Rais Magufuli amteua Dkt. Kipilimba kuwa Mkurugenzi Mkuu wa Idara ya Usalama wa Taifa (TISS)


Tukumbushe Spy chief Wa Magufuli mzaliwa wa Geita anatoka mkoa gani?

spy chief wa Mkapa mzaliwa wa mtwara alitoka mkoa gani?

Spy Chief wa Mwinyi alitoka mkoa gani?

Spy chiefs wa Nyerere walitoka mikoa gani??
 
Tukumbushe Spy chief Wa Magufuli mzaliwa wa Geita anatoka mkoa gani?

spy chief wa Mkapa mzaliwa wa mtwara alitoka mkoa gani?

Spy Chief wa Mwinyi alitoka mkoa gani?

Spy chiefs wa Nyerere walitoka mikoa gani??

Siwajui Mkuu labda Wewe kwakuwa unaonekana kuwa na ' kiherehere ' cha kuwajua basi si vibaya ukitutajia hapa ili siye ' Mangumbaru ' tuweze kuwajua.
 
Spy chief nini tena wewe. Huko tushahamaga tangu 96

Achana na huyo ' Mpuuzi ' na mwache aendelee tu ' kujichoresha ' humu ili wenye akili kuliko yeye tuzidi tu kumcheka kwa ' dharau '. Hii ndiyo JF bhana!!!!!!
 
ni sahihi kubadilisha mtu, huwezi kuwa na mtu unayetilia shaka kuwa anaweza kuwa loyal kwa bosi wake wa zamani. BTW wanaitwa MI6, M16 ni bunduki.
 
KIpilimba anaharibu kabisa hii nchi anaingiza siasa kwenye Intelijensia huyu anaoaswa wananchi tumuondoe manake hawa watauwa watu kuliko hata Idd Amini na Obote kwa mara ya pili alivyoouwa
 
Achana na huyo ' Mpuuzi ' na mwache aendelee tu ' kujichoresha ' humu ili wenye akili kuliko yeye tuzidi tu kumcheka kwa ' dharau '. Hii ndiyo JF bhana!!!!!!
nyinyi madogo huu usiku woote Bado hamjalala tu. Kwanza homweki umeshafanya? Nyambaf nenda kalale. Qendeh ww!
 
Tukumbushe Spy chief Wa Magufuli mzaliwa wa Geita anatoka mkoa gani?

spy chief wa Mkapa mzaliwa wa mtwara alitoka mkoa gani?

Spy Chief wa Mwinyi alitoka mkoa gani?

Spy chiefs wa Nyerere walitoka mikoa gani??
Mkurugenzi wa kwanza wa Usalama Taifa ni Marehemu Mzee Gama kutoka Songea, sikumbuki mtiririko wake ila walifuata pia kina Hans Kitine, Imrani Kombe mchaga, kuna huyu Mnyakyusa amestaafu wakati wa JK nimemsahau jina (Apson Mwang'onda)then akaja Mzanzibar Othman Rashid ndio akaingia bwana huyu.
 

Tukumbushe Spy chief Wa Magufuli mzaliwa wa Geita anatoka mkoa gani?

spy chief wa Mkapa mzaliwa wa mtwara alitoka mkoa gani?

Spy Chief wa Mwinyi alitoka mkoa gani?

Spy chiefs wa Nyerere walitoka mikoa gani??

 
malapu lapu yaaa natinal id ndo yameamiaa na uku atiiiiii
 
Othman Rashid sio Mzenji ni mgosi kutoka Tanga

Sent from my NokiaX2DS using JamiiForums mobile app
 
NIDA c ndo kulikuwa na sintofaham kibao
Anyway wacha tuendelee kuangalia teua teua na tumbua tumbua
Labda ndo vipaumbele vya mkulu wetu
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…