Rais Magufuli anahoji; Je, ninyi hamuamini kuwa yupo Mungu?

Rais Magufuli anahoji; Je, ninyi hamuamini kuwa yupo Mungu?

Sawa Wyatt Mathewson ila naamini unakosea sana kusema kuzika vichaa wenzie sasa hiyo akili yako kubwa iko wapi? Kama hata lugha ya staha heshima na Adabu huna!

Rais ni kiongozi wetu amesema tuchukue tahadhari zote na tusali hapo shida ipo wapi? Leo hapo msibani umeona kuna watu wamevaa barakoa wengine hawakuvaa uliona kawaambia walovaa wazivue? Sasa hapo si swala tu la utashi wa Mtu tu au na hilo hadi Rais aliseme?

Haya watu atangaze atangaze sasa atangaze vipi ilihali kasema tuchukue tahadhari si ina maana anajua uwepo wa hiyo changamoto! Pia akitangaza vifo ndio vitaisha sasa? Haya basi sawa aseme tujifungie ndio hamtaongea? Mtasema alichelewa angefanya toka mda pia hajafunga bado tunalaumu au yeye ndio anawaua watu wote?

Nilichokuja kujifunza Binadamu hashukuru na hana moyo wa kuridhika hata umfanyie nini ni wachache sana Mungu aliowachagua.

Binafsi naungana na Mheshimiwa Rais kwa 100% hata kama na mimi ikiwa ni zamu yangu kufa au Ndugu kwa changamoto yeyote nitaungana na Mheshimiwa Rais Till the end kwa maono aliyonayo.

At the end everyone will stand to face his/ her Judgement with God and not Magufuli. Endeleeni kulaani na kutukana mnavyoweza lakini mwisho wa siku ni maisha ya Mtu mmoja mmoja na si serikali wala Magufuli.

Kila mtu na Imani yake na akili yake na ufahamu wake pia. Mimi ufahamu wangu unanambia kusimama na Mungu na kuchukua tahadhari na ama hakika sijajuta. Kazi nafanya nasonga mbele na natembea kwa imani.
Wengi wana chuki binafsi tu ukishawaelewa hawakupi shida kabisa,,,,,wanatafutaga tu sababu za kutoa povu hata akifanya hayo wanayosema lazima watatafuta lingine la kulialia
 
Tatizo sio Mungu hayupo ila tunaomba atangaze hadharani kua C19 ipo ili tahadhari zianze kuchukuliwa.

😷 😷😷😷😷😷😷😷
We usichukue tahadhari jiachie tu kula maisha hadi rais akikwambia
 
Sawa Wyatt Mathewson ila naamini unakosea sana kusema kuzika vichaa wenzie sasa hiyo akili yako kubwa iko wapi? Kama hata lugha ya staha heshima na Adabu huna!

Rais ni kiongozi wetu amesema tuchukue tahadhari zote na tusali hapo shida ipo wapi? Leo hapo msibani umeona kuna watu wamevaa barakoa wengine hawakuvaa uliona kawaambia walovaa wazivue? Sasa hapo si swala tu la utashi wa Mtu tu au na hilo hadi Rais aliseme?

Haya watu atangaze atangaze sasa atangaze vipi ilihali kasema tuchukue tahadhari si ina maana anajua uwepo wa hiyo changamoto! Pia akitangaza vifo ndio vitaisha sasa? Haya basi sawa aseme tujifungie ndio hamtaongea? Mtasema alichelewa angefanya toka mda pia hajafunga bado tunalaumu au yeye ndio anawaua watu wote?

Nilichokuja kujifunza Binadamu hashukuru na hana moyo wa kuridhika hata umfanyie nini ni wachache sana Mungu aliowachagua.

Binafsi naungana na Mheshimiwa Rais kwa 100% hata kama na mimi ikiwa ni zamu yangu kufa au Ndugu kwa changamoto yeyote nitaungana na Mheshimiwa Rais Till the end kwa maono aliyonayo.

At the end everyone will stand to face his/ her Judgement with God and not Magufuli. Endeleeni kulaani na kutukana mnavyoweza lakini mwisho wa siku ni maisha ya Mtu mmoja mmoja na si serikali wala Magufuli.

Kila mtu na Imani yake na akili yake na ufahamu wake pia. Mimi ufahamu wangu unanambia kusimama na Mungu na kuchukua tahadhari na ama hakika sijajuta. Kazi nafanya nasonga mbele na natembea kwa imani.
Wewe unaweza kuchukua tahadhari zote.
Lakini Kama jirani yako hachukui tahadhari. Hata wewe unakuwa katika hatari ya kupata maambukizi.

Ndio Maana tunalia na viongozi, ili watu wote( asilimia kubwa) wachukue tahadhari.

