Rais Magufuli amemtaka Katibu Mkuu Kiongozi kuwapunguzia mishahara watumishi wote TMAA kwa kufanya kazi ya hovyo

Hivi hakuna sheria au Sera rasmi inayoratibu issue similar na Jambo hili? I think Magufuli has lost relevance so has resorted to overreaction to even trivial issues.

Kama sheria/mwongozo maalum haipo si Serikali iuweke? Kama CS hataki kuweka mwongozo si amfute KAZI!? Kama sheria ya utumishi WA umma inaruhusu hayo anayokemea Rais ana locus stand gani ya kutishia watumishi wa umma?!

After all hakuna mfanyakazi hata mmoja kati ya hao anaowalaani ambaye anajilipa mshahara.

Magufuli aelezwe aache fake revolutionaire politique.
 
Kama wagonga meza wanakula salary zaidi ya mil. 10, posho, mkopo wa gari, mafuta ya gari, pesa ya jimbo na kinua mgongo 200mil+ baada ya miaka mitano anaona nongwa wataalamu kulipwa hiyo mil. 10. Ni bora sasa kufukuza watumishi wote wa umma ili watu wafanye kazi kwa kujitolea serikali iokoe pesa.
 
Kwa mshahara wangu nakopa 9m makato miaka 7 kudadeki na hapo natembelea choki ya ⅓ ...kuna watu mkopo wangu wa miaka 7 wao wanachukua kwa mwezi
 
Wakati wa mafao ya kustaafu inapasa pia mchakato wa malipo kwa viongozi wa kuteuliwa uishie kwenye ngazi ya Tgs h badala ya k kwa sababu akisha staafu hawi kiongozi tena na huu ndiyo uzalendo kweli kweli
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…