio semeka ambao sijawahi kuusikia. Yaani kukaa kote huko Amerika umeshindwa kupata exposure kiasi kwamba unaandika madudu humu kama mtu ambaye hata Msumbiji hajafika?

Inasikitisha sana na nimekuwa very very disappointed. Yaani kuishi kote nje bado unatumia neno msaada. Yaani unaona ufahari kuwa na uhusiano mzuri na wazungu kwa ajili ya misaada?

Haya naomba nitolee list ya maendeleo ambayo hiyo misaada imefanya kwa watanzania. Una maanisha msaada ya wazungu ambao kwao ni jobless kuja kwetu kwa misingi ya kuwapatia kazi. Au una maanisha misaada ya NGOs ambao wanakuja Tanzania na Afrika kwa ujumla kuja kuishi maisha ya kifahari na kujiingiza katika sexual Business. Kuchezesha porno filams na dada zetu na shangazi zetu?

Ningekushauri kwa niaba ya watu ambao wamepata elimu nje na kufanya kazi nje kwa mda mrefu, watu ambao wameyaelewa maisha na dhamira za wazungu, kufutilia mbali hoja yako. Inatudhalilisha sisi tulio pata exposure. Kwa mtu anaye wajua wazungu kwa jinsi walivyo kuwa the Killing machines nisinge tegemea niger kama wewe kuwasifu kiasi hicho na kuwaona wao ndiyo kila kitu. Yaani bila wao hakuna kitu kinawezekana.

Jiamini kijana usiwe na mchecheto wa kukata tamaa ya maisha na kuji positon wewe mwenyewe katika kundi la watu ambao wako inferior. Kuto jiamini kwako ndiyo kitu ambacho kinawapa wao nguvu na kujiona kuwa wao ni Superior. Nakuomba usiruhusu mambo kama hayo.

Sasa kama wewe ambaye umeishi na wazungu na kuyajua maisha yao unakuwa mwoga na kuwababaikia wazungu kiasi hicho sasa yule mtanzania ambaye hajawajua wazungu na mifumo yao ya kutaka kuwa na control over our lives atafanya nini?

Nitarudi tena!!!

Sent using Jamii Forums mobile app
Na wewe umepata exposure nje?? embicile hata kujenga hoja huwezi unaropoka tu.
Wewe kweli bwege msaada kwako ni NGO??
Wale World Bank waliompa bwana wenu kidole cha kati kwenye hela ya barabara na US300M za elimu ni NGO??
Na mngekuwa amuwashobokei asingeenda kuuza sura nao kwenye TV kudanganya atapewa hela only to be disgraced the next day.
Na kule EU unajua Kabudi na Mahiga walitumwa kufanya nini??
Wewe usiyeweza hata kufikiria kwa akili zako unaropoka kama kasuku ndio utaweza kujitegemea.
Its obvious wewe ni mpumbavu fulani unayejifanya mjuaji kwa usichokijua.
 
Na wewe umepata exposure nje?? embicile hata kujenga hoja huwezi unaropoka tu.
Wewe kweli bwege msaada kwako ni NGO??
Wale World Bank waliompa bwana wenu kidole cha kati kwenye hela ya barabara na US300M za elimu ni NGO??
Na mngekuwa amuwashobokei asingeenda kuuza sura nao kwenye TV kudanganya atapewa hela only to be disgaced the next day.
Na kule EU unajua Kabudi na Mahiga walitumwa kufanya nini??
Wewe usiyeweza hata kufikiria kwa akili zako unaropoka kama kasuku ndio utaweza kujitegemea.
Its obvious wewe ni mpumbavu fulani unayejifanya mjuaji kwa usichokijua.
Tena kubwa saba na ndiyo maana sitaki nchi yetu tuwategeme wazungu. Wazungu ni nani kwanza? Wao ni mungu? Nionyeshe kitu ambacho mzungu ameki gundua ambacho kina malengo ya kuwafanya binadam waishi kwa usalama na amani. Kwa taarifa yako mzungu yuko hatarini kujijengea Kabudi lake mwenyewe.
Ushahidi msikilize Askofu Ngwajima. Unamwona yeye mwenda wazimu sasa lakini kizazi cha baadae watayakumbuka maneno yake.

