Rais Magufuli anahoji; Je, ninyi hamuamini kuwa yupo Mungu?

Rais Magufuli anahoji; Je, ninyi hamuamini kuwa yupo Mungu?

Mhe. Rais naona ameumaliza mzizi wa fitina leo katika mazishi ya Balozi Kijazi na kusema kuwa magonjwa yalikuwepo, yapo na yataendelea kuwepo, na sisi si pekee ndiyo tunaotaabika na matatizo haya ya magonjwa ya milipuko hata nchi zingine wamekufa wengi sana. Na tatizo linapokuwa kubwa kuzidi uwezo wa binadamu tulisogeze kwa Mungu.

Rais anasema mwaka jana tulimuona Mungu akitusaidia lakini sasa naona wengine hawana imani tena wanatengeneza taharuki na kutishana mimi sifanyi lokudauni tuchape kazi Mungu yupo. Kwanini au amwamini kuwa Mungu anaweza kuishinda Korona?

Mimi mtoto wa mchungaji nahoji hivi hawa baadhi ya viongozi wa dini ambao nao pia wanaogopa Corona kiasi cha kwamba wanatushauri tuwasikilize watu wa afya na wamitandaoni hivyi hawa watumishi wa Mungu si wangeacha hiyo kazi na kuja huku mchangani ijulikane moja.

Nawauliza na ninyi wana janvi Mungu yupo au, maana babuzetu waliomba mvua zilinyesha, waliomba nzige waondoke asubui waliwakuta chali kificha mende, magonjwa ya mlipuko hayakuwagusa, hivi na yule Mungu wa babu zetu yupo wapi siku hizi na huyu wa kanisani na msikitini yupo wapi.
Umeandika nini sasa? funga hospital zote tuombe.
 
Hii ni secular country, kuna wengine hatuamini.

Atimize majukumu yake kama Rais wa nchi sio mchungaji au sheikh
 
Mhe. Rais naona ameumaliza mzizi wa fitina leo katika mazishi ya Balozi Kijazi na kusema kuwa magonjwa yalikuwepo, yapo na yataendelea kuwepo, na sisi si pekee ndiyo tunaotaabika na matatizo haya ya magonjwa ya milipuko hata nchi zingine wamekufa wengi sana. Na tatizo linapokuwa kubwa kuzidi uwezo wa binadamu tulisogeze kwa Mungu.

Rais anasema mwaka jana tulimuona Mungu akitusaidia lakini sasa naona wengine hawana imani tena wanatengeneza taharuki na kutishana mimi sifanyi lokudauni tuchape kazi Mungu yupo. Kwanini au amwamini kuwa Mungu anaweza kuishinda Korona?

Mimi mtoto wa mchungaji nahoji hivi hawa baadhi ya viongozi wa dini ambao nao pia wanaogopa Corona kiasi cha kwamba wanatushauri tuwasikilize watu wa afya na wamitandaoni hivyi hawa watumishi wa Mungu si wangeacha hiyo kazi na kuja huku mchangani ijulikane moja.

Nawauliza na ninyi wana janvi Mungu yupo au, maana babuzetu waliomba mvua zilinyesha, waliomba nzige waondoke asubui waliwakuta chali kificha mende, magonjwa ya mlipuko hayakuwagusa, hivi na yule Mungu wa babu zetu yupo wapi siku hizi na huyu wa kanisani na msikitini yupo wapi.

Waliempa degree ya kemia huyu mtu wamng'anye
 
Tumeambiwa tuamini kuwa Mungu yupo nasi tumtumainie kwa kila kitu. Ametuponya mengi. Basi tupande juu ya mti tujiachie, hatutadhurika na gravity!

Kama hilo hatuwezi kulifanya, basi na policy yetu katika kuikabiri corona liko kama kupanda juu ya mti na kujiachia, we will face the wrath of gravity for sure!
 
Wewe mpaka leo unasubiri tangazo? Endelea kusubiri tu.
Huyo Mungu mnaesema tumuombe anataka tujali na wenzetu pia as long as kuna watu hawajikingi kwasababu rais hajatangaza ni watu wa kuwajali pia sasa wewe kwann unapinga rais asitangaze..as matter of fact unakasirika wewe una maslahi gani na serikali kutotangaza hatari na tahadhari?

Sent from my SM-J111F using JamiiForums mobile app
 
Screenshot_20210219-143259_Samsung Internet.jpg
 
Wenye akili km zako hawapaswi kuwa JF kwa hakika. Inasikitisha kuona wapo watu humu wenye akili finyu za kusubiri rais aseme ndio ajue tatizo lipo au la na achukue hatua. Idiot!

Corona si tatizo la kumwita Mungu, ni tatizo la kupambana nalo kwa maarifa aliyotupa Mungu. Kimsingi Magu anashindwa kumeza maneno yake ya kujigamba, hawezi. Lakini cha ajabu hata sisi hatutaki kujikinga tunasubiri et rais aseme "chukueni tahadhari". Ujinga.

Ebola haikutoka kwa maombi, polio, surua, ndui n.k havikuisha kwa maombi. Jiue kwa ujinga wako km hao wapuuzi wanaoendelea kukusanyika misibani bila kuvaa hata barakoa.
Usimlamu mleta mada. Siyo kama amefurahia maneno ya rais. Ameleta watu waone jinsi dunaiani kulivyo na watawala wa ajabu. Kuhusu kusubiri tamko: Siyo kila mtu ana uelewa kama wako. Vijijini huko kuna watu wanaamini kila rais anachosema. Akisema tumwamini Mungu, tusivae barakoa na tusali siku tatu, nao wanafanya hivyo hivyo. Serikali zinakuwepo ili kutoa directives kwa mambo kama haya. Serikali zote duniani zimetoa directives na nyingine zimefanya sheria kabisa. Otherwise, uko sahihi kabisa kwa mchango wako.
 
