Sky Eclat
JF-Expert Member
- Oct 17, 2012
- 57,761
- 216,011
As a Law lecturer.Umahiri wake ni upi?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
As a Law lecturer.Umahiri wake ni upi?
Mbona hiyo nafasi ya naibu katibu mkuu wa un,hakukaa sana?je ni kitu gani kilimtoa mapema?au aliamua mwenyewe kuachia ngazi?
Oooh...ila mada inahusu yeye Kuteuliwa kuwa Balozi....!!As a Law lecturer.
Ha ha aiseee, km taifa ili tutoke hapa tulipo lazima CCM ikae pembeni,Mkuu sifa moja wapo ya kupata nafasi ndani ya ccm ni kujikomba,hivyo Inategemea ni jinsi gani alijitahidi
UnaNi hatari sana maana inabidi mtu auvue uungwana ndiyo apewe hiyo chance
Unakumbuka yule aliyempiga mzee wa watu? Baadae ikawajeNi hatari sana maana inabidi mtu auvue uungwana ndiyo apewe hiyo chance
Hakuna jinsi mkuu kwa hali ilivyo ni bora kuishi Sudan ya kusini kuliko kuendelea kuishi kwenye upuuzi huu wa ccmHa ha aiseee, km taifa ili tutoke hapa tulipo lazima CCM ikae pembeni,
Katika hazina walizonazo CCM huyu mama ni mmoja wao, sema wenye akili fupi kama wewe huwezi kulijua hilohivi huyu huwa anatoa nini c.c.m,mpaka kuzawadiwa vyeo vya kuteuliwa?
Sasa hivi anapumulia kwenye shangingi na kula kiyoyozi,kisa ubaunsa!Una
Unakumbuka yule aliyempiga mzee wa watu? Baadae ikawaje
asante,wewe mwenye akili ndefu kama za yule mzee mwanakijiji,mbong'oaji maarufu humu jf,ebu niambie uhazina wake uko je?Katika hazina walizonazo CCM huyu mama ni mmoja wao, sema wenye akili fupi kama wewe huwezi kulijua hilo
Teeeeeeh teeeeeeeeeh eti hazina! Mtu hajui jinsi ya kupigiwa kura na wananchi hata kwenye ujumbe wa nyumba kumi?Katika hazina walizonazo CCM huyu mama ni mmoja wao, sema wenye akili fupi kama wewe huwezi kulijua hilo
It is only in africa where a person can walk 100 steps ahead and go back 150 steps and praises him/herself that he/she is improving
Sijui kwann wanalazimisha ili hali wajua wazi kuwa wamechokwa, mbayaHakuna jinsi mkuu kwa hali ilivyo ni bora kuishi Sudan ya kusini kuliko kuendelea kuishi kwenye upuuzi huu wa ccm
Alishagombeaga nini akashindaUkiwa na Akili zisizo na utambuzi ndio unaweza kubeza hili la Dk MIGIRO tutambue
kule anakopelekwa hapelekwi kwa kazi za kibalozi tu. kuna mengine mengi
Hivi Mama ROSE KAMILI ni lini alipigiwa kura na wananchi? Ukiwa kichaa usijionyeshe mbele za watuTeeeeeeh teeeeeeeeeh eti hazina! Mtu hajui jinsi ya kupigiwa kura na wananchi hata kwenye ujumbe wa nyumba kumi?
ROSE KAMILI aliwahi kugombea wapi akashinda?Alishagombeaga nini akashinda
Mkuu ni kawaida sana kwa fisi kufuuzwa kutoka kwenye mzoga,lazima wanyama wengine kama mbwa mwitu wamtimie fisi kwa nguvu maana fisi ni mroho mkubwaSijui kwann wanalazimisha ili hali wajua wazi kuwa wamechokwa, mbaya
Vladmir Putin alitokakwenye Urais akarudi Uwaziri Mkuu, na baadae akarudi kwenye Urais tena mpaka leo ! ..na hajachubuka ngozi !It is only in africa where a person can walk 100 steps ahead and go back 150 steps and praises him/herself that he/she is improving
Kwani viti maalum unafikiri unaletewa nyumbani kama zawadi ya mabumunda?Hivi Mama ROSE KAMILI ni lini alipigiwa kura na wananchi? Ukiwa kichaa usijionyeshe mbele za watu
Hafanani na wale wanaohongwa vyeo kwa kuvuliwa pichu.. Huyu ni Zaidi ya Chadema Wote kasoro mke wangu CATHERINEInamaana hakuna wengine
Yuko vizuri huyu mama. Atatuwakilisha vyema.Mama yetu huyu anapenda sana nafasi za kuteuliwa mweee jamani, yaani yeye kusema ajaribu angalao hata kugombea ubunge wa jimbo wapi, anasubiri dezo tu jamani