Rais Magufuli anahoji; Je, ninyi hamuamini kuwa yupo Mungu?

Rais Magufuli anahoji; Je, ninyi hamuamini kuwa yupo Mungu?

Huyo Mungu mnaesema tumuombe anataka tujali na wenzetu pia as long as kuna watu hawajikingi kwasababu rais hajatangaza ni watu wa kuwajali pia sasa wewe kwann unapinga rais asitangaze..as matter of fact unakasirika wewe una maslahi gani na serikali kutotangaza hatari na tahadhari?

Sent from my SM-J111F using JamiiForums mobile app

Labda tufanye hivi bro, wewe ulitaka sentensi yake aiwekeje?
 
Mhe. Rais naona ameumaliza mzizi wa fitina leo katika mazishi ya Balozi Kijazi na kusema kuwa magonjwa yalikuwepo, yapo na yataendelea kuwepo, na sisi si pekee ndiyo tunaotaabika na matatizo haya ya magonjwa ya milipuko hata nchi zingine wamekufa wengi sana. Na tatizo linapokuwa kubwa kuzidi uwezo wa binadamu tulisogeze kwa Mungu.

Rais anasema mwaka jana tulimuona Mungu akitusaidia lakini sasa naona wengine hawana imani tena wanatengeneza taharuki na kutishana mimi sifanyi lokudauni tuchape kazi Mungu yupo. Kwanini au amwamini kuwa Mungu anaweza kuishinda Korona?

Mimi mtoto wa mchungaji nahoji hivi hawa baadhi ya viongozi wa dini ambao nao pia wanaogopa Corona kiasi cha kwamba wanatushauri tuwasikilize watu wa afya na wamitandaoni hivyi hawa watumishi wa Mungu si wangeacha hiyo kazi na kuja huku mchangani ijulikane moja.

Nawauliza na ninyi wana janvi Mungu yupo au, maana babuzetu waliomba mvua zilinyesha, waliomba nzige waondoke asubui waliwakuta chali kificha mende, magonjwa ya mlipuko hayakuwagusa, hivi na yule Mungu wa babu zetu yupo wapi siku hizi na huyu wa kanisani na msikitini yupo wapi.
Tunaamini MUNGU wa mbinguni yupo sana na ndiye mkuu Bwana wa majeshi yote ulimwenguni.

Lakini "mungu" mwenye sifa hizi hapa chini.....

  • Anayeruhusu wafuasi wake wamimine risasi 30 ndani ya mwili wa binadamu mwenzao - NAH!
  • Anayeruhusu watu watekwe na kupotezwa - MM!
  • Anayeruhusu watu baadhi wafe chini ya Corona Herd Immunity - a big NO!
  • Anayeruhusu miungu watu wanaopendwa kutukuzwa na kujitukuza - huyo siyo kabisa!
  • Anayeruhusu watu wabake demokrasia na kulazimisha kutawala kwa udhalimu - NEMMA!
 
Mhe. Rais naona ameumaliza mzizi wa fitina leo katika mazishi ya Balozi Kijazi na kusema kuwa magonjwa yalikuwepo, yapo na yataendelea kuwepo, na sisi si pekee ndiyo tunaotaabika na matatizo haya ya magonjwa ya milipuko hata nchi zingine wamekufa wengi sana. Na tatizo linapokuwa kubwa kuzidi uwezo wa binadamu tulisogeze kwa Mungu.

Rais anasema mwaka jana tulimuona Mungu akitusaidia lakini sasa naona wengine hawana imani tena wanatengeneza taharuki na kutishana mimi sifanyi lokudauni tuchape kazi Mungu yupo. Kwanini au amwamini kuwa Mungu anaweza kuishinda Korona?

Mimi mtoto wa mchungaji nahoji hivi hawa baadhi ya viongozi wa dini ambao nao pia wanaogopa Corona kiasi cha kwamba wanatushauri tuwasikilize watu wa afya na wamitandaoni hivyi hawa watumishi wa Mungu si wangeacha hiyo kazi na kuja huku mchangani ijulikane moja.

