Englishlady
JF-Expert Member
- Apr 11, 2013
- 2,736
- 3,644
Umesikiliza vizuri hotuba?Najiuliza kama wengine ambao walitumbuliwa kama walipewa hiyo benefit of doubt!
Alafu kwa sisi makamisaa kumbuka kasema kama anabembeleza.
Nukuu;makonda kama kweli hiyo hela umeichukua irudishe ,nasema tena kama ni kweli urejeshe:mwisho
Kwa kauli hii ingekuwa sio patna wake anamsema hivyo labda mkuu mwingeni wa mkoa leo hii hii pale pale ngetoa tamko.
Anaweza... Japo si rahisi
Yaani katoa onyo la kurudisha sio la kukaripia lile la kufanya maamuzi sio kama la wengine wanavyofanyiwa hadharaniIngekuwa mwingine angetumbuliwa palepale.
Mambo ya ‘kama ni kweli’ yasingekuwepo!
Sad.
Labda kuwe na other forces toka juu zaidi, maana kama kumtumbua kwa mamlaka yake kama rais bas angekua kashamtumbua siku nying sana.Anaweza... Japo si rahisi
Magufuli kwa mara nyingine ametuonesha alivyo weak.Rais Magufuli leo kasema, kama Makonda alizitumia fedha za TASAF, basi na azirudishe.
Vilisikika vicheko hafifu na vya chinichini baada ya Rais kusema hivyo.
Kamera nazo zikamwonyesha Makonda, aliyekuwa kakaa mbele pamoja na viongozi wengine, akitabasamu kana kwamba hana wasiwasi wowote. Yaani hakuna baya litalomtokea [sababu yaweza kuwa ni kwa sababu hakuzitumia kabisa hizo hela, au, alizitumia lakini anajua kuwa Rais hatomfanya chochote, n.k.]
Kamera pia ziliwaonyesha marais wastaafu wote watatu.
Kwa kuwasoma lugha yao ya mwili, ni kama vile walikuwa ‘embarrassed’ na alichokisema rais.
Ni kweli Rais Magufuli alimaanisha alichokisema au kasema vile ili kuonyesha tu kuwa ‘hampendelei’ Makonda?
Binafsi naona kama vile kasema tu ili kuonyesha ‘hampendelei’ jamaa huku kiuhalisia hakuna lolote atalomfanya maana jamaa ana madhambi mengi na makubwa kuliko hilo la kutumia fedha za TASAF.
Bofya video umsikie Rais alivyosema kuhusu Makonda. Kuanzia dakika ya kwanza hadi ya pili.
Kidding kwenye kazi ya serikali na mambo ya pesa?Vidokezo navyo tunageuza kuwa mijadala wakuuu ile ilikuwa kidding
Ila kweli it's unlikely to happen.... Kuna muda hata mkulu anaonekana kumtumia kwenye mission zake.Labda kuwe na other forces toka juu zaidi, maana kama kumtumbua kwa mamlaka yake kama rais bas angekua kashamtumbua siku nying sana.
Huyu jamaa amefanya mengi ambayo hayapaswi kufanywa na kiongozi achilia mbali utata wa elimu yake.
Sent using Jamii Forums mobile app