Kizzy Wizzy
JF-Expert Member
- Aug 2, 2013
- 3,280
- 3,789
Ulifanya kosa kuchana kutemea mate na kukanyaga kitabu Kitakatifu. Pamoja na malumbano yote lakini haukuwa sahihi ulihatarisha amani katika jamii na kuchochea magomvi.
'Everyone deserves a second chance'
Sasa fanya hivi:
Chukua simu jirokodi ukiwa pekeyako ukiwa unaomba radhi Waislamu, Wakristo na jamii kwa ujumla.
Yaani ongea kwa hisia kubwa sana ikibidi utoe machozi[emoji23][emoji23], kiri kosa lako kubali jishushe sema ulikosea, waombe radhi Watanzania, teka hisia zao.
Lia yani ileile, onesha umekosea sana, tafuta sympathy ya jamii.
Then ipost hiyo clip kwenye mitandao ya kijamii, mimi nina uhakika itamfikia Mh. Rais na ninavyojua jamaa alivyo ana moyo mlaini, yaani atakusamehe chaap utarudi kazini.
Yaani hutaamini kwenye mkutano unaofata Mh Rais atasema:
"Nimeona clip kijana mtumishi wa umma aliechana kitabu kitakatifu akiomba radhi kwa Watanzania wa dini zote, mimi nasubiri mniambie kama mmemsamehe ili na mimi nimsamehe, eti mmemsamehe...." watu Ndioooooooo!
Mh Rais: "Haya na mimi naamuru arudishwe kazini mara moja maana kama nyinyi Watanzania mmemsamehe mimi ni nani niendelee kumuadhibu naamini kila mtu anastahili nafasi ya pili"
[emoji23][emoji23][emoji23] hapo unakuwa umechomoka mzee baba.
Try it mkuu itakusaidia.
Sent using Jamii Forums mobile app
'Everyone deserves a second chance'
Sasa fanya hivi:
Chukua simu jirokodi ukiwa pekeyako ukiwa unaomba radhi Waislamu, Wakristo na jamii kwa ujumla.
Yaani ongea kwa hisia kubwa sana ikibidi utoe machozi[emoji23][emoji23], kiri kosa lako kubali jishushe sema ulikosea, waombe radhi Watanzania, teka hisia zao.
Lia yani ileile, onesha umekosea sana, tafuta sympathy ya jamii.
Then ipost hiyo clip kwenye mitandao ya kijamii, mimi nina uhakika itamfikia Mh. Rais na ninavyojua jamaa alivyo ana moyo mlaini, yaani atakusamehe chaap utarudi kazini.
Yaani hutaamini kwenye mkutano unaofata Mh Rais atasema:
"Nimeona clip kijana mtumishi wa umma aliechana kitabu kitakatifu akiomba radhi kwa Watanzania wa dini zote, mimi nasubiri mniambie kama mmemsamehe ili na mimi nimsamehe, eti mmemsamehe...." watu Ndioooooooo!
Mh Rais: "Haya na mimi naamuru arudishwe kazini mara moja maana kama nyinyi Watanzania mmemsamehe mimi ni nani niendelee kumuadhibu naamini kila mtu anastahili nafasi ya pili"
[emoji23][emoji23][emoji23] hapo unakuwa umechomoka mzee baba.
Try it mkuu itakusaidia.
Sent using Jamii Forums mobile app