Nawauliza na ninyi wana janvi Mungu yupo au, maana babuzetu waliomba mvua zilinyesha, waliomba nzige waondoke asubui waliwakuta chali kificha mende, magonjwa ya mlipuko hayakuwagusa, hivi na yule Mungu wa babu zetu yupo wapi siku hizi na huyu wa kanisani na msikitini yupo wapi.
Mungu ambariki mweshimiwa rais John pombe magufuli Kuna siku tutamwelewa tu ni mtu mwenye maono ya mbali
 
Nafurahi sana napomuona Rais wangu akiijua sana dini kuliko watu wote duniani (ukimtoa Askofu Rasheed) Jinsi anavyomjua sana Mungu kuliko hata Watumishi wa Mungu! Jinsi anavyomjua sana Mungu kuliko wale waliotuletea habari za Mungu! Yaani Rais wangu mpendwa anamjua sana Mungu kuliko hata Bible inayosema "Imeandikwa pia, usimjaribu Mungu wako"!

Hivi anamuona Bwana Yesu ni zuzu aliyemgomea shetani kujitupa chini kutoka juu ya mnara, au Rais wangu anafikiria nini hasa? Mbona Yesu hakujitupa pamoja na bible kusema Mungu atawaamuru malaika wake watamchukua mikononi mwao ili asijikwae?
Mkuu mkuu mkuu tafadhali usimziaki Wala kumkufulu Mungu Kuna siku utamwitaji
 
..angewauliza hili swala masista waliokuwa wamevaa barakoa....yani MTU uache kutumia condom umtie demu mwenye Ngoma uone Kama hutaipata Kwa kuwa kuna Mungu!....hii akili mbovu inatumika kwenye Corona Kwa lengo gani?...mfano mwingine..wote hapo mawaziri wanalala na net kujikinga na malaria...wawaambie basi raia wasitumie net Kwa kuwa Mungu yupo...
 
Kuna siku Mungu atakuwa na umuhimu mkubwa Sana kwako.
Mkuu usimkufulu Mungu Kuna siku utamwitaji
Iko hivi... Huwezi lala mlango wazi kila siku kisa unamwabudu Mungu. Kila kitu kina kanuni.
Hatukatai uweza wa Mungu ila ukisema upuuzie mambo muhimu kwa kichaka cha Mungu ...unafeli. huyo Mungu unayemwabudu utampa kazi kubwa sana na utakuwa unamjaribu
 
“Mwamini Mungu, lakini mfunge vizuri Ngamia wako”-Mtume Muhammad SAW.

Mungu huwa halipi maombi bali hulipa jitihada!Kupiga maombi wakati hakuna mipango pamoja na vitendo(Actions) madhubuti vya kupambana na Corona ni kumkejeli Mungu.
 
Of course by FAAAR!

Huwezi nifananisha na mtu anae deny corona haipo wakati anazika vichaa wenzie kila siku

Mtu anae amini eti kirusi kinaondolewa kwa kula malimao...these are lunatics kabisa!

I'm way better than these clowns!

Sawa Wyatt Mathewson ila naamini unakosea sana kusema kuzika vichaa wenzie sasa hiyo akili yako kubwa iko wapi? Kama hata lugha ya staha heshima na Adabu huna!

Rais ni kiongozi wetu amesema tuchukue tahadhari zote na tusali hapo shida ipo wapi? Leo hapo msibani umeona kuna watu wamevaa barakoa wengine hawakuvaa uliona kawaambia walovaa wazivue? Sasa hapo si swala tu la utashi wa Mtu tu au na hilo hadi Rais aliseme?

Haya watu atangaze atangaze sasa atangaze vipi ilihali kasema tuchukue tahadhari si ina maana anajua uwepo wa hiyo changamoto! Pia akitangaza vifo ndio vitaisha sasa? Haya basi sawa aseme tujifungie ndio hamtaongea? Mtasema alichelewa angefanya toka mda pia hajafunga bado tunalaumu au yeye ndio anawaua watu wote?

Nilichokuja kujifunza Binadamu hashukuru na hana moyo wa kuridhika hata umfanyie nini ni wachache sana Mungu aliowachagua.

Binafsi naungana na Mheshimiwa Rais kwa 100% hata kama na mimi ikiwa ni zamu yangu kufa au Ndugu kwa changamoto yeyote nitaungana na Mheshimiwa Rais Till the end kwa maono aliyonayo.

