Rais Magufuli amchenjia Makonda?

Liko wazi tu

Kuwa anatania ndio maana wote wanacheka.

Makonda hana kosa alipewa wakati si kiongozi. Na nauli tu ya Dodoma mbona anairuidusha fastaa

Sent using Jamii Forums mobile app
 

Ingekuwa mwingine angetumbuliwa palepale.

Mambo ya ‘kama ni kweli’ yasingekuwepo!

Sad.
 
Nyani Ngabu,
Duh mfalme wa Dar ametajwa tena leo.Lakini hana wasiwasi maana hakuna tsunami lenye uzito wa kumtingisha.Nasema Makonda chapa kazi.
 
Labda ingependeza kama ungeelezea kwa kifupi makosa ya huyo bwana mdogo DAB ili ruweze kuchangia kwa uhakika zaidi. Karibu kiongoz
 
Ingekuwa mwingine angetumbuliwa palepale.

Mambo ya ‘kama ni kweli’ yasingekuwepo!

Sad.
Yaani katoa onyo la kurudisha sio la kukaripia lile la kufanya maamuzi sio kama la wengine wanavyofanyiwa hadharani
 
Vidokezo navyo tunageuza kuwa mijadala wakuuu ile ilikuwa kidding
 
Nyani Ngabu,
Kwakuwa hao wawili wana maagano yao Magu hana uwezo wa kumwajibisha Makonda kama ambavyo anavyowawajibisha wengine. Magu mpaka anaingia kaburuni hawezi sahau Makonda alichomfanyia. Makonda kashika mpini na Magu kashika makali huo ndiyo ukweli mchungu!!!!
 
Magufuli kwa mara nyingine ametuonesha alivyo weak.

Zile tumbua tumbua zote zilikuwa ni show ya kibabe kwa wasio na hadhi, kakutana na Makonda imebidi amuombe kiupolepole kama mwanamke anayemuogopa mumewe.

Mara ya kwanza niliona weakness hii kwenye issue ya Makonda kuingiza makontena bila kulipa kodi.

Hii ni mara nyingine.

Pia, rais mzodoaji watu hatakiwi kuanza kuongelea habari za "kama", hususan ikiwa Makonda mwenyewe yupo hapo.

Ile style yake Magufuli ya kuendesha mahakama majukwaani kwa nini haitumii kwa Makonda? Kwa nini hakumtaka Makonda ajieleze?

Na zaidi, ikiwa Makonda atarudisha hela, kitatokea nini?

Ndiyo utakuwa mwisho wa habari? Au atachukuliwa hatua zaidi?

Asipochukuliwa hatua, rais atakuwa anatuma ujumbe gani? Kwamba watumishi wa serikali wafuje mali za umma na kuiba tu, wasikamatwe, na wakikamatwa hawachukuliwi hatua, wataambiwa warudishe walichoiba tu?
 
Ila kweli it's unlikely to happen.... Kuna muda hata mkulu anaonekana kumtumia kwenye mission zake.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…