Rais Magufuli amtuma RC wa Mbeya kusitisha uvunjaji wa Hotel Desderia inayomilikiwa na Joseph Mbilinyi (Sugu) kwa kisingizio cha mazingira

Safi sana JPM taratibu watakuelewa wewe ni mtu mwenye roho safi na mpenda MAENDELEO.
 
Unatengeneza tatizo na kulitafutia suluhisho kwa ajiri ya cheap politics! Kofuri Mungu atakulipa unachostahili!
 
Rais huyu huyu aliyeamuru kuvunjwa kwa hoteli ya bilicana iliyokuwa kivutio kikubwa kwa watalii kwa kutaka kumkomoa Mbowe
 
Tunaishi kwa hisani ya jiwe na siyo sheria na taratibu za nchi
Umeongea ukweli mtupu........

Yaani hii nchi kwa hivi sasa inaishi kwa hisani ya JPM!

Chukulia mfano halisi wa tukio hilo, mkuu wa Mkoa, anaongea bila aibu kuwa amepata ujumbe kutoka kwa Mheshimiwa Rais kuwa amepiga "Stop" kuwa hiyo hoteli isivunjwe!

Hivi watendaji watakuwa wanafanya kazi kwa maagizo ya Rais na wala si kwa kufuata sheria za nchi?
 
Hahaha, Mdee kakakaa bungeni miaka 15 sijui kawekeza nini ndio wanasumbua sumbua tuu daily
CLEVER BOY, SIO WALE WENGINE WALIOWEKEZA KWENYE MASHINE ZA KUSAGA . UMETUMIA UBUNGE WAKO VIZURI HUTAKUFA NJA
 
Tatizo lilikuwa ni ubunge tu, wameshafanikiwa kumpora ubunge hawana shida naye tena.

Kinachojamba ushuzi ni tumbo, matako ni spika tu.

Aliyetowa amri ya kuvunja ndiye aliyetowa amri ya kusitisha uvinjaji.
 
Labda wakati mwingine mtu anajisikia aibu ,
Ujue unaweza kufanya ukatili mpaka mwenyewe unajistukia
 
Wakati wanajenga hao NEMC walikuwa sayari gani
Hizi institutions zimejaa matapeli. Wao ndio waliotoa permit. Halafu bila aibu wanaenda kubomoa.
Tumuogope Mwenyezi Mungu. Haya mambo ya aina hii tutayalipia
 
Tatizo lilikuwa ni ubunge tu, wameshafanikiwa kumpora ubunge hawana shida naye tena.

Kinachojamba ushuzi ni tumbo, matako ni spika tu.

Aliyetowa amri ya kuvunja ndiye aliyetowa amri ya kusitisha uvinjaji.
Swadakta
 
Ndugu Yangu Suguuu!
Jifunze kuwa na Diplomasia ya Kiafrika, Umeingia kwenye biashara sharti uachane na Uanaharakati hizo mbwembwe zako za kuanza Kujidai Oooooooh Makaratasi yote ninayo hazina mantiki wala tija yoyote just play low brother huwezi pungukiwa na kitu. Achana na jeuri, Ubabe na Uanaharakati chagua kimoja. Tunajua Wanyaki ni Jeuri lkn ukiendekeza hizo swagga zako za Kijuaji ippo siku utabaki na makaratasi yako na hoteli imevunjwaaaa.
Ni hayo tuuuu, we endelea kujimwambafai ooooh makaratasi yote ninayo🤣🤣🤣🤣
 
Unao uhakika au sababu wewe ni CCM ndiyo uhakika wako! Elimu yako na kipato chako kheri ungejinyamazia tu, mlo wako ni wakuungaunga
 
Sio kila madaraka yana mwisho,,wengine madaraka yetu hayana mwisho mpaka kufa..mfano mimi ni mkulima,nitakua mkulima daima
 
Tuendelee kuwatia moyo wawekezaji, hasa wazawa ili kuendelea kukuza uchumi wa nchi.
 
Ni maamuzi yenye Afya sana kwa mustakbari wa maendelwo ya Mbeya na TZ kwa ujumla.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…