Wayahudi nao wali mkebei na kumsulubu Yesu, lakini sasa wanayaona yale ambayo Prophet wao aliwaonya. Lait wang emsikiliza yeye hivi sasa wangekuwa na amani ya milele.

Zaidi ya hayo mimi najiamini na ninauhakika tunaweza. Ilimu tunayo na maarifa pia, kinachokosekana ni ushujaa wa kuamua mambo mazito na kufanya kinachotakiwa kufanya.

Fine mkuu naomba maana ya Bank. Bank ni kitega uchumi kama kampuni yeyote ile ambayo ina afanya biashara. Kwa hiyo World Bank inapo toa hela haitoi kwa ajili ya kuipa nchi kama msaada bali ni mkopo ambao tunaurudisha kwa riba.

Umejiuliza kwa nini nchi za kiafrika ndizo zenye madeni makubwa zaidi kwenye World Bank kama huo ni msaada?

Nchi yenye rasilimali nyingi kama Tanzania au Kongo hatustahili kuwa nchi tegemezi na wala hatuhitaji mikopo ya World Bank wakati tuna weza uza dhahabu na almasi zetu.

Wewe kama ungekuwa unauwezo wa kutoa hoja nzuri basi nategemea unaweza tambua tofauti kati ya msaada na mkopo. Wewe unafikiri duniania kuna nchi ambazo zinatoa tu misaada bure bila wao kunufaika. Ebu jiulize kwa nini sisi wapokeaji wa misaada hatuendelei lakini watoaji wanazidi kuendelea? Ukijua hilo nafikiri ndiyo utajua nani anajua kutoa hoja nzuri.



Sent using Jamii Forums mobile app
 
Tena kubwa saba na ndiyo maana sitaki nchi yetu tuwategeme wazungu. Wazungu ni nani kwanza? Wao ni mungu? Nionyeshe kitu ambacho mzungu ameki gundua ambacho kina malengo ya kuwafanya binadam waishi kwa usalama na amani. Kwa taarifa yako mzungu yuko hatarini kujijengea Kabudi lake mwenyewe.
Ushahidi msikilize Askofu Ngwajima. Unamwona yeye mwenda wazimu sasa lakini kizazi cha baadae watayakumbuka maneno yake.

Wayahudi nao wali mkebei na kumsulubu Yesu, lakini sasa wanayaona yale ambayo Prophet wao aliwaonya. Lait wang emsikiliza yeye hivi sasa wangekuwa na amani ya milele.

Zaidi ya hayo mimi najiamini na ninauhakika tunaweza. Ilimu tunayo na maarifa pia, kinachokosekana ni ushujaa wa kuamua mambo mazito na kufanya kinachotakiwa kufanya.

Fine mkuu naomba maana ya Bank. Bank ni kitega uchumi kama kampuni yeyote ile ambayo ina afanya biashara. Kwa hiyo World Bank inapo toa hela haitoi kwa ajili ya kuipa nchi kama msaada bali ni mkopo ambao tunaurudisha kwa riba.

Umejiuliza kwa nini nchi za kiafrika ndizo zenye madeni makubwa zaidi kwenye World Bank kama huo ni msaada?

Nchi yenye rasilimali nyingi kama Tanzania au Kongo hatustahili kuwa nchi tegemezi na wala hatuhitaji mikopo ya World Bank wakati tuna weza uza dhahabu na almasi zetu.

Wewe kama ungekuwa unauwezo wa kutoa hoja nzuri basi nategemea unaweza tambua tofauti kati ya msaada na mkopo. Wewe unafikiri duniania kuna nchi ambazo zinatoa tu misaada bure bila wao kunufaika. Ebu jiulize kwa nini sisi wapokeaji wa misaada hatuendelei lakini watoaji wanazidi kuendelea? Ukijua hilo nafikiri ndiyo utajua nani anajua kutoa hoja nzuri.



