Rais Magufuli amteua Asha-Rose Migiro kuwa Balozi nchini Uingereza

Rais Magufuli amteua Asha-Rose Migiro kuwa Balozi nchini Uingereza

Kwani viti maalum unafikiri unaletewa nyumbani kama zawadi ya mabumunda?
Na wale waliovuliwa pichu kule dubai waligombea? au yule aliyemhujumu MTATIRO aligombea wapi?
 
Hafanani na wale wanaohongwa vyeo kwa kuvuliwa pichu.. Huyu ni Zaidi ya Chadema Wote kasoro mke wangu CATHERINE
Hivi hujui kuwa ninyi ndo mmevunja rekodi ya kuvua watu chupi ili muwape vyeo? Kweli hujui hilo? Najua hotonijibu lkn moyo wako unakushuhudia, utajitu na huyo demu wako
 
Wewe ndio unaweweseka
Maana umesha kuwa na mashaka
Kama mlizungusha mikono
Mkaambulia Patupu

Je viuno 2020 Mtaambulia kulowa
Dunia inwajua kuwa nyinyi ni wakata mauno wa lumumba na mwandiga
 
Huyu mama angerudi kufundisha tu, alee vizazi vijavyo
Kashakula hela ya TZ saaana, kashabunya hela ya UN kinoooma! Apumzike tu ss
 
Hivi hujui kuwa ninyi ndo mmevunja rekodi ya kuvua watu chupi ili muwape vyeo? Kweli hujui hilo? Najua hotonijibu lkn moyo wako unakushuhudia, utajitu na huyo demu wako
Sisi hatuna desturi wala Tabia Hiyo.. Ndio maana kuna vijana wengi hapa jukwaani wanazuga wapo CDM lakini kutwa tunapigana vikumbo pale LUMUMBA
 
Back
Top Bottom