Rais Magufuli amemtaka Katibu Mkuu Kiongozi kuwapunguzia mishahara watumishi wote TMAA kwa kufanya kazi ya hovyo

Rais Magufuli amemtaka Katibu Mkuu Kiongozi kuwapunguzia mishahara watumishi wote TMAA kwa kufanya kazi ya hovyo

TRA wanamshahara mikubwa balaa.

Waliongezewa mwaka jana.

Meneja tu wa mkoa karibu 12M

Principal officers ni karibu 7M.

Seniors ni 5M

Juniors wanaanza na zaidi ya 2M

Mwenye diploma ana mshahara wa zaidi ya 1M.

Wizarani ama kwenye wizara seniors tena mwenye masters degree hamfikii mwenye diploma wa TRA.

Maisha haya hayako sawa kabisa.
Aisee kweli dunia haiko fair

Central Goverment & Local Goverment 'kwenye mahalmashauri'

Junior staff huanza na TGS D1 ambayo ni kama 710,000 tu

Senior staff anapokea TGS E1 ambayo ni around 900,000 (na ile afikie hii anatakiwa awe ametumikia 5, mwaka wa 6 ndo hupandishwa)
 
Kuna watu naturally hata wakiona mtu nyumba yake imeezuliwa paa na upepo kwao ni shangwe kisa anawazidi kubadili mboga.
 
Hiki kikombe kitampitia kila mmoja mkuu....Yani harukwi mtu,[emoji3]
Kwahiyo mmefurahi? Milioni 15 kama amefanya miaka minne tu atakuwa ameshajenga wewe unayepanua kinywa hapa kwa kicheko inakuaje?
 
Walikuwa wanatucheka wafanyabiashara. Sasa zamu yao 😂😂😂😂😂😂
Kwahiyo mmefurahi? Milioni 15 kama amefanya miaka minne tu atakuwa ameshajenga wewe unayepanua kinywa hapa kwa kicheko inakuaje?

Baada ya makato tote tuseme abakiwe na milioni 11.

Milioni 11 mara miezi mitatu tu anazaidi ya milioni 30 hata ukimvheka yeye ameshafika mbali ktk kujijenga
 
Usanii mtupu, anapokea 9mil?

Kama kweli ana nia njema aanze kupunguza mishahara ya wabunge na wakwake!!
 
Au hazina hela imekauka....
Maana yake mshahara hautakiwi kuzidi 9mil
 
TRA wanamshahara mikubwa balaa.

Waliongezewa mwaka jana.

Meneja tu wa mkoa karibu 12M

Principal officers ni karibu 7M.

Seniors ni 5M

Juniors wanaanza na zaidi ya 2M

Mwenye diploma ana mshahara wa zaidi ya 1M.

Wizarani ama kwenye wizara seniors tena mwenye masters degree hamfikii mwenye diploma wa TRA.

Maisha haya hayako sawa kabisa.
Hatari sana!
 
Kama wanalipwa kwaajili ya kufanya kazi na kazi zenyewe hawazifanyi wafanyiwe tathmini kwa roles zao walizopewa na wapunguzwe na kupunguziwa tuu hamna namna.

Huwezi kulipwa mshahara wa kazi ambazo huzifanyi
 
Namuomba mh.Rais awapunguzie mishahara watumishi wote,ili pesa zinazopatikana aajiri vijana.
Kwauelewa wako mshahara stahiki ni tsh ngap ? Maana kuna wanao lipwa 270,000/= kwa mwezi. Na je? hao watakao ajiliwa walipwe tsh ngapi ili wasionekane wanalipwa mshahara mkubwa ili nao wasije kupunguzwa wakaajiliwa wengine? Ambao nao wataonekana wanalipwa mshahara mkubwa hivyo nao kitakiwa kupunguziwa ili waajiliwe wengine ambao nao watapunguziwa tena ili waajiliwe hao wengine?

Sasa Ukikaa ukatuliza vizuri akili yako utabaini kwamba tatizo la ajira kwa vijana halitatuliwi kwa kupunguzia mishahara walio ajiliwa bali kwa kutengeneza sera nzuri ya uchumi na sera nzuri ya elimu atakayo mfanya kila atakaye soma awe na elimu mbadala ajue namna ya kujishuhulisha na shughuli za mikono kuzalisha pesa hata kidogo kidogo endapo atakosa ajira ya serikali au private sector.
 
Hongera sana maana umejitahidi sana kueleza kitu kikubwa kwa mtu mwenye akili ndogo.
Kwauelewa wako mshahara stahiki ni tsh ngap ? Maana kuna wanao lipwa 270,000/= kwa mwezi. Na je? hao watakao ajiliwa walipwe tsh ngapi ili wasionekane wanalipwa mshahara mkubwa ili nao wasije kupunguzwa wakaajiliwa wengine? Ambao nao wataonekana wanalipwa mshahara mkubwa hivyo nao kitakiwa kupunguziwa ili waajiliwe wengine ambao nao watapunguziwa tena ili waajiliwe hao wengine?

Sasa Ukikaa ukatuliza vizuri akili yako utabaini kwamba tatizo la ajira kwa vijana halitatuliwi kwa kupunguzia mishahara walio ajiliwa bali kwa kutengeneza sera nzuri ya uchumi na sera nzuri ya elimu atakayo mfanya kila atakaye soma awe na elimu mbadala ajue namna ya kujishuhulisha na shughuli za mikono kuzalisha pesa hata kidogo kidogo endapo atakosa ajira ya serikali au private sector.
 
Kwahiyo mmefurahi? Milioni 15 kama amefanya miaka minne tu atakuwa ameshajenga wewe unayepanua kinywa hapa kwa kicheko inakuaje?

Baada ya makato tote tuseme abakiwe na milioni 11.

Milioni 11 mara miezi mitatu tu anazaidi ya milioni 30 hata ukimvheka yeye ameshafika mbali ktk kujijenga

Mzee mimi nalala barabarani ? Halafu niko kwenye ofisi yangu. Unajitutumua wakati uko kwenye ofisi ya watu?😂😂😂😂
 
JPM namkubali sana. Anacheza fair game. Ipo siku tutaheshimiana na kuamua kwa heshima kuweka maslahi ya Tanzania mbele.
Mfano, wakusanya kodi wengi ni abusers wa position zao. And yet they are highly paid. Kazi wanayo
 
Back
Top Bottom