Rais Magufuli anahoji; Je, ninyi hamuamini kuwa yupo Mungu?

Rais Magufuli anahoji; Je, ninyi hamuamini kuwa yupo Mungu?

Watu wanakufa kila siku (kwahio Mungu hayupo au yupo ) ?

Ukisikia njaa unakula chakula..., ukisikia kiu kama hauna maji unakwenda kisimani haijalishi kuwepo au kutokuwepo kwa Mungu au imani yako inakwambia nini....

Kwahio kwenye magonjwa ya mlipuko ni kufuata kanuni za ugonjwa husika zinasemaje hayo mengine ya Imani ni kila mtu kivyake kwa wakati wake (huku anafuata taratibu).., Kuamini bila kufuata taratibu ni kuchezea shilingi chooni
 
Nimeona leo kwenye mitindao muheshimiwa Sana ,mtukigu Rais anatuamasiha waumini wa dini za kikristo,kiislamu na kisabato tusali na kufunga na kwamba tumtegemee MUNGU tu

Je ,ana hofu na Nini?

Tuko uchumi wa Kati kwani shida iko wapi?

Mbona kila siku tunaenda kwenye nyumba zaidi iweje leo kwenye kuaga mwili wa kijazi asisitize Sana hivyo ana hofu gani?

Tuendelee kupiga nyonga[emoji1]
View attachment 1706217
 
Kwenye magonjwa ndipo Mungu anaonekana mzuri na anajibu ila kwenye uchaguzi ambapo wananchi wanamchagua wanayemtaka huyo Mungu hayupo, what a sad like this mh?.

Alafu wewe kama kiongozi unatumia kauli hii “Kufa tutakufa tu, unaweza ukafa kwa Malaria, Kansa na Magonjwa mengine, kufa kupo."
👉🏾Then unalitaja jina la Mungu, nadhami atakuwa ni mungu na si Mungu ambaye kila mtanzania anamuabudu.

Maandiko yanasema Romans 6 'mshahara wa dhambi ni mauti...'
 
Kwahiyo tusichukue hatua za kujikinga kwasababu Mungu yupo? atakua Mungu wa chato huyo.

Ulimsikiliza alichoongea? Labda kwa kumnukuu, amesema "tuchukue na tahadhari zote kulingana na wataalam wanavyotuelekeza. Lakini zaidi, tuendelee kumuomba Mungu".
 
Nafurahi sana napomuona Rais wangu akiijua sana dini kuliko watu wote duniani (ukimtoa Askofu Rasheed)! Jinsi anavyomjua sana Mungu kuliko hata Watumishi wa Mungu! Jinsi anavyomjua sana Mungu kuliko wale waliotuletea habari za Mungu! Yaani Rais wangu mpendwa anamjua sana Mungu kuliko hata Bible inayosema "Imeandikwa pia, usimjaribu Mungu wako"!
Kumtaja Mungu is not necessarily kumjua
 
Kwenye magonjwa ndipo Mungu anaonekana mzuri na anajibu ila kwenye uchaguzi ambapo wananchi wanamchagua wanayemtaka huyo Mungu hayupo, what a sad like this mh?.

Alafu wewe kama kiongozi unatumia kauli hii “Kufa tutakufa tu, unaweza ukafa kwa Malaria, Kansa na Magonjwa mengine, kufa kupo."
👉🏾Then unalitaja jina la Mungu, nadhami atakuwa ni mungu na si Mungu ambaye kila mtanzania anamuabudu.

Maandiko yanasema Romans 6 'mshahara wa dhambi ni mauti...'
Hujui chochote wewe
 
Nimeona leo kwenye mitindao muheshimiwa Sana ,mtukigu Rais anatuamasiha waumini wa dini za kikristo,kiislamu na kisabato tusali na kufunga na kwamba tumtegemee MUNGU tu

Je ,ana hofu na Nini?

Tuko uchumi wa Kati kwani shida iko wapi?

