The Khoisan
JF-Expert Member
- Jun 5, 2007
- 16,434
- 14,547
Anasema hivi halafu anafanya vile.... He can't be trusted.Ameshindwa kuwaunganisha watanzania. Hawezi uongozi. Ni mkabila, mbaguzi wa kisiasa na maktili asiye na huruma.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Anasema hivi halafu anafanya vile.... He can't be trusted.Ameshindwa kuwaunganisha watanzania. Hawezi uongozi. Ni mkabila, mbaguzi wa kisiasa na maktili asiye na huruma.
Hii nyodo ni next level aisee ....mlikuwa na rais anayetoka hapa, tena ni mkulima wa mananasi hamkumuomba awajengee kiwanda. Mlisubiri mm niwe rais ndiyo nije niwajengee??"Kwa wiki nzima nilikiwa Bagamoyo. Na nimesikiliza mijadala mingi sana ktk viunga vya mji huu wa kihistoria kuhusiana na kampeni zinazoendelea.
Nami ktk nyakati na maeneo tofauti nilikuwa najaribu kuchomekea kutaka kujua watu wana matamanio ya kumchagua nani ktk uchaguzi wa 28/10/2020, na kwasabb gani?
Wabagamoyo hawamtaki kabisa Magufuli kwasabb hz zifuatazo:-
- Amefuta ujenzi wa bandari ya Bagamoyo. Hili suala litamnyima kura nyingi sana, kwasbb limewaudhi mno. Ktk kila watu 5 nikioongea nao, 3 wanaligusia hili.
- John alipewa ombi la kujenga kiwanda cha kuchakata mananasi akawajibu nyodo wabagamoyo. Alisema:-"mlikuwa na rais anayetoka hapa, tena ni mkulima wa mananasi hamkumuomba awajengee kiwanda. Mlisubiri mm niwe rais ndiyo nije niwajengee??"
- Madhira waliyo yapata wavuvi wakati wa operehseni ya uvuvi haramu ya waziri Luhaga Mpina. Hapa wavuvi wengi walipigwa na kunyang'anywa nyavu zao Kisha zikachomwa Moto.
- Kufifia kwa biashara ya mqhoteli. Watoto wengi wa wakazi wa Bagamoyo waliokuwa wameairiwa kwenye mahoteli hv Sasa hawana kazi.
Wabagamoyo wameapa kumpa kura zote Lisu.
Ukweli ni upi!?Sio kweli
Biashara ya mahotel na utalii viko ICUKiwete amedhalilishwa Sana. Yaani project kubwa kama Ile ya bandari ambayo ingeinua kipato Cha watu wa Pwani inafutwa kwa maneno rahisi vile??
Tukana tu waku-block wenye mtandao wao.Sijui nikutukane tusi gani kwa upumbavu ulio nao..lakini ngoja nikuache tu
Jamaa ana nyodo siyo za nchi hii.Hii nyodo ni next level aisee ....mlikuwa na rais anayetoka hapa, tena ni mkulima wa mananasi hamkumuomba awajengee kiwanda. Mlisubiri mm niwe rais ndiyo nije niwajengee??"
Biashara za hoteli ameziua kabisa.Biashara ya mahotel na utalii viko ICU
Unajitekenya halafu unacheka mwenyewe, au ndo unataka kututowa kwenye habari ya leo kilichompata kibaraka?Kwa wiki nzima nilikiwa Bagamoyo. Na nimesikiliza mijadala mingi sana ktk viunga vya mji huu wa kihistoria kuhusiana na kampeni zinazoendelea.
Nami ktk nyakati na maeneo tofauti nilikuwa najaribu kuchomekea kutaka kujua watu wana matamanio ya kumchagua nani ktk uchaguzi wa 28/10/2020, na kwasabb gani?
Wabagamoyo hawamtaki kabisa Magufuli kwasabb hz zifuatazo:-
- Amefuta ujenzi wa bandari ya Bagamoyo. Hili suala litamnyima kura nyingi sana, kwasbb limewaudhi mno. Ktk kila watu 5 nikioongea nao, 3 wanaligusia hili.
