Rais Magufuli amteua Asha-Rose Migiro kuwa Balozi nchini Uingereza

Rais Magufuli amteua Asha-Rose Migiro kuwa Balozi nchini Uingereza

Naona viraka vinamyemelea Lizabon na Motochini
Teeeeeeeeh teeeeeeeeeh, mkuu huyo MOTOCHINI ana kazi yake ya kuangusha mawese kwenye mashamba ya wakulima mbalimbali pale mwandiga, malipo yake ni sh 100 kwa chana moja
 
Nikikwambia shirikisha ubongo usichukie maana huelewi kwani sasa hivi ni mbunge?
Kwahiyo hata mwanzo kulikuwa na sababu ya kuwa mbunge? au kwa vile dk Slaa Alikuwa kule? acha utetezi wa kitoto taaluma yako huitendei haki
 
Halafu unakosea me sio chadema, kuhusu Migiro haijaniuma kitu, ila niliuliza tu, kuwa hakuna wengine wenye sifa? Maana yeye km kuitumikia Tz ameitumikia INA tosha sasa apumzike, ni zamu ya wengine
Lowassa na Migiro nani ameitumikia nchi hii kwa muda mrefu? kwanini familia yake ilipoomba mzee astaafu siasa mlipinga?
 
Sasa hivi wamenunuliwa mabirika ya kuuzia kahawa na tangawizi pale lumumba!
Kinachonistaajabisha ni kwamba hawataki kabisa kuendana na kasi ya mwenyekiti wao mtarajiwa ya hapa kazi tu, wao wako bize mjungu, fitina na unafiki, sasa kuuza kahawa kweli?
 
Kwahiyo hata mwanzo kulikuwa na sababu ya kuwa mbunge? au kwa vile dk Slaa Alikuwa kule? acha utetezi wa kitoto taaluma yako huitendei haki
Jibu swali wacha kua kioja sasa hivi ni mbunge?
 
Teeeeeeeeh teeeeeeeeeh, mkuu huyo MOTOCHINI ana kazi yake ya kuangusha mawese kwenye mashamba ya wakulima mbalimbali pale mwandiga, malipo yake ni sh 100 kwa chana moja
Mawese yamemwaribu kichwa
 
It is only in africa where a person can walk 100 steps ahead and go back 150 steps and praises him/herself that he/she is improving
Acha umbeya bana

1. Rais wa Iran - Ahmed Abehemedijan(sina uhakika wa jina la pili), sasa ni mwal.kwenye chuo kikuu huko Iran.

2. Dr Gharibu Bilal - from waziri kiongozi kuwa mkufunzi UDOM.

3. Fuatilia aliyekuwa balozi wa USA hapa Tz, ndg. Charles Stith( sina usahihi na jina la pili), sasa ni mkufunzi wa chuo huko USA.

Naamini mifano ni mingi mno.
 
Lowassa na Migiro nani ameitumikia nchi hii kwa muda mrefu? kwanini familia yake ilipoomba mzee astaafu siasa mlipinga?
Ona sasa mnavyochachawa na lowasa, nafasi zinashikiliwa na watu wale wale miaka nenda rudi, halafu mnalalamika ajira hakuna, bure kabisa
 
Ona sasa mnavyochachawa na lowasa, nafasi zinashikiliwa na watu wale wale miaka nenda rudi, halafu mnalalamika ajira hakuna, bure kabisa
Jibu swali langu acha kurukaruka. Unaleta siasa za Maji taka hapa.
 
Kinachonistaajabisha ni kwamba hawataki kabisa kuendana na kasi ya mwenyekiti wao mtarajiwa ya hapa kazi tu, wao wako bize mjungu, fitina na unafiki, sasa kuuza kahawa kweli?
Mkuu pongezi nyingi zikifikie hiki kikosi kazi chetu maana MOTOCHINI kabanwa hadi kaamua kulikimbia jukwaa!
 
Mkuu pongezi nyingi zikifikie hiki kikosi kazi chetu maana MOTOCHINI kabanwa hadi kaamua kulikimbia jukwaa!
Hakuna kikosi kazi zaidi ya kikosi majungu. Ngoma ipigwe kwa Jirani Viuno mkatike nyie
 
Back
Top Bottom