Sent using Jamii Forums mobile app
Eti 'Ushahidi msikilize Askofu Ngwajima' hovyo kabisa wewe. Hii ndio exposure yako?? What makes his word absolute?? Is he a god?? Pathetic.
Hao wazungu unao wadharau kwa ujinga wako ndio waliokuletea elimu na hiyo dini ya Ngwajima wako.
Na hao wazungu ndio wanaosaidia miradi mingi ya maendeleo Africa na hapa kwetu Tanzania kwa asilimia kubwa sana tu na ndio maana Jiwe aliuza sura mbele yao na kuwatuma Kabudi na Mahiga EU to his disgrace.
Wewe ukiona Bank unafikiria CRDB?? Unazijua huduma za fedha za world bank?? Why not any other bank then??
FYI world bank wanatoa mikopo ya riba ndogo na misaada kwa nchi zinazoendelea, jiongeze usikariri.
Kutoendelea kwa nchi za Afrika na Tanzania ikiwa mmoja wao ni kwa sababu za ufisadi wa viongozi kama Jiwe, wabinafsi wasio na vision.
Serikali yako inaposhindwa ku account 2.4T alafu wewe unasema wazungu kama sio upumbavu ni nini??
 
But this is also never going to happen maana ukweli unajulika kuwa yeye ndio muasisi mkuu wa hiyo sheria.

I'm glad you reached that conclusion, because my mind was already tickled on the words you had written prior to this statement.
Najua uandishi wa namna hii. Nadhani background yako itakuwa kwenye 'political science,' International relations, au vitu vya namna hiyo.

Unaifanyia vyema taaluma yako. Kuna vijana wengi sana hapa JF wanao'spire' kwenye taaluma kama hizi za "Uchambuzi". Ingewafaa sana wakachota mtindo huu unaoutumia wa kuwasilisha hoja zenye 'ushahidi na takwimu' zinazotakiwa.

Kwa mara nyingine ninakupongeza sana.

Natamani sana kwenda mstari kwa mstari na ku-'critic' uliyoyaandika hapa.; lakini (uvivu aisee!) ni mbaya sana kwa sasa.

Lakini hebu nikupe sampuli tu ya mambo ambayo mimi ningependa uyazingatie.

Anzia mchango Na. 7 katika mada yako hii, kwa mfano. Wapo wapiga vigelegele wengi sana wa namna hiyo. Sasa hivi wanakwambia 'misaada inalemaza', kana kwamba hawakujua hivyo toka siku zote. They woke up one morning recently and found out that 'misaada' inatunyima kujiendeleza wenyewe. As if, we cannot deploy our self-reliance efforts irrespective of having the help! And after all, why do we have to wait until misaada are no longer forthcoming to realise that we needed to be self-reliant in the first place?

Look. WB wanataka kukupa msaada (concessional loan) $300 million uendeleze elimu yako ili uweze kujitegemea mwenyewe. Then you turn around and say, "missada inatulemaza."

My take on this whole saga la misada: acha tunyooke aisee, possibly when the going gets tough, our minds will be jolted to be serious on who we chose to be our leaders.

Na bado hujazungumzia sana kuhusu 'personal attributes' za a mtoa kauli ya mwisho kama ,kupenda kusifiwa, kulewa madaraka; ingawaje umegusia 'ego'. Usidhani maneno na sifa kama 'bulldozer' ni kitu kidogo. It means a lot in the realm of some individuals.

There can be a sliver lining in every cloud, you know!
Misamiati yetu mhimu: Pesa ipo, miradi yote itatekelezwa kwa pesa yetu wenyewe. That will be wonderful when it indeed happens -
 
Tumekabidhi chi kwa washamba:
zitto zuberi kabwe
 
I'm glad you reached that conclusion, because my mind was already tickled on the words you had written prior to this statement.
Najua uandishi wa namna hii. Nadhani background yako itakuwa kwenye 'political science,' International relations, au vitu vya namna hiyo.