- John alipewa ombi la kujenga kiwanda cha kuchakata mananasi akawajibu nyodo wabagamoyo. Alisema:-"mlikuwa na rais anayetoka hapa, tena ni mkulima wa mananasi hamkumuomba awajengee kiwanda. Mlisubiri mm niwe rais ndiyo nije niwajengee??"
- Madhira waliyo yapata wavuvi wakati wa operehseni ya uvuvi haramu ya waziri Luhaga Mpina. Hapa wavuvi wengi walipigwa na kunyang'anywa nyavu zao Kisha zikachomwa Moto.
- Kufifia kwa biashara ya mqhoteli. Watoto wengi wa wakazi wa Bagamoyo waliokuwa wameairiwa kwenye mahoteli hv Sasa hawana kazi.
Wabagamoyo wameapa kumpa kura zote Lisu.
Leo mgombea wenu wa CDM katopola kakosa wasikilizaji kaishia kuhutubia viongozi alioambatana naoKwa wiki nzima nilikiwa Bagamoyo. Na nimesikiliza mijadala mingi sana ktk viunga vya mji huu wa kihistoria kuhusiana na kampeni zinazoendelea.
Nami ktk nyakati na maeneo tofauti nilikuwa najaribu kuchomekea kutaka kujua watu wana matamanio ya kumchagua nani ktk uchaguzi wa 28/10/2020, na kwasabb gani?
Wabagamoyo hawamtaki kabisa Magufuli kwasabb hz zifuatazo:-
- Amefuta ujenzi wa bandari ya Bagamoyo. Hili suala litamnyima kura nyingi sana, kwasbb limewaudhi mno. Ktk kila watu 5 nikioongea nao, 3 wanaligusia hili.
- John alipewa ombi la kujenga kiwanda cha kuchakata mananasi akawajibu nyodo wabagamoyo. Alisema:-"mlikuwa na rais anayetoka hapa, tena ni mkulima wa mananasi hamkumuomba awajengee kiwanda. Mlisubiri mm niwe rais ndiyo nije niwajengee??"
- Madhira waliyo yapata wavuvi wakati wa operehseni ya uvuvi haramu ya waziri Luhaga Mpina. Hapa wavuvi wengi walipigwa na kunyang'anywa nyavu zao Kisha zikachomwa Moto.
- Kufifia kwa biashara ya mqhoteli. Watoto wengi wa wakazi wa Bagamoyo waliokuwa wameairiwa kwenye mahoteli hv Sasa hawana kazi.
Wabagamoyo wameapa kumpa kura zote Lisu.
Kipi kimempata? Hiyo hujuma? Ukijikita huko utakuwa unazidi kumdidimiza John. Mwishowe atapata kura 0 nchi nzima.Unajitekenya halafu unacheka mwenyewe, au ndo unataka kututowa kwenye habari ya leo kilichompata kibaraka?
Aliyekataliwa Bagamoyo ni snitch Lisu usipoteze carolies zako kutunga uongo wa kuficha aibu mliyoipataKwa wiki nzima nilikiwa Bagamoyo. Na nimesikiliza mijadala mingi sana ktk viunga vya mji huu wa kihistoria kuhusiana na kampeni zinazoendelea.
Nami ktk nyakati na maeneo tofauti nilikuwa najaribu kuchomekea kutaka kujua watu wana matamanio ya kumchagua nani ktk uchaguzi wa 28/10/2020, na kwasabb gani?
Wabagamoyo hawamtaki kabisa Magufuli kwasabb hz zifuatazo:-
- Amefuta ujenzi wa bandari ya Bagamoyo. Hili suala litamnyima kura nyingi sana, kwasbb limewaudhi mno. Ktk kila watu 5 nikioongea nao, 3 wanaligusia hili.