Mhe. Rais naona ameumaliza mzizi wa fitina leo katika mazishi ya Balozi Kijazi na kusema kuwa magonjwa yalikuwepo, yapo na yataendelea kuwepo, na sisi si pekee ndiyo tunaotaabika na matatizo haya ya magonjwa ya milipuko hata nchi zingine wamekufa wengi sana. Na tatizo linapokuwa kubwa kuzidi uwezo wa binadamu tulisogeze kwa Mungu.

Rais anasema mwaka jana tulimuona Mungu akitusaidia lakini sasa naona wengine hawana imani tena wanatengeneza taharuki na kutishana mimi sifanyi lokudauni tuchape kazi Mungu yupo. Kwanini au amwamini kuwa Mungu anaweza kuishinda Korona?

Mimi mtoto wa mchungaji nahoji hivi hawa baadhi ya viongozi wa dini ambao nao pia wanaogopa Corona kiasi cha kwamba wanatushauri tuwasikilize watu wa afya na wamitandaoni hivyi hawa watumishi wa Mungu si wangeacha hiyo kazi na kuja huku mchangani ijulikane moja.

Nawauliza na ninyi wana janvi Mungu yupo au, maana babuzetu waliomba mvua zilinyesha, waliomba nzige waondoke asubui waliwakuta chali kificha mende, magonjwa ya mlipuko hayakuwagusa, hivi na yule Mungu wa babu zetu yupo wapi siku hizi na huyu wa kanisani na msikitini yupo wapi.
Hili la kumfanya Mungu kuwa sera linanitia wasi wasi mkubwa.
Ni dalili ya serikali kukosa majibu ya kina yanayotokana na changamoto lukuki za nyakati hizi.
CCM na serikali yake inakosa a unifying ideology.

Sasa hivi sera ni hizi:
Ukiambukizwa......sali
Ukiona adui......sali
Ukipata ajali......sali
Nchi ikiingiliwa....sali

Basi na mimi nichomekee...
Wapinzani wakija juu......sali
Bunge likivurunda.........sali
Ukitaka maendeleo.......sali

Kwa kweli Mungu anasikia sala zetu, lakini ametupa kitu cha ziada-AKILI za kuchanganua mema na mabaya.
Vilevile MAARIFA ya namna ya kukabili mazingira yeu.

Sasa hivi watu wanakufa kwa kukosa maarifa tuliyopewa bure, licha ya kusali sana.
 
Nafurahi sana napomuona Rais wangu akiijua sana dini kuliko watu wote duniani (ukimtoa Askofu Rasheed) Jinsi anavyomjua sana Mungu kuliko hata Watumishi wa Mungu! Jinsi anavyomjua sana Mungu kuliko wale waliotuletea habari za Mungu! Yaani Rais wangu mpendwa anamjua sana Mungu kuliko hata Bible inayosema "Imeandikwa pia, usimjaribu Mungu wako"!

Hivi anamuona Bwana Yesu ni zuzu aliyemgomea shetani kujitupa chini kutoka juu ya mnara, au Rais wangu anafikiria nini hasa? Mbona Yesu hakujitupa pamoja na bible kusema Mungu atawaamuru malaika wake watamchukua mikononi mwao ili asijikwae?

Na wewe ni mchambuzi eti.[emoji3]
 
Nafurahi sana napomuona Rais wangu akiijua sana dini kuliko watu wote duniani (ukimtoa Askofu Rasheed) Jinsi anavyomjua sana Mungu kuliko hata Watumishi wa Mungu! Jinsi anavyomjua sana Mungu kuliko wale waliotuletea habari za Mungu! Yaani Rais wangu mpendwa anamjua sana Mungu kuliko hata Bible inayosema "Imeandikwa pia, usimjaribu Mungu wako"!

Hivi anamuona Bwana Yesu ni zuzu aliyemgomea shetani kujitupa chini kutoka juu ya mnara, au Rais wangu anafikiria nini hasa? Mbona Yesu hakujitupa pamoja na bible kusema Mungu atawaamuru malaika wake watamchukua mikononi mwao ili asijikwae?
Hii ni good shoot
 
This guy is showing his limitations

Ndio mwisho wa thinking capacity yake

Ndio mwisho wake nothing he can do,so bad,next time Watanzania waangilie brain high powered people

Wewe ni High brain powered?
 
Imeandikwa makalioni kwako!
Ukiwa na tabia ya kutukana wengine bila sababu unapoteza hekima ya asili,kakukosea nini?Kila mmoja aachwe atoe hoja na mawazo yake kwa Uhuru.Don't Judge people according to your own mentality, every one have the right to express themselves.
 
BAVICHA HILI KWAO CHUNGU.HAPO WALIPO WANATAMANI MODS WAUFUTE HUU UZIII. KATIKA RAIS AMBAE ATAKUMBUKWA KWA KUWA NA MAONO AMBAYO ILI UYAELEWE UNATAKIWA UWE NA THE WISDOM ABOVE NORMAL ni huyu jpm.I salute you!!!!

Kweli mkuu yaan nikisoma baadhi ya jumbe za watu humu hadi nasikitika najiuliza are they normal human beings?. Yaan wana ujuzi wa kumchambua Mungu alie muumba wa kila kitu. Wana ufahamu wa maono yasiyo kua na Hekima.
 
Back
Top Bottom