habari ya hapa
JF-Expert Member
- Dec 20, 2012
- 12,791
- 8,749
Kuna vijana wengi nchi hii wenye uwezo , wake kwa waume, wamepewe nafasiKina nani!?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kuna vijana wengi nchi hii wenye uwezo , wake kwa waume, wamepewe nafasiKina nani!?
Hilo nenda kawavambie Wapumbavu hakuna mgombea mwingine 2020 mpaka huyu huyu Jizi?Kuna vijana wengi nchi hii wenye uwezo , wake kwa waume, wamepewe nafasi
Kiuno umeshakinoa? Sukari vipiUmejipanga vipi kuzungusha kiuno 2020!?
Mahiri chini ya ccm?Kwanini tusiangalie uteuzi huu kuwa ni hazina kumbwa ya nchi yetu, tumepata mwakilishi mahiri wa kutuwakilisha kwa malkia?
Bado unaendeleza ujinga, na hapo ndo mwisho wako Wa kufikiri, wengine wapumzike sasa na vijana wapewe nafasiHilo nenda kawavambie Wapumbavu hakuna mgombea mwingine 2020 mpaka huyu huyu Jizi?
Jizi ambae mpaka leo yupo kwenye akili zenuHali Mbaya
Mlinunuliwa na Jizi wakati mlipewa onyo kataa jiziii
Ndio mkione![]()
Mwambie MBOWE naye apumzikeBado unaendeleza ujinga, na hapo ndo mwisho wako Wa kufikiri, wengine wapumzike sasa na vijana wapewe nafasi
Leo umeshaingiza buku sabaMwambie MBOWE naye apumzike
Uone Kama hufyokolewi
Wewe ndio unawewesekaMbona mnaweweseka sana
DUNI!!!Duni inajua ushindi niwanani
Lowassa 2020 atakuwa na miaka mingapi?Magu nae
Huyu tayari ana miaka 60. Apumzike.
Wewe cheza ile michezo yenu tu hakuna unachojuaDUNI!!!
Kisha wakimbia malofa Hahaha
Hehehe unamzungumzia DuniWewe cheza ile michezo yenu tu hakuna unachojua
Nikikwambia hakuna unachojua zaidi ya buku saba weweHehehe unamzungumzia Duni
Kisha wajua ni mbulura
Jipange kupewa GONGO sio Viroba tenaNikikwambia hakuna unachojua zaidi ya buku saba wewe
Bora hiyo maana sikuhizi ccm meiweka tbs maana meuza kila kitu hakuna chakuwaigizia helaJipange kupewa GONGO sio Viroba tena