At the end everyone will stand to face his/ her Judgement with God and not Magufuli. Endeleeni kulaani na kutukana mnavyoweza lakini mwisho wa siku ni maisha ya Mtu mmoja mmoja na si serikali wala Magufuli.

Kila mtu na Imani yake na akili yake na ufahamu wake pia. Mimi ufahamu wangu unanambia kusimama na Mungu na kuchukua tahadhari na ama hakika sijajuta. Kazi nafanya nasonga mbele na natembea kwa imani.
 
[emoji817]
Screenshot_20210207-143630.jpg
 
Mhe. Rais naona ameumaliza mzizi wa fitina leo katika mazishi ya Balozi Kijazi na kusema kuwa magonjwa yalikuwepo, yapo na yataendelea kuwepo, na sisi si pekee ndiyo tunaotaabika na matatizo haya ya magonjwa ya milipuko hata nchi zingine wamekufa wengi sana. Na tatizo linapokuwa kubwa kuzidi uwezo wa binadamu tulisogeze kwa Mungu.

Rais anasema mwaka jana tulimuona Mungu akitusaidia lakini sasa naona wengine hawana imani tena wanatengeneza taharuki na kutishana mimi sifanyi lokudauni tuchape kazi Mungu yupo. Kwanini au amwamini kuwa Mungu anaweza kuishinda Korona?

Mimi mtoto wa mchungaji nahoji hivi hawa baadhi ya viongozi wa dini ambao nao pia wanaogopa Corona kiasi cha kwamba wanatushauri tuwasikilize watu wa afya na wamitandaoni hivyi hawa watumishi wa Mungu si wangeacha hiyo kazi na kuja huku mchangani ijulikane moja.

Nawauliza na ninyi wana janvi Mungu yupo au, maana babuzetu waliomba mvua zilinyesha, waliomba nzige waondoke asubui waliwakuta chali kificha mende, magonjwa ya mlipuko hayakuwagusa, hivi na yule Mungu wa babu zetu yupo wapi siku hizi na huyu wa kanisani na msikitini yupo wapi.
Tatizo la sasa ni imani watu wengi hawana imani hata hao wachungji wakijaribiwa kidogo chali na neno linatimia kwamba kama msipohubiri Bwana anaweza amsha jiwe likqhubiri kwa hyo ona ajabu rais anatangaza uzima na imani kwa Mungu hao wachungaji wanatangaza kujifungia namuombeq kwa Mungu rais wetu imani yake isimame milele
 
Mhe. Rais naona ameumaliza mzizi wa fitina leo katika mazishi ya Balozi Kijazi na kusema kuwa magonjwa yalikuwepo, yapo na yataendelea kuwepo, na sisi si pekee ndiyo tunaotaabika na matatizo haya ya magonjwa ya milipuko hata nchi zingine wamekufa wengi sana. Na tatizo linapokuwa kubwa kuzidi uwezo wa binadamu tulisogeze kwa Mungu.

Rais anasema mwaka jana tulimuona Mungu akitusaidia lakini sasa naona wengine hawana imani tena wanatengeneza taharuki na kutishana mimi sifanyi lokudauni tuchape kazi Mungu yupo. Kwanini au amwamini kuwa Mungu anaweza kuishinda Korona?

Mimi mtoto wa mchungaji nahoji hivi hawa baadhi ya viongozi wa dini ambao nao pia wanaogopa Corona kiasi cha kwamba wanatushauri tuwasikilize watu wa afya na wamitandaoni hivyi hawa watumishi wa Mungu si wangeacha hiyo kazi na kuja huku mchangani ijulikane moja.

Nawauliza na ninyi wana janvi Mungu yupo au, maana babuzetu waliomba mvua zilinyesha, waliomba nzige waondoke asubui waliwakuta chali kificha mende, magonjwa ya mlipuko hayakuwagusa, hivi na yule Mungu wa babu zetu yupo wapi siku hizi na huyu wa kanisani na msikitini yupo wapi.
Tamkeni wazi kwamba Covid-19 ipo. Sasa hayo maombi tutakuwa tunamwomba MUNGU afanye nini kwa kitu ambacho hakipo? Utamwombaje Mungu akuponye kama huumwi?

