Rais Magufuli amteua Asha-Rose Migiro kuwa Balozi nchini Uingereza

Rais Magufuli amteua Asha-Rose Migiro kuwa Balozi nchini Uingereza

Kwanini tusiangalie uteuzi huu kuwa ni hazina kumbwa ya nchi yetu, tumepata mwakilishi mahiri wa kutuwakilisha kwa malkia?
 
Hali Mbaya
Mlinunuliwa na Jizi wakati mlipewa onyo kataa jiziii
Ndio mkione
6fd2378768693ead5cf953e304bf682d.jpg
Jizi ambae mpaka leo yupo kwenye akili zenu
 
Usishangae siku ukisikia nkapa amekuwa waziri asiye na wizara maalum;
 
Naona Magu ana kazi kubwa ya kusafisha pale foreign.... KUmejaa gossip, junguzzz, fitna, kufuatiliana nk

Something needs to be done as soon as possible
 
Back
Top Bottom