Mbona kila siku tunaenda kwenye nyumba zaidi iweje leo kwenye kuaga mwili wa kijazi asisitize Sana hivyo ana hofu gani?

Tuendelee kupiga nyonga[emoji849]
Hofu ni kuhusu Korona
a.k.a 'changamoto ya upumuaji'
 
Mimi nishachukua hatua vipi kuhusu wenzetu wa kijijini wanaopata taarifa kupitia redio wao je?

Mkuu kwa matangazo ambayo tumeyapata kwenye viombo vya habari kwa kipindi chote, hamna ambaye hana taarifa.
 
Mhs. Rais naona ameumaliza mzizi wa fitina leo katika mazishi ya Balozi Kijazi na kusema kuwa magonjwa yalikuwepo, yapo na yataendelea kuwepo, na sisi si pekee ndiyo tunaotaabika na matatizo haya ya magonjwa ya milipuko hata nchi zingine wamekufa wengi sana. Na tatizo linapokuwa kubwa kuzidi uwezo wa binadamu tulisogeze kwa Mungu.

Rais anasema mwaka jana tulimwona Mungu akitusaidia lakini sasa naona wengine hawana imani tena wanatengeneza taaruki na kutishana mimi sifanyi lokudauni tuchape kazi Mungu yupo. Kwanini au amwamini kuwa Mungu anaweza kuishinda Korona?

Mimi mtoto wa mchungaji nahoji hivi hawa baadhi ya viongozi wa dini ambao nao pia wanaogopa korona kiasi cha kwamba wanatushauri tuwasikilize watu wa afya na wamitandaoni hivyi hawa watumishi wa Mungu si wangeacha hiyo kazi na kuja huku mchangani ijulikane moja.

Nawauliza na ninyi wana janvi Mungu yupo au, maana babuzetu waliomba mvua zilinyesha, waliomba nzige waondoke asubui waliwakuta chali kificha mende, magonjwa ya mlipuko hayakuwagusa, hivi na yule Mungu wa babu zetu yupo wapi siku hizi na huyu wa kanisani na msikitini yupo wapi.
Mimi hapo sijaelewa,inaonekana hatuambiwi ukweli.Hata Mungu anayefahamu ukweli anatushangaa,badala ya kuomba atuepushe na COVID sisi tunaomba aepushe matatizo ya kupumua na hivyo hatuwezi kupata msaada wake.
Tatizo haliondoki bila kukiri kwamba lipo ndipo tunashirikiana kutafuta ufumbuzi wa pamoja na tukubaliane kulitokomeza kwa weledi bila kuleta athari.
Hapa kwetu akiugua nani au kufikwa na mauti nani ndipo tukiri kwamba COVID is real?
 
Mimi hapo sijaelewa,inaonekana hatuambiwi ukweli.Hata Mungu anayefahamu ukweli anatushangaa,badala ya kuomba atuepushe na COVID sisi tunaomba aepushe matatizo ya kupumua na hivyo hatuwezi kupata msaada wake.
Tatizo haliondoki bila kukiri kwamba lipo ndipo tunashirikiana kutafuta ufumbuzi wa pamoja na tukubaliane kulitokomeza kwa weledi bila kuleta athari.
Hapa kwetu akiugua nani au kufikwa na mauti nani ndipo tukiri kwamba COVID is real?
Bado hajakoma bamoja na dalili zote za kufikia yeye mwenyewe
 
Mhe. Rais naona ameumaliza mzizi wa fitina leo katika mazishi ya Balozi Kijazi na kusema kuwa magonjwa yalikuwepo, yapo na yataendelea kuwepo, na sisi si pekee ndiyo tunaotaabika na matatizo haya ya magonjwa ya milipuko hata nchi zingine wamekufa wengi sana. Na tatizo linapokuwa kubwa kuzidi uwezo wa binadamu tulisogeze kwa Mungu.

Rais anasema mwaka jana tulimuona Mungu akitusaidia lakini sasa naona wengine hawana imani tena wanatengeneza taharuki na kutishana mimi sifanyi lokudauni tuchape kazi Mungu yupo. Kwanini au amwamini kuwa Mungu anaweza kuishinda Korona?