Tamkeni wazi kwamba kuna Corona na hapo tuanze kumlilia MUNGU atuponye na UGONJWA HUO. Na Mungu ana njia nyingi za kutuponya, tusimwekee mipaka. Anaweza kutuponya kwa kumpa mwanadamu maarifa ya kugundua chanjo. Tusiwe watu wa kutegemea miujiza kwenya mambo yanayohitaji utaalamu.
 
S
Mhe. Rais naona ameumaliza mzizi wa fitina leo katika mazishi ya Balozi Kijazi na kusema kuwa magonjwa yalikuwepo, yapo na yataendelea kuwepo, na sisi si pekee ndiyo tunaotaabika na matatizo haya ya magonjwa ya milipuko hata nchi zingine wamekufa wengi sana. Na tatizo linapokuwa kubwa kuzidi uwezo wa binadamu tulisogeze kwa Mungu.

Rais anasema mwaka jana tulimuona Mungu akitusaidia lakini sasa naona wengine hawana imani tena wanatengeneza taharuki na kutishana mimi sifanyi lokudauni tuchape kazi Mungu yupo. Kwanini au amwamini kuwa Mungu anaweza kuishinda Korona?

Mimi mtoto wa mchungaji nahoji hivi hawa baadhi ya viongozi wa dini ambao nao pia wanaogopa Corona kiasi cha kwamba wanatushauri tuwasikilize watu wa afya na wamitandaoni hivyi hawa watumishi wa Mungu si wangeacha hiyo kazi na kuja huku mchangani ijulikane moja.

Nawauliza na ninyi wana janvi Mungu yupo au, maana babuzetu waliomba mvua zilinyesha, waliomba nzige waondoke asubui waliwakuta chali kificha mende, magonjwa ya mlipuko hayakuwagusa, hivi na yule Mungu wa babu zetu yupo wapi siku hizi na huyu wa kanisani na msikitini yupo wapi.
So whats the conclusion
 
Tatizo sio Mungu hayupo ila tunaomba atangaze hadharani kua C19 ipo ili tahadhari zianze kuchukuliwa.

😷 😷😷😷😷😷😷😷
Tatizo lipo hapo. Hadi uambiwe ndio ujue cha kufanya?
 
Mhe. Rais naona ameumaliza mzizi wa fitina leo katika mazishi ya Balozi Kijazi na kusema kuwa magonjwa yalikuwepo, yapo na yataendelea kuwepo, na sisi si pekee ndiyo tunaotaabika na matatizo haya ya magonjwa ya milipuko hata nchi zingine wamekufa wengi sana. Na tatizo linapokuwa kubwa kuzidi uwezo wa binadamu tulisogeze kwa Mungu.

Rais anasema mwaka jana tulimuona Mungu akitusaidia lakini sasa naona wengine hawana imani tena wanatengeneza taharuki na kutishana mimi sifanyi lokudauni tuchape kazi Mungu yupo. Kwanini au amwamini kuwa Mungu anaweza kuishinda Korona?

Mimi mtoto wa mchungaji nahoji hivi hawa baadhi ya viongozi wa dini ambao nao pia wanaogopa Corona kiasi cha kwamba wanatushauri tuwasikilize watu wa afya na wamitandaoni hivyi hawa watumishi wa Mungu si wangeacha hiyo kazi na kuja huku mchangani ijulikane moja.

Nawauliza na ninyi wana janvi Mungu yupo au, maana babuzetu waliomba mvua zilinyesha, waliomba nzige waondoke asubui waliwakuta chali kificha mende, magonjwa ya mlipuko hayakuwagusa, hivi na yule Mungu wa babu zetu yupo wapi siku hizi na huyu wa kanisani na msikitini yupo wapi.
Kama ni Mungu wa Ibrahim, Isaka na Yakobo basi alielekeza wana wa Israeli kuchukua tahadhari ya kiafya na alianzisha karantini ya kwanza duniani kwa kuwaelekeza wenye ukoma watengwe kwa siku saba mpaka 14 ili wasiambukize watu wengine. Hao miungu wengine siwafahamu sana.
 
Back
Top Bottom