Rais Magufuli anakataliwa mpaka na wazee hapa Bagamoyo

Rais Magufuli anakataliwa mpaka na wazee hapa Bagamoyo

Kwa wiki nzima nilikiwa Bagamoyo. Na nimesikiliza mijadala mingi sana ktk viunga vya mji huu wa kihistoria kuhusiana na kampeni zinazoendelea.

Nami ktk nyakati na maeneo tofauti nilikuwa najaribu kuchomekea kutaka kujua watu wana matamanio ya kumchagua nani ktk uchaguzi wa 28/10/2020, na kwasabb gani?

Wabagamoyo hawamtaki kabisa Magufuli kwasabb hz zifuatazo:-
  • Amefuta ujenzi wa bandari ya Bagamoyo. Hili suala litamnyima kura nyingi sana, kwasbb limewaudhi mno. Ktk kila watu 5 nikioongea nao, 3 wanaligusia hili.
  • John alipewa ombi la kujenga kiwanda cha kuchakata mananasi akawajibu nyodo wabagamoyo. Alisema:-"mlikuwa na rais anayetoka hapa, tena ni mkulima wa mananasi hamkumuomba awajengee kiwanda. Mlisubiri mm niwe rais ndiyo nije niwajengee??"
  • Madhira waliyo yapata wavuvi wakati wa operehseni ya uvuvi haramu ya waziri Luhaga Mpina. Hapa wavuvi wengi walipigwa na kunyang'anywa nyavu zao Kisha zikachomwa Moto.
  • Kufifia kwa biashara ya mqhoteli. Watoto wengi wa wakazi wa Bagamoyo waliokuwa wameairiwa kwenye mahoteli hv Sasa hawana kazi.

Wabagamoyo wameapa kumpa kura zote Lisu.
Wampe ila rais ni Magufuli,na baada ya hapo tutaangalia kura zilivyopigwa ,tukiona hawakuchagua Magufuli suruba itaanzia hapo
 
Wabagamoyo wameapa kumpa kura zote Lisu.
hoja za kitoto sana
Magufuli ametoa ekari 10,000 kulima miwa ma kinajengwa kiwanda cha Bagamoyo Sugar ambacho kitaleta ajira za wanabagamoyo,Mbowe alikua mstari wa mbele bungeni kupinga kilimo cha miwa bagamoyo eti kitaharibu mazingira
uchaguzi huu ni wa kuchagua vitu na kauli tupu!
 
Kwa wiki nzima nilikiwa Bagamoyo. Na nimesikiliza mijadala mingi sana ktk viunga vya mji huu wa kihistoria kuhusiana na kampeni zinazoendelea.

Nami ktk nyakati na maeneo tofauti nilikuwa najaribu kuchomekea kutaka kujua watu wana matamanio ya kumchagua nani ktk uchaguzi wa 28/10/2020, na kwasabb gani?

Wabagamoyo hawamtaki kabisa Magufuli kwasabb hz zifuatazo:-
  • Amefuta ujenzi wa bandari ya Bagamoyo. Hili suala litamnyima kura nyingi sana, kwasbb limewaudhi mno. Ktk kila watu 5 nikioongea nao, 3 wanaligusia hili.
  • John alipewa ombi la kujenga kiwanda cha kuchakata mananasi akawajibu nyodo wabagamoyo. Alisema:-"mlikuwa na rais anayetoka hapa, tena ni mkulima wa mananasi hamkumuomba awajengee kiwanda. Mlisubiri mm niwe rais ndiyo nije niwajengee??"
  • Madhira waliyo yapata wavuvi wakati wa operehseni ya uvuvi haramu ya waziri Luhaga Mpina. Hapa wavuvi wengi walipigwa na kunyang'anywa nyavu zao Kisha zikachomwa Moto.
  • Kufifia kwa biashara ya mqhoteli. Watoto wengi wa wakazi wa Bagamoyo waliokuwa wameairiwa kwenye mahoteli hv Sasa hawana kazi.

Wabagamoyo wameapa kumpa kura zote Lisu.
Mbona kwenye mkutano leo hawakujitokeza?
 
Wampe ila rais ni Magufuli,na baada ya hapo tutaangalia kura zilivyopigwa ,tukiona hawakuchagua Magufuli suruba itaanzia hapo
Kwa nyodo hizi ndiyo atanyimwa zaidi. Bora awe mpole tu.
 
Magufuli ametoa ekari 10,000 kulima miwa ma kinajengwa kiwanda cha Bagamoyo Sugar ambacho kitaleta ajira
Ktk kitu ambacho wabagamoyo hawawezi kufanya ni kufanya kqzi za shamba. Hawazitaki, hawazipendi na hawaziwezi.

