Rais Magufuli amteua Asha-Rose Migiro kuwa Balozi nchini Uingereza

uteuzi ni hao hao tuu utadhani wanatengeneza engine za ndege..
 
Mama yetu huyu anapenda sana nafasi za kuteuliwa mweee jamani, yaani yeye kusema ajaribu angalao hata kugombea ubunge wa jimbo wapi, anasubiri dezo tu jamani
Umesahau kua aligombea urais
 
Najiuliza hili povu la wana UKIWA hapa linasababishwa na kitu hasa?
 
Wadhifa kama Naibu Katibu Mkuu UN hazina kupanda cheo au kushuka cheo. Asha Migiro anafaa kuendelea kuitumikia nchi yake Tanzania, na ubalozi huko Uingereza ni uteuzi wa hekima na muafaka toka kwa raisi. Wajibu wangu naona ni kusema," Hongera Bibi Asha Rose Migiro!"
 
Kwahiyo kumbe kuna tofauti kati ya balozi wa Tanzania nchini burundi na uingereza ?
 
Halafu unakosea me sio chadema, kuhusu Migiro haijaniuma kitu, ila niliuliza tu, kuwa hakuna wengine wenye sifa? Maana yeye km kuitumikia Tz ameitumikia INA tosha sasa apumzike, ni zamu ya wengine
Huu sasa ni wivu,siasa Ina kustaafu kwani?
 
Umejipanga vipi kuzungusha kiuno 2020!?
Huyu Magufuli vipi? huyu mama hana uwezo wowote alishashindwa huko UN kwani huko wizarani hakuna ma career diplomats? huyu atafanya economic diplomacy gani aliishia kufanya vitu vya Tayoa miaka yote aliyokua UN kwa nini watanzania tuko hivi? Napinga kwa nguvu zote uteuzi huu ndio maana tulitaka katiba mpya hizi kazi watu waawe wanazipigania, this is foolish
 
It is only in africa where a person can walk 100 steps ahead and go back 150 steps and praises him/herself that he/she is improving

It's only ignorant people who don't know that to serve their countries is to live (and sometimes die) with a sense of purpose. This lady has accomplished a lot and cheo means nothing to her. Service is the gift we give to the world. It’s what makes us human. It is also what gives our lives meaning. Serving our countries is part of serving humanity.
 
Kule UN Ban ki Moon alijuta kuwa na subordinate ambaye hakuenda na spidi yake ya kazi ndo maana alimtema pre mature!
 

This mama has never been productive!
 
This mama has never been productive!

It depends on your defintion of "being productive". She was able to do something significant in life, something positive. She served in the National Service (JKT), volunteered in her community, earned academic achievements, lecturer, minister for two presidents, UN assistant Sec General, and most importantly she's a “Mom.” Relationships are what count most in life. Need I say more?
 

Ndo nini hicho ulichoandikaa? kama yote hayo amepitia bila kuleta faida kwa nchi azidi kuteuliwa tu? hukumbuki hata alivyopwaya vizara ya sheria na katiba?

Kweli waTz mnayo matatizo sana kichwani mwenu.
 
Njaa tu inayomsumbua na kujidhalilisha maana haiwi uwe na cheo cha Unaibu than umalize mda wako upewe cheo cha Ubalozi wa Nyumba kumi angejifikiria kwanza huzo bibi ni bora angebakia mstaafu Naibu tuu ili alinde heshima yake
 
Huyu dada namkubali mno tokea nilipomsikia siku ya kuomba kura kwenye tatu za urais kupitia CCM, hotuba yake ilinikuna sana kwa mpangilio na uwasilishaji wake. Kwa kuwa ni mjuzi wa lugha hizo tatu za Ulaya nadhani alikuwa anafaa awe balozi wetu kwenye Umoja wa Mataifa.
 
Huyu bibi huwa anapenda ushindi wa mezani....... Hawezi kabisa ku struggle. Hata urais alitaka apewe out of sympathy.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…