Unaifanyia vyema taaluma yako. Kuna vijana wengi sana hapa JF wanao'spire' kwenye taaluma kama hizi za "Uchambuzi". Ingewafaa sana wakachota mtindo huu unaoutumia wa kuwasilisha hoja zenye 'ushahidi na takwimu' zinazotakiwa.

Kwa mara nyingine ninakupongeza sana.

Natamani sana kwenda mstari kwa mstari na ku-'critic' uliyoyaandika hapa.; lakini (uvivu aisee!) ni mbaya sana kwa sasa.

Lakini hebu nikupe sampuli tu ya mambo ambayo mimi ningependa uyazingatie.

Anzia mchango Na. 7 katika mada yako hii, kwa mfano. Wapo wapiga vigelegele wengi sana wa namna hiyo. Sasa hivi wanakwambia 'misaada inalemaza', kana kwamba hawakujua hivyo toka siku zote. They woke up one morning recently and found out that 'misaada' inatunyima kujiendeleza wenyewe. As if, we cannot deploy our self-reliance efforts irrespective of having the help! And after all, why do we have to wait until misaada are no longer forthcoming to realise that we needed to be self-reliant in the first place?

Look. WB wanataka kukupa msaada (concessional loan) $300 million uendeleze elimu yako ili uweze kujitegemea mwenyewe. Then you turn around and say, "missada inatulemaza."

My take on this whole saga la misada: acha tunyooke aisee, possibly when the going gets tough, our minds will be jolted to be serious on who we chose to be our leaders.

Na bado hujazungumzia sana kuhusu 'personal attributes' za a mtoa kauli ya mwisho kama ,kupenda kusifiwa, kulewa madaraka; ingawaje umegusia 'ego'. Usidhani maneno na sifa kama 'bulldozer' ni kitu kidogo. It means a lot in the realm of some individuals.

There can be a sliver lining in every cloud, you know!
Misamiati yetu mhimu: Pesa ipo, miradi yote itatekelezwa kwa pesa yetu wenyewe. That will be wonderful when it indeed happens -
There can be a sliver lining in every cloud, you know!
Misamiati yetu mhimu: Pesa ipo, miradi yote itatekelezwa kwa pesa yetu wenyewe. That will be wonderful when it indeed happens -

Ndoto za ndalia. Ndo maana tunaambia tufyatue labda wengine watapelekwa utumwani ili tupate pesa ya kujikimu.
 
Ndugu Asha,

Umeelezea hapa mengi ya ukweli na yanazidi kuendelezwa. Kabla ya Raisi Magufuliwa hajapewa ridha ya CCM, kugombea Uraisi kupitia chama, watangulizi wake walikuwa na majukumu mengi sana, k.M. ....

Nyerere : Alikuwa na Jukumu la kuhakikisha kuwa Tanzania linakuwa Taifa la kipekee barani africa, katika nidhamu za usawa na kutokomeza ukabila. 1960 kiswahili was not widely spoken inTanganyika Bara - Nyerere Alijitahidi kuifanya kiswahili kuwa lugha pekee ya watanzania wote, Kupeleke elimu sehemu zilizokuwa nyuma sana kimasomo. Enzi ya Mwalimu ukabila ulififia kabisa.

Mwinyi : Aliikuta nchi ikiwa salama lakini hali ya uchumi ilikuwa tete kabisa kwa wananchi, baada ya kuona serekali haina uwezo wa kuwapatia wananchi na haswa vijana ajira, akaamua kufungulia biashara kwa kuondoa vikwazo vingi, ndipo akapewa jina la mzee ruksa. wakati wake mahitaji mengi yalipatikana, na mfumo wa ujasirimali ukaanza upya. Pia Mzee Mwinyi ndie aliyeanzisha Miradi ya Barabar na miundombinu.