Huyo muwekezaji atapata taabu sana kupata wakata miwa. Itamlazimu awe anaenda usukumani huko kwa linajiojn kuwatafuta.
 
Kwa wiki nzima nilikiwa Bagamoyo. Na nimesikiliza mijadala mingi sana ktk viunga vya mji huu wa kihistoria kuhusiana na kampeni zinazoendelea.

Nami ktk nyakati na maeneo tofauti nilikuwa najaribu kuchomekea kutaka kujua watu wana matamanio ya kumchagua nani ktk uchaguzi wa 28/10/2020, na kwasabb gani?

Wabagamoyo hawamtaki kabisa Magufuli kwasabb hz zifuatazo:-
  • Amefuta ujenzi wa bandari ya Bagamoyo. Hili suala litamnyima kura nyingi sana, kwasbb limewaudhi mno. Ktk kila watu 5 nikioongea nao, 3 wanaligusia hili.
  • John alipewa ombi la kujenga kiwanda cha kuchakata mananasi akawajibu nyodo wabagamoyo. Alisema:-"mlikuwa na rais anayetoka hapa, tena ni mkulima wa mananasi hamkumuomba awajengee kiwanda. Mlisubiri mm niwe rais ndiyo nije niwajengee??"
  • Madhira waliyo yapata wavuvi wakati wa operehseni ya uvuvi haramu ya waziri Luhaga Mpina. Hapa wavuvi wengi walipigwa na kunyang'anywa nyavu zao Kisha zikachomwa Moto.
  • Kufifia kwa biashara ya mqhoteli. Watoto wengi wa wakazi wa Bagamoyo waliokuwa wameairiwa kwenye mahoteli hv Sasa hawana kazi.

Wabagamoyo wameapa kumpa kura zote Lisu.
Kwa umati mdogo wa leo wa lissu ni wazi nae halubaliki kabisa pwani...
 
Kwa wiki nzima nilikiwa Bagamoyo. Na nimesikiliza mijadala mingi sana ktk viunga vya mji huu wa kihistoria kuhusiana na kampeni zinazoendelea.

Nami ktk nyakati na maeneo tofauti nilikuwa najaribu kuchomekea kutaka kujua watu wana matamanio ya kumchagua nani ktk uchaguzi wa 28/10/2020, na kwasabb gani?

Wabagamoyo hawamtaki kabisa Magufuli kwasabb hz zifuatazo:-
  • Amefuta ujenzi wa bandari ya Bagamoyo. Hili suala litamnyima kura nyingi sana, kwasbb limewaudhi mno. Ktk kila watu 5 nikioongea nao, 3 wanaligusia hili.
  • John alipewa ombi la kujenga kiwanda cha kuchakata mananasi akawajibu nyodo wabagamoyo. Alisema:-"mlikuwa na rais anayetoka hapa, tena ni mkulima wa mananasi hamkumuomba awajengee kiwanda. Mlisubiri mm niwe rais ndiyo nije niwajengee??"
  • Madhira waliyo yapata wavuvi wakati wa operehseni ya uvuvi haramu ya waziri Luhaga Mpina. Hapa wavuvi wengi walipigwa na kunyang'anywa nyavu zao Kisha zikachomwa Moto.
  • Kufifia kwa biashara ya mqhoteli. Watoto wengi wa wakazi wa Bagamoyo waliokuwa wameairiwa kwenye mahoteli hv Sasa hawana kazi.

Wabagamoyo wameapa kumpa kura zote Lisu.
Bagamoyo haiwezi kumnyima ushindi Magufuli, kwa sababu ni 0.05% ya wapiga kura wote wa Tanzania. Hivyo hiyo sio issue kubwa sana. Tunampongeza Lissu kwa kupata ngome mpya maana kote alikopita ameprove failure.
 
Kiwete amedhalilishwa Sana. Yaani project kubwa kama Ile ya bandari ambayo ingeinua kipato Cha watu wa Pwani inafutwa kwa maneno rahisi vile??
Usichukulie kila kilichofanyika basi ni mkate, kawaulize Wakenya kuhusu hilo. Nampongeza sana Magufuli kwa kupiga chini huo mradi, hata hao wanabagamoyo wasingefaidi na huo mradi.
 
maana kote alikopita ameprove failure.
Hata nafsi yako itakuwa inakusuta. John kafika mahali anachanganyikiwa hata akiwa kwenye jukwaa. Bila shaka utakuwa umemsikia akisema:-
...wabunge wenzangu njooni hapa.
...jamani mm nina kosa gani nispewe miaka 10?
 