Mimi mtoto wa mchungaji nahoji hivi hawa baadhi ya viongozi wa dini ambao nao pia wanaogopa Corona kiasi cha kwamba wanatushauri tuwasikilize watu wa afya na wamitandaoni hivyi hawa watumishi wa Mungu si wangeacha hiyo kazi na kuja huku mchangani ijulikane moja.

Nawauliza na ninyi wana janvi Mungu yupo au, maana babuzetu waliomba mvua zilinyesha, waliomba nzige waondoke asubui waliwakuta chali kificha mende, magonjwa ya mlipuko hayakuwagusa, hivi na yule Mungu wa babu zetu yupo wapi siku hizi na huyu wa kanisani na msikitini yupo wapi.

Mungu ukimtumia kisiasa utapata aibu wewe
 
Nimeona leo kwenye mitindao muheshimiwa Sana ,mtukigu Rais anatuamasiha waumini wa dini za kikristo,kiislamu na kisabato tusali na kufunga na kwamba tumtegemee MUNGU tu

Je ,ana hofu na Nini?

Tuko uchumi wa Kati kwani shida iko wapi?

Mbona kila siku tunaenda kwenye nyumba zaidi iweje leo kwenye kuaga mwili wa kijazi asisitize Sana hivyo ana hofu gani?

Tuendelee kupiga nyonga[emoji849]
Dhidi ya corona, hivyo vaa barakoa amekwambia indirectly. Msimfuatishe kutovaa barakoa yeyw, SI AJABU HE IS ALREADY VACCINATED AND THEREFORE PROTECTED FROM FATAL DISEASE/INFECTION
 
Mhe. Rais naona ameumaliza mzizi wa fitina leo katika mazishi ya Balozi Kijazi na kusema kuwa magonjwa yalikuwepo, yapo na yataendelea kuwepo, na sisi si pekee ndiyo tunaotaabika na matatizo haya ya magonjwa ya milipuko hata nchi zingine wamekufa wengi sana. Na tatizo linapokuwa kubwa kuzidi uwezo wa binadamu tulisogeze kwa Mungu.

Rais anasema mwaka jana tulimuona Mungu akitusaidia lakini sasa naona wengine hawana imani tena wanatengeneza taharuki na kutishana mimi sifanyi lokudauni tuchape kazi Mungu yupo. Kwanini au amwamini kuwa Mungu anaweza kuishinda Korona?

Mimi mtoto wa mchungaji nahoji hivi hawa baadhi ya viongozi wa dini ambao nao pia wanaogopa Corona kiasi cha kwamba wanatushauri tuwasikilize watu wa afya na wamitandaoni hivyi hawa watumishi wa Mungu si wangeacha hiyo kazi na kuja huku mchangani ijulikane moja.

Nawauliza na ninyi wana janvi Mungu yupo au, maana babuzetu waliomba mvua zilinyesha, waliomba nzige waondoke asubui waliwakuta chali kificha mende, magonjwa ya mlipuko hayakuwagusa, hivi na yule Mungu wa babu zetu yupo wapi siku hizi na huyu wa kanisani na msikitini yupo wapi.
JPM angetumia falsafa hiyo hiyo ya kumwogopa Mungu wakati wa uchaguzi mkuu 2020. Biblia inasema Mungu hadhihakiwi; JPM aache kumdhihaki Mungu. Kwenye uchaguzi Mungu aliwekwa wapi anamtaja tu kwenye corona? . Mwambieni JPM Mungu siyo mdoli wa kumchezea, kumkejeli; angekuwa na IMANi asingekimbilia Chato kujificha. angekuwa na IMANI angeruhusu Mungu awaongoze watu kuchagua viongozi wanaowapenda. Hatutaki unafiki sisi na bahati nzuri mzee Jakaya kesha shtukia usanii wake
 
Dhidi ya corona, hivyo vaa barakoa amekwambia indirectly. Msimfuatishe kutovaa barakoa yeyw, SI AJABU HE IS ALREADY VACCINATED AND THEREFORE PROTECTED FROM FATAL DISEASE/INFECTION
Mmh kwamba yeye kashakuwa injected?
 