Kuvaa barakoa
Kunawa mikono
Kuepuka misongamano, nk

Sent from my Infinix X680 using JamiiForums mobile app
 
Mhe. Rais naona ameumaliza mzizi wa fitina leo katika mazishi ya Balozi Kijazi na kusema kuwa magonjwa yalikuwepo, yapo na yataendelea kuwepo, na sisi si pekee ndiyo tunaotaabika na matatizo haya ya magonjwa ya milipuko hata nchi zingine wamekufa wengi sana. Na tatizo linapokuwa kubwa kuzidi uwezo wa binadamu tulisogeze kwa Mungu.

Rais anasema mwaka jana tulimuona Mungu akitusaidia lakini sasa naona wengine hawana imani tena wanatengeneza taharuki na kutishana mimi sifanyi lokudauni tuchape kazi Mungu yupo. Kwanini au amwamini kuwa Mungu anaweza kuishinda Korona?

Mimi mtoto wa mchungaji nahoji hivi hawa baadhi ya viongozi wa dini ambao nao pia wanaogopa Corona kiasi cha kwamba wanatushauri tuwasikilize watu wa afya na wamitandaoni hivyi hawa watumishi wa Mungu si wangeacha hiyo kazi na kuja huku mchangani ijulikane moja.

Nawauliza na ninyi wana janvi Mungu yupo au, maana babuzetu waliomba mvua zilinyesha, waliomba nzige waondoke asubui waliwakuta chali kificha mende, magonjwa ya mlipuko hayakuwagusa, hivi na yule Mungu wa babu zetu yupo wapi siku hizi na huyu wa kanisani na msikitini yupo wapi.
Unaweza kuthibitisha Mungu yupo?
 
Mhe. Rais naona ameumaliza mzizi wa fitina leo katika mazishi ya Balozi Kijazi na kusema kuwa magonjwa yalikuwepo, yapo na yataendelea kuwepo, na sisi si pekee ndiyo tunaotaabika na matatizo haya ya magonjwa ya milipuko hata nchi zingine wamekufa wengi sana. Na tatizo linapokuwa kubwa kuzidi uwezo wa binadamu tulisogeze kwa Mungu.

Rais anasema mwaka jana tulimuona Mungu akitusaidia lakini sasa naona wengine hawana imani tena wanatengeneza taharuki na kutishana mimi sifanyi lokudauni tuchape kazi Mungu yupo. Kwanini au amwamini kuwa Mungu anaweza kuishinda Korona?

Mimi mtoto wa mchungaji nahoji hivi hawa baadhi ya viongozi wa dini ambao nao pia wanaogopa Corona kiasi cha kwamba wanatushauri tuwasikilize watu wa afya na wamitandaoni hivyi hawa watumishi wa Mungu si wangeacha hiyo kazi na kuja huku mchangani ijulikane moja.

Nawauliza na ninyi wana janvi Mungu yupo au, maana babuzetu waliomba mvua zilinyesha, waliomba nzige waondoke asubui waliwakuta chali kificha mende, magonjwa ya mlipuko hayakuwagusa, hivi na yule Mungu wa babu zetu yupo wapi siku hizi na huyu wa kanisani na msikitini yupo
Mungu hajawahi msaadia mtu anayekaa kumlilia yeye bali huwasaidia wale wanaofanya bidiii kutatua shida zao.Tunajukumu la kumaliza Corona kwetu lakini nasi yatupasa kuusaidia ulimwengu kumaliza tatizo.Msimamo wako binfsi haupaswi kuwa ndio msimamo wa taifa.
 
Mhe. Rais naona ameumaliza mzizi wa fitina leo katika mazishi ya Balozi Kijazi na kusema kuwa magonjwa yalikuwepo, yapo na yataendelea kuwepo, na sisi si pekee ndiyo tunaotaabika na matatizo haya ya magonjwa ya milipuko hata nchi zingine wamekufa wengi sana. Na tatizo linapokuwa kubwa kuzidi uwezo wa binadamu tulisogeze kwa Mungu.

Rais anasema mwaka jana tulimuona Mungu akitusaidia lakini sasa naona wengine hawana imani tena wanatengeneza taharuki na kutishana mimi sifanyi lokudauni tuchape kazi Mungu yupo. Kwanini au amwamini kuwa Mungu anaweza kuishinda Korona?

Mimi mtoto wa mchungaji nahoji hivi hawa baadhi ya viongozi wa dini ambao nao pia wanaogopa Corona kiasi cha kwamba wanatushauri tuwasikilize watu wa afya na wamitandaoni hivyi hawa watumishi wa Mungu si wangeacha hiyo kazi na kuja huku mchangani ijulikane moja.