Nampongeza sana Magufuli kwa kupiga chini huo mradi,
Lkn unampongeza Sana
.....kujenga uwanja wa kimataifa Chato ambako ni ndege moja tu inayombeba mamake inatua kwa mwaka.
.....kununua madege yasiyokuwa na tija kwa taifa bila kufuata taratibu za manunuzi.
.....kuteka, kuuwa, na kujeruhi na Kisha kuunda na kulea kikundi Cha watu wasiojulikana.
....kusingizia watu kesi na kuwapora fedha zao.

Kiukweli huyu John hasafishiki hata kwa jiki.
 
Kwa wiki nzima nilikiwa Bagamoyo. Na nimesikiliza mijadala mingi sana ktk viunga vya mji huu wa kihistoria kuhusiana na kampeni zinazoendelea.

Nami ktk nyakati na maeneo tofauti nilikuwa najaribu kuchomekea kutaka kujua watu wana matamanio ya kumchagua nani ktk uchaguzi wa 28/10/2020, na kwasabb gani?

Wabagamoyo hawamtaki kabisa Magufuli kwasabb hz zifuatazo:-
  • Amefuta ujenzi wa bandari ya Bagamoyo. Hili suala litamnyima kura nyingi sana, kwasbb limewaudhi mno. Ktk kila watu 5 nikioongea nao, 3 wanaligusia hili.
  • John alipewa ombi la kujenga kiwanda cha kuchakata mananasi akawajibu nyodo wabagamoyo. Alisema:-"mlikuwa na rais anayetoka hapa, tena ni mkulima wa mananasi hamkumuomba awajengee kiwanda. Mlisubiri mm niwe rais ndiyo nije niwajengee??"
  • Madhira waliyo yapata wavuvi wakati wa operehseni ya uvuvi haramu ya waziri Luhaga Mpina. Hapa wavuvi wengi walipigwa na kunyang'anywa nyavu zao Kisha zikachomwa Moto.
  • Kufifia kwa biashara ya mqhoteli. Watoto wengi wa wakazi wa Bagamoyo waliokuwa wameairiwa kwenye mahoteli hv Sasa hawana kazi.

Wabagamoyo wameapa kumpa kura zote Lisu.

Hata kama hii ingekuwa kweli, Bagamoyo ina wananchi wangapi.
 
Lkn unampongeza Sana
.....kujenga uwanja wa kimataifa Chato ambako ni ndege moja tu inayombeba mamake inatua kwa mwaka.
.....kununua madege yasiyokuwa na tija kwa taifa bila kufuata taratibu za manunuzi.
.....kuteka, kuuwa, na kujeruhi na Kisha kuunda na kulea kikundi Cha watu wasiojulikana.
....kusingizia watu kesi na kuwapora fedha zao.

Kiukweli huyu John hasafishiki hata kwa jiki.


Ohh kumbe ni muuza madawa analalamika na kulalamikia yasiyokuwepo.
 
Habari wanajf, kuna suala ambalo sio la kawaida limejitokeza siku ya leo pasipo kutegemea.

Na kama ilivyo kawaida kwa kamanda mimi huwa sifumbi wala sifichi matatizo, nayamwaga ili kuwepo kujirekebisha kwa wahusika.

Siku ya leo ilikuwa siku ya kampeni ya mgombea wetu wa chadema katika mji wa bagamoyo.

Kama kawaida matangazo ya hapa na pale yalipita karibu sehemu nyingi kuwakumbusha watu juu ya kuhudhuria shughuli hiyo na ratiba ilionyesha mgombea wetu wa chadema angeanza kampeni pale muda wa saa 4 hadi saa 5.

Cha kushangaza ni kuwa hadi kufikia muda wa saa 3 asubuhi hakukuwa na mtu yoyote eneo la tukio, tukavuta subra kufika hadi saa 4 napo bado, kufika saa 5 napo bado.

Wakatokea baadhi tu ya viongozi wa CHADEMA wilaya ya Bagamoyo, nadhani lengo ni kuangalia muitikio kama kuna watu ili mgombea wetu aje amwage sera zake.

Lakini pengine kutokana na nature ya eneo la Bagamoyo watu wake pengine bado hawana muamko na upinzani, basi hadi sasa hivi saa saba hii inaenda saa nane mchana HAKUNA WATU KABISA.

Hali iliyopelekea mgombea wetu kutoonekana hapa viwanjani na pengine anaweza kuhairisha hili zoezi siku ya leo kutokana na kupuuzwa huko.

Niwaombe wananchi wa bagamoyo wasirudie tena walichokifanya leo kwa mgombea wetu na chadema kwa ujumla.
Pole alokutuma mwambie ajipange maana message unaituma sa moja alafu unadai n sa nane una shida gani wewe
 
Back
Top Bottom