afisakipenyo
JF-Expert Member
- Sep 1, 2020
- 445
- 777
mwamba kama madini anayoKatambi sura yake imekaa kikazi zaidi,lakini kikubwa wote ni CCM.
Angalia kifua Cha Masele na Cha Katambi..Kana Kama utapiamlo..lol
Hapo ndo mjue Raisi Magufuli ni genius, unaweza ukazani kamsahau mtu ama kamuonea kumbe anampango naye mwingine mkubwa, mfano ni huyo Steven Masele.
Ambaye anaweza kuwa balozi kuwakilisha nchi kwenye taifa jingine, ama SADC, AU, na UN.
Hahhhahahahaajjajaa...tindo mie sitaki jaman..Nacheka kilammtu ananishangaa dahMkuu unajua maana ya neno genius? Ama Ni spelling error?
Upuuzi mtupu, kabla ya kura za maoni tuliambiwa watakaotoa rushwa watakatwa na wote waliokatwa walitoa rushwa, sasa mwenye dhambi ya hivo unamrudishaje kwe serikali yako.Hapo ndo mjue Raisi Magufuli ni genius, unaweza ukazani kamsahau mtu ama kamuonea kumbe anampango naye mwingine mkubwa, mfano ni huyo Steven Masele.
Ambaye anaweza kuwa balozi kuwakilisha nchi kwenye taifa jingine, ama SADC, AU, na UN.
katambi bana bora angetulia kuu mkuu wilaya maana mishahara ndo ile ile the same 3M tofauti ni kwamba mkuu wilaya kila siku lazima awahi kazini yan kama mwanafunzi ila mbunge anakua free na uhakika wa miaka mi5 bila kuguswa ila ukuu wilaya mkuu akiamua chap tu nyuma geukaAngalia kifua Cha Masele na Cha Katambi..Kana Kama utapiamlo..lol
Kwann asifae kwenye ubunge halafu afae kwenye ubalozi?? Aache unafiki huyu John.Ndugu Steven Masale atampangia kazi ya ukuu wa Mkoa au ubalozi. P
Akihutubia wakazi wa Tinde huko Shinyanga, mgombea Urais wa Tanzania kupitia CCM amesisitiza wananchi kutomchagulia wagombea wa Vyama vya Upinzani hata kama wanafaa. Amedai kuwa wamchagulie madiwani na wabunge wa CCM kwa sababu ataweza kuwabana.
Zaidi amedai kuwa aliyeongoza kura za maoni Ndugu Steven Masale atampangia kazi ya ukuu wa Mkoa au ubalozi. Picha inayoonekana tayari kuna ugumu katika jimbo hilo kwa kutokukubalika kwa mgombea aliyepitishwa kinyume na pendekezo la kura ya maoni.
Ameendelea kudai kuwa wasiangalie sura nzuri hali iliyoonesha kuwa kwa mtazamo wake Masele anasura nzuri ukimlinganisha na Katambi.
Acha kufananisha ujiniazi na vitu vya kipumbavuHapo ndo mjue Raisi Magufuli ni genius, unaweza ukazani kamsahau mtu ama kamuonea kumbe anampango naye mwingine mkubwa, mfano ni huyo Steven Masele.
Ambaye anaweza kuwa balozi kuwakilisha nchi kwenye taifa jingine, ama SADC, AU, na UN.
Hilo dude tunalifumua asubuhiAkajiajiri uraisi atausikia akiwa
Dawa ni kukataa miswaada ya hati za dharura.Mkuu kwake yeye nafasi za Ukuu wa Mkoa na Wilaya ni za kufariji watu....!!
Masele alitakiwa kupewa Uwaziri na kuandaliwa kwa level hata ya Urais .... Tatizo la CCM wanapenda madaraka lakini hawana succession plan ya kueleweka. Ikifika 2025 utakuta mpaka akina Makonda na Polepole watachukua form ya Urais!!
Without any form of alliance ni Ndoto kuitoa CCM madarakani.Mnavyosema atashindwa uchaguzi ni kuwa mmeamua kujitoa ufahamu au mmechanganyikiwa??Magufuli hatoshinda uchaguzi huu , huo ukuu wa mkoa atakaompa Masele atautoa wapi ?
Ndo mana jamaa hajoa mpaka leo
Hakuna yeyote mwenye hofu ya Mungu anaweza kuchagua MagufuliWithout any form of alliance ni Ndoto kuitoa CCM madarakani.Mnavyosema atashindwa uchaguzi ni kuwa mmeamua kujitoa ufahamu au mmechanganyikiwa??
Hilo dude tunalifumua asubuhi
Hilo dude tunalifumua asubuhi
Yaani Phd ya IQ25Baadae atasema maendeleo hayana chama.
Hakuna mwenye akili timamu atachagua kuteseka tena 5 yrsHakuna yeyote mwenye hofu ya Mungu anaweza kuchagua Magufuli
Kwani Magufuli anahitaji hofu ya Mungu au dola,NEC na wakurugenzi?Hakuna yeyote mwenye hofu ya Mungu anaweza kuchagua Magufuli
Mbona kawasahau waunga juhudi kuwapigania Kama alivofanya chaguzi za marudio