- John alipewa ombi la kujenga kiwanda cha kuchakata mananasi akawajibu nyodo wabagamoyo. Alisema:-"mlikuwa na rais anayetoka hapa, tena ni mkulima wa mananasi hamkumuomba awajengee kiwanda. Mlisubiri mm niwe rais ndiyo nije niwajengee??"
- Madhira waliyo yapata wavuvi wakati wa operehseni ya uvuvi haramu ya waziri Luhaga Mpina. Hapa wavuvi wengi walipigwa na kunyang'anywa nyavu zao Kisha zikachomwa Moto.
- Kufifia kwa biashara ya mqhoteli. Watoto wengi wa wakazi wa Bagamoyo waliokuwa wameairiwa kwenye mahoteli hv Sasa hawana kazi.
Wabagamoyo wameapa kumpa kura zote Lisu.
Lete picha. Vinginevyo endelea kunywa gongoLeo mgombea wenu wa CDM katopola kakosa wasikilizaji kaishia kuhutubia viongozi alioambatana nao
ZinakujaLete picha. Vinginevyo endelea kunywa gongo
Mkuu sexless, utake usitake, upende usipende, Magu ndo raisi wako for 2021-2025, cjui utahama nchi, or what will be your plans baada ya magu kuapishwa?Kipi kimempata? Hiyo hujuma? Ukijikita huko utakuwa unazidi kumdidimiza John. Mwishowe atapata kura 0 nchi nzima.
Weeee!! Amehujumiwa, kwa kunyimwa kibali cha kuruka na chopa. Ratiba ilionesha kuwa atafika Bagamoyo saa nne lkn kutokana na hujuma akafika saa 12 kasoro robo. Lkn bado watu wakiendelea kusubiri.Aliyekataliwa Bagamoyo ni snitch Lisu usipoteze carolies zako kutunga uongo wa kuficha aibu mliyoipata
Nitaendelea kuwepo nchini. Hiki ni kipindi cha kamapeni so ruksa kuchagua uoqnde unaoushabikia. Uchaguzi ukiisha tutarudi kuwa wachambuzi wa siasa.Mkuu sexless, utake usitake, upende usipende, Magu ndo raisi wako for 2021-2025, cjui utahama nchi, or what will be your plans baada ya magu kuapishwa?
Tundu Lissu ametoka patupu hajakuta wafuasi 😀😀😀😀😀😀😀😀, NimecheeeeeekaaaaaKwa wiki nzima nilikiwa Bagamoyo. Na nimesikiliza mijadala mingi sana ktk viunga vya mji huu wa kihistoria kuhusiana na kampeni zinazoendelea.
Nami ktk nyakati na maeneo tofauti nilikuwa najaribu kuchomekea kutaka kujua watu wana matamanio ya kumchagua nani ktk uchaguzi wa 28/10/2020, na kwasabb gani?
Wabagamoyo hawamtaki kabisa Magufuli kwasabb hz zifuatazo:-
- Amefuta ujenzi wa bandari ya Bagamoyo. Hili suala litamnyima kura nyingi sana, kwasbb limewaudhi mno. Ktk kila watu 5 nikioongea nao, 3 wanaligusia hili.
- John alipewa ombi la kujenga kiwanda cha kuchakata mananasi akawajibu nyodo wabagamoyo. Alisema:-"mlikuwa na rais anayetoka hapa, tena ni mkulima wa mananasi hamkumuomba awajengee kiwanda. Mlisubiri mm niwe rais ndiyo nije niwajengee??"
- Madhira waliyo yapata wavuvi wakati wa operehseni ya uvuvi haramu ya waziri Luhaga Mpina. Hapa wavuvi wengi walipigwa na kunyang'anywa nyavu zao Kisha zikachomwa Moto.
- Kufifia kwa biashara ya mqhoteli. Watoto wengi wa wakazi wa Bagamoyo waliokuwa wameairiwa kwenye mahoteli hv Sasa hawana kazi.
Wabagamoyo wameapa kumpa kura zote Lisu.