mtima nyongo
JF-Expert Member
- Dec 29, 2015
- 1,947
- 2,047
si ni mwanamke?hivi huyu huwa anatoa nini c.c.m,mpaka kuzawadiwa vyeo vya kuteuliwa?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
si ni mwanamke?hivi huyu huwa anatoa nini c.c.m,mpaka kuzawadiwa vyeo vya kuteuliwa?
Jibu zuri sana!si ni mwanamke?
Mmoja mmoja ndio mpango!.Dr Dau amepangiwa wapi ? Maana waliteuliwa pamoja .
Hivi kule un alistaafu au alitimuliwa?Kafanye kazi London hiyo nafasi unastahili.
Hapo ule usemi wa bora mkono kwenda kinywaniDah kutoka minister wa foreign affairs,akaenda UN sasa ni balozi.sasa atakua ana ripoti kwa waziri wa foreign affairs. THIS IS A DEMOTION.
Usiwe punguani wewe...Hivi kule un alistaafu au alitimuliwa?
Toa maoni yako kuhusu uchapakazi wa Tibaijuka .Huyu mama ana Cv nzuri kiukwelo japo mna beza kuwa anabebwa sana ktk nafasi za kuteuliwa ,Ebu ajitose ulingoni kama mwezie tibaijuka tuone ability yake vyema
Wewe ndio utumie akili badala ya kukurupuka, nimeuliza ni sababu gani zilimtoa kule un?maana hakukawia!Usiwe punguani wewe...
Donald John Trump (born June 14, 1946)
Anakimbilia miaka 70 lakini anagombea urais Marekani.
Uzi unaongelea Asha Rose kuteuliwa balozi Uingereza wewe unaleta habari za UN na kustaafu kama siyo upunguani ni nini.Wewe ndio utumie akili badala ya kukurupuka, nimeuliza ni sababu gani zilimtoa kule un?maana hakukawia!
Bado hujajibu swali!!!!!Uzi unaongelea Asha Rose kuteuliwa balozi Uingereza wewe unaleta habari za UN na kustaafu kama siyo upunguani ni nini.
Rais Magufuli amemteua Asha Rose Migiro kuwa Balozi Nchini Uingereza.Bado hujajibu swali!!!!!
Una maneno!Kasalia dau kuwa balozi segerea,migiro kapewa ili kapunguza upupu kamati kuu CCM,magufuli ni mjanja atapokabidhiwa CCM rasmi atakuwa amewamaliza wote,kaa mzee wa nyara keshajipoteza mwenyewe
Nauliza hivi,huyo migiro kule un alipokuwa anafanya kazi kama naibu katibu mkuu je ali staafu au muda wake ulikatizwa?na kama ulikatizwa ni kwa sababu zipi?Rais Magufuli amemteua Asha Rose Migiro kuwa Balozi Nchini Uingereza.