Manjagata
JF-Expert Member
- Mar 7, 2012
- 13,942
- 15,371
Mchungaji wa ng'ombe mkuu wala usihangaishe ubongo!Mmh Mzee Joseph Magufuli alikua mchungaji!
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mchungaji wa ng'ombe mkuu wala usihangaishe ubongo!Mmh Mzee Joseph Magufuli alikua mchungaji!
wewe mwenye pepo la kuamini ubarikiwe zaidi.una
una pepo la kutokuamini
una mapepo sio wewe unayeandika hapa. The demons are working on youMchungaji wa ng'ombe mkuu wala usihangaishe ubongo!
Mungu anapenda vyeti feki si ndiyo?Kamwe huyu Mungu tunayemwabudu Wakristo Mungu wa Abraham, Izaka na Yakobo siye Mungu anayemwabudu Magufuli.
Kwa matendo aliyowatendea wenye vyeti feki, aliowatumbua kazini, aliowapeleka Segerea, aliowaua kwa kikundi cha WASIOJULIKANA, anaowanyima nyongeza za mishahara, anaowabomolea nyumba Kimara kamwe hawezi kuomba Mungu akamsikiliza. Kwa namna anavyoacha watu wasichukue tahadhari kwenye Corona, huyu hawezi kuwa anamuamini Mungu.
Labda mungu (m- ndogo) wa Gwajiboy, Mch Mashimo na Sheikh Alhad wa Dar ambao anaomba nao kila mara
Magufuli ana mungu wake anaepelekewa sadaka za kafara kila mara: Ben Saanane ,Azory Gwanda, Kanguye, Akwilini n.kMbona anafanya ubabe wa kikatili alafu anasingizia Mungu au mwenzetu huwa anamaanisha mungu wake anaemjua.
Kwa aliyo yafanya na anayoyafanya huwa akitaja taja jina LA Mungu huwa namshangaa sana.
Imani bila matendo imekufaMhe. Rais naona ameumaliza mzizi wa fitina leo katika mazishi ya Balozi Kijazi na kusema kuwa magonjwa yalikuwepo, yapo na yataendelea kuwepo, na sisi si pekee ndiyo tunaotaabika na matatizo haya ya magonjwa ya milipuko hata nchi zingine wamekufa wengi sana. Na tatizo linapokuwa kubwa kuzidi uwezo wa binadamu tulisogeze kwa Mungu.
Rais anasema mwaka jana tulimuona Mungu akitusaidia lakini sasa naona wengine hawana imani tena wanatengeneza taharuki na kutishana mimi sifanyi lokudauni tuchape kazi Mungu yupo. Kwanini au amwamini kuwa Mungu anaweza kuishinda Korona?
Mimi mtoto wa mchungaji nahoji hivi hawa baadhi ya viongozi wa dini ambao nao pia wanaogopa Corona kiasi cha kwamba wanatushauri tuwasikilize watu wa afya na wamitandaoni hivyi hawa watumishi wa Mungu si wangeacha hiyo kazi na kuja huku mchangani ijulikane moja.
Nawauliza na ninyi wana janvi Mungu yupo au, maana babuzetu waliomba mvua zilinyesha, waliomba nzige waondoke asubui waliwakuta chali kificha mende, magonjwa ya mlipuko hayakuwagusa, hivi na yule Mungu wa babu zetu yupo wapi siku hizi na huyu wa kanisani na msikitini yupo wapi.
mungu wao sio Mungu wetu Jehovah.Tatizo leo omba Mungu kesho weka ndani yule bila kosa Mungu wa hivyo hayupo.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Kwahiyo tusichukue hatua za kujikinga kwasababu Mungu yupo? atakua Mungu wa chato huyo.
Kama Watanzania wana Mtazamo kama wa kwako kwamba wanataka mpaka watangaziwe ndio wachukue tahadhari basi naanza kuwaza juu ya ulewa mdogo wa kufikiri wa watu.Tatizo sio Mungu hayupo ila tunaomba atangaze hadharani kua C19 ipo ili tahadhari zianze kuchukuliwa.
😷 😷😷😷😷😷😷😷
Kama Huna imani kumuelewa Mzee Magu ngumu kidogo imani ni kuona jambo lililopo halipo na lisilokuwepo lipo sasa kww macho haya ya nyama huwezi ona ila kwa macho ya imani vinaonekana...Mhe. Rais naona ameumaliza mzizi wa fitina leo katika mazishi ya Balozi Kijazi na kusema kuwa magonjwa yalikuwepo, yapo na yataendelea kuwepo, na sisi si pekee ndiyo tunaotaabika na matatizo haya ya magonjwa ya milipuko hata nchi zingine wamekufa wengi sana. Na tatizo linapokuwa kubwa kuzidi uwezo wa binadamu tulisogeze kwa Mungu.
Rais anasema mwaka jana tulimuona Mungu akitusaidia lakini sasa naona wengine hawana imani tena wanatengeneza taharuki na kutishana mimi sifanyi lokudauni tuchape kazi Mungu yupo. Kwanini au amwamini kuwa Mungu anaweza kuishinda Korona?
Mimi mtoto wa mchungaji nahoji hivi hawa baadhi ya viongozi wa dini ambao nao pia wanaogopa Corona kiasi cha kwamba wanatushauri tuwasikilize watu wa afya na wamitandaoni hivyi hawa watumishi wa Mungu si wangeacha hiyo kazi na kuja huku mchangani ijulikane moja.
Nawauliza na ninyi wana janvi Mungu yupo au, maana babuzetu waliomba mvua zilinyesha, waliomba nzige waondoke asubui waliwakuta chali kificha mende, magonjwa ya mlipuko hayakuwagusa, hivi na yule Mungu wa babu zetu yupo wapi siku hizi na huyu wa kanisani na msikitini yupo wapi.
Tatizo sio Mungu hayupo ila tunaomba atangaze hadharani kua C19 ipo ili tahadhari zianze kuchukuliwa.
[emoji40] [emoji40][emoji40][emoji40][emoji40][emoji40][emoji40][emoji40]