Rais Magufuli anakataliwa mpaka na wazee hapa Bagamoyo

Rais Magufuli anakataliwa mpaka na wazee hapa Bagamoyo

Kwa wiki nzima nilikiwa Bagamoyo. Na nimesikiliza mijadala mingi sana ktk viunga vya mji huu wa kihistoria kuhusiana na kampeni zinazoendelea.

Nami ktk nyakati na maeneo tofauti nilikuwa najaribu kuchomekea kutaka kujua watu wana matamanio ya kumchagua nani ktk uchaguzi wa 28/10/2020, na kwasabb gani?

Wabagamoyo hawamtaki kabisa Magufuli kwasabb hz zifuatazo:-
  • Amefuta ujenzi wa bandari ya Bagamoyo. Hili suala litamnyima kura nyingi sana, kwasbb limewaudhi mno. Ktk kila watu 5 nikioongea nao, 3 wanaligusia hili.
  • John alipewa ombi la kujenga kiwanda cha kuchakata mananasi akawajibu nyodo wabagamoyo. Alisema:-"mlikuwa na rais anayetoka hapa, tena ni mkulima wa mananasi hamkumuomba awajengee kiwanda. Mlisubiri mm niwe rais ndiyo nije niwajengee??"
  • Madhira waliyo yapata wavuvi wakati wa operehseni ya uvuvi haramu ya waziri Luhaga Mpina. Hapa wavuvi wengi walipigwa na kunyang'anywa nyavu zao Kisha zikachomwa Moto.
  • Kufifia kwa biashara ya mqhoteli. Watoto wengi wa wakazi wa Bagamoyo waliokuwa wameairiwa kwenye mahoteli hv Sasa hawana kazi.

Wabagamoyo wameapa kumpa kura zote Lisu.
Hii nyodo ni next level aisee ....mlikuwa na rais anayetoka hapa, tena ni mkulima wa mananasi hamkumuomba awajengee kiwanda. Mlisubiri mm niwe rais ndiyo nije niwajengee??"
 
Kiwete amedhalilishwa Sana. Yaani project kubwa kama Ile ya bandari ambayo ingeinua kipato Cha watu wa Pwani inafutwa kwa maneno rahisi vile??
Biashara ya mahotel na utalii viko ICU
 
Hii nyodo ni next level aisee ....mlikuwa na rais anayetoka hapa, tena ni mkulima wa mananasi hamkumuomba awajengee kiwanda. Mlisubiri mm niwe rais ndiyo nije niwajengee??"
Jamaa ana nyodo siyo za nchi hii.
 
Kwa wiki nzima nilikiwa Bagamoyo. Na nimesikiliza mijadala mingi sana ktk viunga vya mji huu wa kihistoria kuhusiana na kampeni zinazoendelea.

Nami ktk nyakati na maeneo tofauti nilikuwa najaribu kuchomekea kutaka kujua watu wana matamanio ya kumchagua nani ktk uchaguzi wa 28/10/2020, na kwasabb gani?

Wabagamoyo hawamtaki kabisa Magufuli kwasabb hz zifuatazo:-
  • Amefuta ujenzi wa bandari ya Bagamoyo. Hili suala litamnyima kura nyingi sana, kwasbb limewaudhi mno. Ktk kila watu 5 nikioongea nao, 3 wanaligusia hili.
  • John alipewa ombi la kujenga kiwanda cha kuchakata mananasi akawajibu nyodo wabagamoyo. Alisema:-"mlikuwa na rais anayetoka hapa, tena ni mkulima wa mananasi hamkumuomba awajengee kiwanda. Mlisubiri mm niwe rais ndiyo nije niwajengee??"
  • Madhira waliyo yapata wavuvi wakati wa operehseni ya uvuvi haramu ya waziri Luhaga Mpina. Hapa wavuvi wengi walipigwa na kunyang'anywa nyavu zao Kisha zikachomwa Moto.
  • Kufifia kwa biashara ya mqhoteli. Watoto wengi wa wakazi wa Bagamoyo waliokuwa wameairiwa kwenye mahoteli hv Sasa hawana kazi.

Wabagamoyo wameapa kumpa kura zote Lisu.
Unajitekenya halafu unacheka mwenyewe, au ndo unataka kututowa kwenye habari ya leo kilichompata kibaraka?
 
Kwa wiki nzima nilikiwa Bagamoyo. Na nimesikiliza mijadala mingi sana ktk viunga vya mji huu wa kihistoria kuhusiana na kampeni zinazoendelea.

Nami ktk nyakati na maeneo tofauti nilikuwa najaribu kuchomekea kutaka kujua watu wana matamanio ya kumchagua nani ktk uchaguzi wa 28/10/2020, na kwasabb gani?

Wabagamoyo hawamtaki kabisa Magufuli kwasabb hz zifuatazo:-
  • Amefuta ujenzi wa bandari ya Bagamoyo. Hili suala litamnyima kura nyingi sana, kwasbb limewaudhi mno. Ktk kila watu 5 nikioongea nao, 3 wanaligusia hili.
  • John alipewa ombi la kujenga kiwanda cha kuchakata mananasi akawajibu nyodo wabagamoyo. Alisema:-"mlikuwa na rais anayetoka hapa, tena ni mkulima wa mananasi hamkumuomba awajengee kiwanda. Mlisubiri mm niwe rais ndiyo nije niwajengee??"
  • Madhira waliyo yapata wavuvi wakati wa operehseni ya uvuvi haramu ya waziri Luhaga Mpina. Hapa wavuvi wengi walipigwa na kunyang'anywa nyavu zao Kisha zikachomwa Moto.
  • Kufifia kwa biashara ya mqhoteli. Watoto wengi wa wakazi wa Bagamoyo waliokuwa wameairiwa kwenye mahoteli hv Sasa hawana kazi.