Mkapa: Huyu Ndiye kiongozi aliyetumia bidii za ziada kurekebisha uchumi wetu, alijitahidi sana kurudisha imani ya wawekezaji , haswa kwenye Madini, ndio tukaona migodi mingi ya dhahabu kuibuka na kuleta ajira nyingi. Pia ndiye aliyeleta ushindani wa biashara ili tupate mahitaji yetu kwa unafuu. Mashirika ya Umma ambayo yalikuwa ni MIRIJA kwa serekali, ambayo badala ya kufanya kazi ipaswavyo na kutuletea faida, yalikuwa yanatuletea hasara, Mkapa aliya Binafsisha, japokuwa matumaini yalikuwa yafufuliwe na yafanye kazi, Watendaji wa serekali waliyauza kwa bei za kutupa na bila kujali ni nani anayepewa. Mkapa aliipaisha economy ya Tanzania vizuri.

Kikwete: Huyu ndiye mwana Diplomasia mahiri sana Barani Afrika, bila ya kupingwa alipaaisha bendera ya Tanzania vizuri sana. Japokuwa alikuwa na safari nyingi za njee, lakini kila arukapo na kutugharimu $1m, alirudi nchini na miradi isiyopungua $10 millions na ushey.., Mambo mengi ya maendeleo yalifanyika wakati wake, hata huyu Raisi aliyepo leo , alikuwa busy sana kuendeleza hiyo miradi.Wakati wake Viongozi wengi wa Mataifa makubwa na madogo walitembelea Tanzania. We were the focus country

Magufuli: Alichotakiwa ni kuwa the Combiner of all the best eliments za hao watangulizi wake na kuendeleza, Anajitahidi sana kutokomeza Rushwa naUvivu, Pia anijitahidi sana kwenye miindombinu. Bali anahitajika kuwa na a very good Diplomatic relationship.

Ndugu Aisha, kwenye uzi wako ulisema ingependeza kama atakataa kuisaini ile sheria ya Vyama Vya siasa, iliyopitishwa bungeni. Leo ameisaini. Huyu Raisi wangu tena wa Chama changu adhimu CCM,sio msikilizaji wa ushauri.

Ndugu wala tusiende mbali sana, hebu tuangalie late 2014 na early 2015, meishini wa awamu za Kikwete, Magufulu hakuwemo katika sura za waliotegemewa kupeperusha bendera ya CCM, wala hakuna aliyetegemea. Viongozi wa Chama changu walikaa cini wakashauriana safari tunahitaji mtu wa aina gani , inasemekana wote wakasema lazima awe mtu safi asiye na madudu ya ufisadi, awe mchapa kazi na mengine mengi. Juhudi zilifanywa kwa bidii kwelilweli haswa na Akina Mkapa, Kikwete, Kinana, mpaka akapatikana Magufuli. Hebu tuone leo kawaweka wapi, Jee anawasikiliza, Anashauriana nao, anawapenda, jee yuko karibu nao. JIBU NI HAPANA .... Laiti Raisi wangu angekuwa anashauriana na watu kama hao juhudi zake zingepata baraka nyingi sana.
 
Usiogope, nchi hii inaweza kuwadonor country soon haswa baada ya kulijenga hilo bwawa kubwa sana la Stigla's goji. Tutakuwa na umeme mwingi kiasi cha kuwauzia nchi zote za EAC na Sadec hadi Africa Kusini. Tutapata mapesa mengi hadi wazungu mabeberu waje kutukopa badala ya kwenda kuomba China iwasaidie. Msiogope; We are riding toward the laiti pathi
Unadhani kati ya nchi zinazotuzunguka, nchi gani ina shida ya umeme wenu? Msumbiji wana Kabola Bassa Dam, Zambia wa Kariba Dam, Congo wana Inga Dam, jifunze capacities na uwezo wa mabwawa ya wenzako kabla hujabwatuka. Hata Uganda kwenye Owen wanakuzidi umeme wao.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom