Rais Magufuli anakataliwa mpaka na wazee hapa Bagamoyo

Rais Magufuli anakataliwa mpaka na wazee hapa Bagamoyo

Sexless

JF-Expert Member
Joined
Mar 11, 2017
Posts
23,683
Reaction score
55,898
Kwa wiki nzima nilikiwa Bagamoyo. Na nimesikiliza mijadala mingi sana ktk viunga vya mji huu wa kihistoria kuhusiana na kampeni zinazoendelea.

Nami ktk nyakati na maeneo tofauti nilikuwa najaribu kuchomekea kutaka kujua watu wana matamanio ya kumchagua nani ktk uchaguzi wa 28/10/2020, na kwasabb gani?

Wabagamoyo hawamtaki kabisa Magufuli kwasabb hz zifuatazo:-
  • Amefuta ujenzi wa bandari ya Bagamoyo. Hili suala litamnyima kura nyingi sana, kwasbb limewaudhi mno. Ktk kila watu 5 nikioongea nao, 3 wanaligusia hili.
  • John alipewa ombi la kujenga kiwanda cha kuchakata mananasi akawajibu nyodo wabagamoyo. Alisema:-"mlikuwa na rais anayetoka hapa, tena ni mkulima wa mananasi hamkumuomba awajengee kiwanda. Mlisubiri mm niwe rais ndiyo nije niwajengee??"
  • Madhira waliyo yapata wavuvi wakati wa operehseni ya uvuvi haramu ya waziri Luhaga Mpina. Hapa wavuvi wengi walipigwa na kunyang'anywa nyavu zao Kisha zikachomwa Moto.
  • Kufifia kwa biashara ya mqhoteli. Watoto wengi wa wakazi wa Bagamoyo waliokuwa wameairiwa kwenye mahoteli hv Sasa hawana kazi.
Wabagamoyo wameapa kumpa kura zote Lisu.
 
Habari wanaJF, kuna suala ambalo sio la kawaida limejitokeza siku ya leo pasipo kutegemea.

Na kama ilivyo kawaida kwa kamanda mimi huwa sifumbi wala sifichi matatizo, nayamwaga ili kuwepo kujirekebisha kwa wahusika.

Siku ya leo ilikuwa siku ya kampeni ya mgombea wetu wa chadema katika mji wa Bagamoyo.

Kama kawaida matangazo ya hapa na pale yalipita karibu sehemu nyingi kuwakumbusha watu juu ya kuhudhuria shughuli hiyo na ratiba ilionyesha mgombea wetu wa chadema angeanza kampeni pale muda wa saa 4 hadi saa 5.

Cha kushangaza ni kuwa hadi kufikia muda wa saa 3 asubuhi hakukuwa na mtu yoyote eneo la tukio, tukavuta subra kufika hadi saa 4 napo bado, kufika saa 5 napo bado.

Wakatokea baadhi tu ya viongozi wa CHADEMA wilaya ya Bagamoyo, nadhani lengo ni kuangalia muitikio kama kuna watu ili mgombea wetu aje amwage sera zake.

Lakini pengine kutokana na nature ya eneo la Bagamoyo watu wake pengine bado hawana muamko na upinzani, basi hadi sasa hivi saa saba hii inaenda saa nane mchana HAKUNA WATU KABISA.

Hali iliyopelekea mgombea wetu kutoonekana hapa viwanjani na pengine anaweza kuhairisha hili zoezi siku ya leo kutokana na kupuuzwa huko.

Niwaombe wananchi wa bagamoyo wasirudie tena walichokifanya leo kwa mgombea wetu na chadema kwa ujumla.
 
Sexless,

Yaani nihatari umeniigusa kwenye uvuvi lengo lilikuwa kutufirisi unasema salimisheni nyavu zipimwe sisitulitekeleza tukasalimisha ilizipimwe matokeo kama hunapesa wavu tunachoma kweli wakachoma na kuteka engine mpaka leo wanazo wanasema tuzikomboe kwapesa m1 kila mashine.

WAVUVI NIZAMU YETU LISU kasema anatulipa
 
Kwa wiki nzima nilikiwa Bagamoyo. Na nimesikiliza mijadala mingi sana ktk viunga vya mji huu wa kihistoria kuhusiana na kampeni zinazoendelea.

Nami ktk nyakati na maeneo tofauti nilikuwa najaribu kuchomekea kutaka kujua watu wana matamanio ya kumchagua nani ktk uchaguzi wa 28/10/2020, na kwasabb gani?

Wabagamoyo hawamtaki kabisa Magufuli kwasabb hz zifuatazo:-
  • Amefuta ujenzi wa bandari ya Bagamoyo. Hili suala litamnyima kura nyingi sana, kwasbb limewaudhi mno. Ktk kila watu 5 nikioongea nao, 3 wanaligusia hili.
  • John alipewa ombi la kujenga kiwanda cha kuchakata mananasi akawajibu nyodo wabagamoyo. Alisema:-"mlikuwa na rais anayetoka hapa, tena ni mkulima wa mananasi hamkumuomba awajengee kiwanda. Mlisubiri mm niwe rais ndiyo nije niwajengee??"
  • Madhira waliyo yapata wavuvi wakati wa operehseni ya uvuvi haramu ya waziri Luhaga Mpina. Hapa wavuvi wengi walipigwa na kunyang'anywa nyavu zao Kisha zikachomwa Moto.
  • Kufifia kwa biashara ya mqhoteli. Watoto wengi wa wakazi wa Bagamoyo waliokuwa wameairiwa kwenye mahoteli hv Sasa hawana kazi.

Wabagamoyo wameapa kumpa kura zote Lisu.
Sijui nikutukane tusi gani kwa upumbavu ulio nao..lakini ngoja nikuache tu
 
Back
Top Bottom