Wabagamoyo wameapa kumpa kura zote Lisu.
Leo mgombea wenu wa CDM katopola kakosa wasikilizaji kaishia kuhutubia viongozi alioambatana nao
 
Unajitekenya halafu unacheka mwenyewe, au ndo unataka kututowa kwenye habari ya leo kilichompata kibaraka?
Kipi kimempata? Hiyo hujuma? Ukijikita huko utakuwa unazidi kumdidimiza John. Mwishowe atapata kura 0 nchi nzima.
 
Kwa wiki nzima nilikiwa Bagamoyo. Na nimesikiliza mijadala mingi sana ktk viunga vya mji huu wa kihistoria kuhusiana na kampeni zinazoendelea.

Nami ktk nyakati na maeneo tofauti nilikuwa najaribu kuchomekea kutaka kujua watu wana matamanio ya kumchagua nani ktk uchaguzi wa 28/10/2020, na kwasabb gani?

Wabagamoyo hawamtaki kabisa Magufuli kwasabb hz zifuatazo:-
  • Amefuta ujenzi wa bandari ya Bagamoyo. Hili suala litamnyima kura nyingi sana, kwasbb limewaudhi mno. Ktk kila watu 5 nikioongea nao, 3 wanaligusia hili.
  • John alipewa ombi la kujenga kiwanda cha kuchakata mananasi akawajibu nyodo wabagamoyo. Alisema:-"mlikuwa na rais anayetoka hapa, tena ni mkulima wa mananasi hamkumuomba awajengee kiwanda. Mlisubiri mm niwe rais ndiyo nije niwajengee??"
  • Madhira waliyo yapata wavuvi wakati wa operehseni ya uvuvi haramu ya waziri Luhaga Mpina. Hapa wavuvi wengi walipigwa na kunyang'anywa nyavu zao Kisha zikachomwa Moto.
  • Kufifia kwa biashara ya mqhoteli. Watoto wengi wa wakazi wa Bagamoyo waliokuwa wameairiwa kwenye mahoteli hv Sasa hawana kazi.

Wabagamoyo wameapa kumpa kura zote Lisu.
Aliyekataliwa Bagamoyo ni snitch Lisu usipoteze carolies zako kutunga uongo wa kuficha aibu mliyoipata
 
Nani ampe kura mnyanyasaji, mkabila.. Kura zote ni kwa Lissu. Tumechoka sana Watanzania kuwa chini ya Jiwe.
 
Kipi kimempata? Hiyo hujuma? Ukijikita huko utakuwa unazidi kumdidimiza John. Mwishowe atapata kura 0 nchi nzima.
Mkuu sexless, utake usitake, upende usipende, Magu ndo raisi wako for 2021-2025, cjui utahama nchi, or what will be your plans baada ya magu kuapishwa?
 
Aliyekataliwa Bagamoyo ni snitch Lisu usipoteze carolies zako kutunga uongo wa kuficha aibu mliyoipata
Weeee!! Amehujumiwa, kwa kunyimwa kibali cha kuruka na chopa. Ratiba ilionesha kuwa atafika Bagamoyo saa nne lkn kutokana na hujuma akafika saa 12 kasoro robo. Lkn bado watu wakiendelea kusubiri.
 
Mkuu sexless, utake usitake, upende usipende, Magu ndo raisi wako for 2021-2025, cjui utahama nchi, or what will be your plans baada ya magu kuapishwa?
Nitaendelea kuwepo nchini. Hiki ni kipindi cha kamapeni so ruksa kuchagua uoqnde unaoushabikia. Uchaguzi ukiisha tutarudi kuwa wachambuzi wa siasa.
 
Kwa wiki nzima nilikiwa Bagamoyo. Na nimesikiliza mijadala mingi sana ktk viunga vya mji huu wa kihistoria kuhusiana na kampeni zinazoendelea.

Nami ktk nyakati na maeneo tofauti nilikuwa najaribu kuchomekea kutaka kujua watu wana matamanio ya kumchagua nani ktk uchaguzi wa 28/10/2020, na kwasabb gani?

Wabagamoyo hawamtaki kabisa Magufuli kwasabb hz zifuatazo:-
  • Amefuta ujenzi wa bandari ya Bagamoyo. Hili suala litamnyima kura nyingi sana, kwasbb limewaudhi mno. Ktk kila watu 5 nikioongea nao, 3 wanaligusia hili.
  • John alipewa ombi la kujenga kiwanda cha kuchakata mananasi akawajibu nyodo wabagamoyo. Alisema:-"mlikuwa na rais anayetoka hapa, tena ni mkulima wa mananasi hamkumuomba awajengee kiwanda. Mlisubiri mm niwe rais ndiyo nije niwajengee??"
  • Madhira waliyo yapata wavuvi wakati wa operehseni ya uvuvi haramu ya waziri Luhaga Mpina. Hapa wavuvi wengi walipigwa na kunyang'anywa nyavu zao Kisha zikachomwa Moto.
  • Kufifia kwa biashara ya mqhoteli. Watoto wengi wa wakazi wa Bagamoyo waliokuwa wameairiwa kwenye mahoteli hv Sasa hawana kazi.

Wabagamoyo wameapa kumpa kura zote Lisu.
Tundu Lissu ametoka patupu hajakuta wafuasi 😀😀😀😀😀😀😀😀, Nimecheeeeeekaaaaa
 
Back
Top Bottom