Taratibu, hapa sio PM ujue. hahahahahhaKwa lipi maana kama nigekutwa ninao halafu na mambo yalivyobadilika si sasa hivi nigekuwa na kilo 20 ghafla... sina hamu naye kabisaaaa
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Taratibu, hapa sio PM ujue. hahahahahhaKwa lipi maana kama nigekutwa ninao halafu na mambo yalivyobadilika si sasa hivi nigekuwa na kilo 20 ghafla... sina hamu naye kabisaaaa
Taratibu, hapa sio PM ujue. hahahahahha
Jamii yote imejaa mashoga! Bila kupapasa tukemee ushoga pasipo kunyosheana vidole kutokana na imani zetu.
Ole wenu mashogaMbona alipokuja yule Makamu wa Raisi wa WB aliufyata?
Hawezi kukemea matendo yakehapa mzee wetu kaongea pointi lakini ningemshauri awapongeze na wale wote wanaokemea utekaji
AMKEMEE NA KAIMU RAIS MAKONDA NAYE AACHEJPM kaza kaza Baba... wanataka Wadanganyika wapoteze Maadili ndio waone tunastahili kupata mkopo au misaaada.
BRICS ndio inatumia Hoja kama hizi kujitanua taratibu.
Unataka amwambie mara ngapi? hiyo ni kauli tosha kwamba Makonda aendelee kuchapa kazi ya kuwakamata Mashoga. Konky konky konky master...!!!Aaah...nilidhani atamwambia Makonda aendelee na Operation ya Kamata Mashoga..