Nawauliza na ninyi wana janvi Mungu yupo au, maana babuzetu waliomba mvua zilinyesha, waliomba nzige waondoke asubui waliwakuta chali kificha mende, magonjwa ya mlipuko hayakuwagusa, hivi na yule Mungu wa babu zetu yupo wapi siku hizi na huyu wa kanisani na msikitini yupo wapi.
Rais kwa nini anapata kigugumizi kizito hivi kutamka tu kuwa covid 19 ipo ili Watanzania hususan mashariki wake walione hilo na wote kwa ujumla wetu tuwe na mwelekeo mmoja wa kuchukua tahadhari. Anafika mahali anaquestion hata Imani ya viongozi wa dini wanaotuasa kuchukua tahadhari. This is pathetic.
 
Jiulize kwanini hawa watu wana chuki na kutoa mapovu?

Thats the milion dollar question!

Ni kwamba hawakupendi and they dont want to hear anything from you,ndio maana ya approval rating

Ipo so low,down the toilet people shit on it

Ni kwamba unaowatawala hawakupendi,to the core,wanakuchukia,huna approval yao

It shows unachowanyia hawakipendi,una low delivery ya wanachokitaka

Kwa kifupi huwafai,hilo ndio jawabu!
Hiiiii.........This is Africa blaza penda usipende ndo imeshaenda hio
 
Mimi ninasema tu. Mungu alitusikia kweli kabla ya uchaguzi mkuu lakini kwa tuliyoyafanya uchaguzi mkuu inawezekana Mungu kaondoa mkono wake ndiyo maana haya yanatupata. Tunatakiwa toba ya kweli kwa Mungu na kuomba msamaha kwa wapinzani. Biblia inasema kama humpendi jirani yako utawezaje kumpenda Mungu usiyemwona?. (Marko 12:21 " Na ya pili ndiyo hii. Mpemde jirani yako kama nafsi yako.") Tulichowatendea ndugu zetu wapinzani hakitatuacha salama kwa kweli. Mungu hawezi kutusikia hata tuombe vipi kama ndani yetu kumejaa chuki.
 
Huyu Mungu wa Magufuli ndiye anayeunga mkono wizi wa kura? Ndiye anayeruhusu anayemkosoa atandikwe risasi au apotezwe kama Saanane? Huyo Mungu wa Magufuli ndiye anayemwagiza awaambie wakurugenzi wasiwatangaze wapinzani washindi hata hama wananchi wamewachagua? Mungu wake Magufuli ni huyo anayesema wananchi wabambikiwe kesi za uhujumu uchumi?

Kama ningepewa na nafasi kuwa nipime kwa jicho la kibinadamu, na kishe nizipange awamu zote za Serikali katika ucha Mungu, hakika bila ya unafiki, hii ya awamu ya tano ni ya Kishetani. 80% inayoyatenda ni yale yaliyo kinyume na upendo wa Mungu.

Leo wakala wa shetani anatufundisha namna ya kumwabudu Mungu wa Kweli?
 
Tatizo sio Mungu hayupo ila tunaomba atangaze hadharani kua C19 ipo ili tahadhari zianze kuchukuliwa.

😷 😷😷😷😷😷😷😷
Kuchukua tahadhari kwa ajili ya afya yako, mpaka Rais akutangazie! Mna visa vingi ninyi watu!!
 
Hivi wewe ni lini umewahi mwamini Mungu wewe, Mungu ndio kila kitu.
Nafurahi sana napomuona Rais wangu akiijua sana dini kuliko watu wote duniani (ukimtoa Askofu Rasheed) Jinsi anavyomjua sana Mungu kuliko hata Watumishi wa Mungu! Jinsi anavyomjua sana Mungu kuliko wale waliotuletea habari za Mungu! Yaani Rais wangu mpendwa anamjua sana Mungu kuliko hata Bible inayosema "Imeandikwa pia, usimjaribu Mungu wako"!

Hivi anamuona Bwana Yesu ni zuzu aliyemgomea shetani kujitupa chini kutoka juu ya mnara, au Rais wangu anafikiria nini hasa? Mbona Yesu hakujitupa pamoja na bible kusema Mungu atawaamuru malaika wake watamchukua mikononi mwao ili asijikwae?
 
Kumbe Mungu wa siku hiz yuko hivyo!!?? Yan uue, uumize, utese alafu iwe ni mkono wa Mungu wew kupata hiyo!?? Endelea kumpenda Magu kwa maana hujakutwa na mkono wa kishetani kutoka kwake
Hivi unadhani Ayubu alikuwa hamuamini Mungu!?
 
t
Kumbe Mungu wa siku hiz yuko hivyo!!?? Yan uue, uumize, utese alafu iwe ni mkono wa Mungu wew kupata hiyo!?? Endelea kumpenda Magu kwa maana hujakutwa na mkono wa kishetani kutoka kwake
tatizo sio wewe unayeandika bali ni pepo lililopo ndani yako
 
Back
Top Bottom