Hero
JF-Expert Member
- Aug 20, 2010
- 3,932
- 2,839
Nimekuuliza wamekutuma uwasemee! Rais ameagiza yafanyike maombi ya siku tatu kuliombea taifa liondokane na corona, hiyo kwa mawazo yako unaona bd haitoshi! Unahisi watz bado hawajaewa!?Acha unafiki
Kama wewe unaelewa sio wote wataaoelewa
Hebu fikiria kama huduma ndogondogo za kijamii zinapatikana kwa shida vipi kuhusu vingine