GENTAMYCINE
JF-Expert Member
- Jul 13, 2013
- 60,660
- 121,325
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Umesahau kitu kingine Mkuu na Mimi kabla sijasahau ngoja nikuambie kwani ' bichwa ' langu hili nalijua mwenyewe. Ni kwamba pia lazima huyo anayemchagua katika hiyo nafasi awe ama anatoka katika moja ya Makabila yake au Mkoa wake au Mikoa ya jirani na ikibidi hata kwa kigezo tu cha ' Uswahiba '.
Tukumbushe Spy chief Wa Magufuli mzaliwa wa Geita anatoka mkoa gani?
spy chief wa Mkapa mzaliwa wa mtwara alitoka mkoa gani?
Spy Chief wa Mwinyi alitoka mkoa gani?
Spy chiefs wa Nyerere walitoka mikoa gani??
Spy chief nini tena wewe. Huko tushahamaga tangu 96
ni sahihi kubadilisha mtu, huwezi kuwa na mtu unayetilia shaka kuwa anaweza kuwa loyal kwa bosi wake wa zamani. BTW wanaitwa MI6, M16 ni bunduki.Najiuliza nini maana ya TISS kama sielewi nchi inakuwa kama ya ajabu hivi NIDA kuna shushu alie bobea wa kuhack taarifa on sport au kegezo kipi kimetumika maana kuna vitengo vya umuhimu uzoefu katika kazi unaitajika hujawahi sikia CIA M16 au mossad nchi wahusika wanafanya changes Mara Mara kwa usalama zaid
nyinyi madogo huu usiku woote Bado hamjalala tu. Kwanza homweki umeshafanya? Nyambaf nenda kalale. Qendeh ww!Achana na huyo ' Mpuuzi ' na mwache aendelee tu ' kujichoresha ' humu ili wenye akili kuliko yeye tuzidi tu kumcheka kwa ' dharau '. Hii ndiyo JF bhana!!!!!!
Achana na huyo ' Mpuuzi ' na mwache aendelee tu ' kujichoresha ' humu ili wenye akili kuliko yeye tuzidi tu kumcheka kwa ' dharau '. Hii ndiyo JF bhana!!!!!!
Spy chief nini tena wewe. Huko tushahamaga tangu 96
Kipilimba ni msukuma? ?Narudia tena sifa kubwa kwake ilikuwa ni msukuma hizo nyengine sio za maana kwake..ref cdf lete Hoja zako ili twende pamoja
Mkurugenzi wa kwanza wa Usalama Taifa ni Marehemu Mzee Gama kutoka Songea, sikumbuki mtiririko wake ila walifuata pia kina Hans Kitine, Imrani Kombe mchaga, kuna huyu Mnyakyusa amestaafu wakati wa JK nimemsahau jina (Apson Mwang'onda)then akaja Mzanzibar Othman Rashid ndio akaingia bwana huyu.Tukumbushe Spy chief Wa Magufuli mzaliwa wa Geita anatoka mkoa gani?
spy chief wa Mkapa mzaliwa wa mtwara alitoka mkoa gani?
Spy Chief wa Mwinyi alitoka mkoa gani?
Spy chiefs wa Nyerere walitoka mikoa gani??
Umesahau kitu kingine Mkuu na Mimi kabla sijasahau ngoja nikuambie kwani ' bichwa ' langu hili nalijua mwenyewe. Ni kwamba pia lazima huyo anayemchagua katika hiyo nafasi awe ama anatoka katika moja ya Makabila yake au Mkoa wake au Mikoa ya jirani na ikibidi hata kwa kigezo tu cha ' Uswahiba '.
Tukumbushe Spy chief Wa Magufuli mzaliwa wa Geita anatoka mkoa gani?
spy chief wa Mkapa mzaliwa wa mtwara alitoka mkoa gani?
Spy Chief wa Mwinyi alitoka mkoa gani?
Spy chiefs wa Nyerere walitoka mikoa gani??
Mkurugenzi wa kwanza wa Usalama Taifa ni Marehemu Mzee Gama kutoka Songea, sikumbuki mtiririko wake ila walifuata pia kina Hans Kitine, Imrani Kombe mchaga, kuna huyu Mnyakyusa amestaafu wakati wa JK nimemsahau jina then akaja Mzanzibar Othman Rashid ndio akaingia bwana huyu.
Othman Rashid sio Mzenji ni mgosi kutoka TangaMkurugenzi wa kwanza wa Usalama Taifa ni Marehemu Mzee Gama kutoka Songea, sikumbuki mtiririko wake ila walifuata pia kina Hans Kitine, Imrani Kombe mchaga, kuna huyu Mnyakyusa amestaafu wakati wa JK nimemsahau jina (Apson Mwang'onda)then akaja Mzanzibar Othman Rashid ndio akaingia bwana huyu.
Osman Rashid na Chande Othman Jaji mkuu ni mtu na mdogo wake sasa inawezekana vipi Othman Rashid asiwe Mzanzibar? Una uhakika na unachokiandika au unabashiri?
Wapiga deal ni mwendo wa RIPMmmh haya mashirika nyeti ya umma yana watu wa tiss wengi, kumbe huyu mzee alikuwa tiss, wapiga dili wamekwisha