Mhe. Rais naona ameumaliza mzizi wa fitina leo katika mazishi ya Balozi Kijazi na kusema kuwa magonjwa yalikuwepo, yapo na yataendelea kuwepo, na sisi si pekee ndiyo tunaotaabika na matatizo haya ya magonjwa ya milipuko hata nchi zingine wamekufa wengi sana. Na tatizo linapokuwa kubwa kuzidi uwezo wa binadamu tulisogeze kwa Mungu.

Rais anasema mwaka jana tulimuona Mungu akitusaidia lakini sasa naona wengine hawana imani tena wanatengeneza taharuki na kutishana mimi sifanyi lokudauni tuchape kazi Mungu yupo. Kwanini au amwamini kuwa Mungu anaweza kuishinda Korona?

Mimi mtoto wa mchungaji nahoji hivi hawa baadhi ya viongozi wa dini ambao nao pia wanaogopa Corona kiasi cha kwamba wanatushauri tuwasikilize watu wa afya na wamitandaoni hivyi hawa watumishi wa Mungu si wangeacha hiyo kazi na kuja huku mchangani ijulikane moja.

Nawauliza na ninyi wana janvi Mungu yupo au, maana babuzetu waliomba mvua zilinyesha, waliomba nzige waondoke asubui waliwakuta chali kificha mende, magonjwa ya mlipuko hayakuwagusa, hivi na yule Mungu wa babu zetu yupo wapi siku hizi na huyu wa kanisani na msikitini yupo wapi.
BAVICHA HILI KWAO CHUNGU.HAPO WALIPO WANATAMANI MODS WAUFUTE HUU UZIII. KATIKA RAIS AMBAE ATAKUMBUKWA KWA KUWA NA MAONO AMBAYO ILI UYAELEWE UNATAKIWA UWE NA THE WISDOM ABOVE NORMAL ni huyu jpm.I salute you!!!!
 
Kamwe huyu Mungu tunayemwabudu Wakristo Mungu wa Abraham, Izaka na Yakobo siye Mungu anayemwabudu Magufuli.

Kwa matendo aliyowatendea wenye vyeti feki, aliowatumbua kazini, aliowapeleka Segerea, aliowaua kwa kikundi cha WASIOJULIKANA, anaowanyima nyongeza za mishahara, anaowabomolea nyumba Kimara kamwe hawezi kuomba Mungu akamsikiliza. Kwa namna anavyoacha watu wasichukue tahadhari kwenye Corona, huyu hawezi kuwa anamuamini Mungu.

Labda mungu (m- ndogo) wa Gwajiboy, Mch Mashimo na Sheikh Alhad wa Dar ambao anaomba nao kila mara
Umesahau uporaji wa demokrasia uliofanyika uchaguzi mkuu 2020
 
Nafurahi sana napomuona Rais wangu akiijua sana dini kuliko watu wote duniani (ukimtoa Askofu Rasheed)! Jinsi anavyomjua sana Mungu kuliko hata Watumishi wa Mungu! Jinsi anavyomjua sana Mungu kuliko wale waliotuletea habari za Mungu! Yaani Rais wangu mpendwa anamjua sana Mungu kuliko hata Bible inayosema "Imeandikwa pia, usimjaribu Mungu wako"!

Hivi anamuona Bwana Yesu ni zuzu aliyemgomea shetani kujitupa chini kutoka juu ya mnara, au Rais wangu anafikiria nini hasa? Mbona Yesu hakujitupa pamoja na bible kusema Mungu atawaamuru malaika wake watamchukua mikononi mwao ili asijikwae?
Hapa unapotosha mkuu.si dhani kama kuna kum jaribu Mungu hapa.Tunaambiwa tuendelee kuchukua tahadhari ila tusiache kumuomba Mungu.
 
Back
Top Bottom