Mkuu kama Kenya wagonjwa wa COVID-19 wanaongezeka na hatua za kufungia watu ndani au eneo flani hakuna kuingia au kutoka zinaondolewa, unafikiri kutakuwa na utofauti na Tanzania?
Sijui kama ulifikiria mara mbili kabla ya haujaandika hayo maneno niliyo kunukuu.
Hilo mbona rahisi tu.Thibitisha umwisho wa maneno ukoje.
Acha umamuma , kipengere muhimu sana cha idadi ya wagonjwa tu kimemshinda kutaja, mapambano atayaweza vipi?unajua idadi ya watu waliofariki mpaka Sasa ,acheni masihara na maisha ya watu .Toka lilipoingia janga hili raisi alitoa msimamo kuwa watu waendelee ka kazi ila wachukue tahadali kwa kufuata mashrti yaliyowekwa na wizara ya afya.
Pili, akasema hii ni vita hivyo tutmie kila siraha kupambana na huu ugonjwa, tutmie pia maombi na dawa za asili na kupiga nyungu ili kuutokomeza ugonjwa huu.
Nchi jirani na wanasiasa wa hapa kwetu na baadhi ya viongozi wa dini a wanachi pingapinga wakabeza na kufuata ushoshoo wa ulaya kwamba raisi anashauli vitu vya hovyo, visivyo vya kitaalam.
Sasa wale waliokuwa wanashabikia majirani kuwa wanachukua hatua za kufunga baadhi ya maeneo au kuweka lockdown mkamsikilize Uhuru Kenyata, sasa kasalim amri na amewatangazia wanachi kuwa ataondoa masharti yote ya lockdown na watu waendelee kazi zao ila wachukue hatua za kujikinga.
Huku wagonjwa wakiongezeka kila siku na kufikia elfu moja na zaidi, Mamabukizi yanaongezeka masharti yanaondolewa sasa hapo maana yake nini?
Je, hasara kiasi gani wamepata kwa hizo lockdown na ugonjwa bado upo?
Viva Magufuli. Viva Tanzania kwa kupata raisi mwenye maono.
Avata yako duh!.Uwezo gani wewe jikinge watu wanakufa wewe.Angalia afya yako.Uwezo wa kutokupima watu?uwezo gani waliambia watu wafanye kazi unafanya kazi gani sasa na hayo mazao unamwuzia nano wakati utaki kufuata maelekezo ya kanuni za afya.
Yaani watalii mtawasikia Kenya nyie .Juzi WHO wameandika Tanzania ni kati ya nchi hatari za kutembelea .Mnachekeana tu.Ukiumwa au kuuguliwa ndio utaijua Tz na system iliyopo ya afya.
Kwa hotuba ya President Uhuru Kenyatta ina maana Kenya watafungua mipaka hivyo kupima na kujuwa ugonjwa unatokea mpaka gani haitasaidia kupunguza ugonjwa.Hii ya kupima imewawezesha kujua maambukizi mengi yanatokea mipakani baada ya wiki mbili wakidhibiti mipakani maambukizi hayatakuwepo mengi.Sisi hatuelewi hata maambukizi yako sehemu gani ni vurugu vurugu tu.
Tanzania, kenya ,uganda na Somalia. Inapunguza Soma Lisa cha Korea kusini hawana kifo hata kimoja walianza kutest wazee na walio vonurable kama wagonjwa wa kisukari na kuwa isolate .Ukishajua ugonjwa upo wapi unawatenga watu wachache unamanage maambukizi na vifo.Kwa hotuba ya President Uhuru Kenyatta ina maana Kenya watafungua mipaka hivyo kupima na kujuwa ugonjwa unatokea mpaka gani haitasaidia kupunguza ugonjwa.
Yes mbona unahasira sana.Hii ni JF wala hatujuani.WHO ipo na itakuwepo hata Magu akiondoka miaka mkutano ijayo wavumilie tu waliotangulia wametangulia tu
kupima kuko palepale.Mimi niko secta ya Afya na matokeo yanajulikanaKwa hotuba ya President Uhuru Kenyatta ina maana Kenya watafungua mipaka hivyo kupima na kujuwa ugonjwa unatokea mpaka gani haitasaidia kupunguza ugonjwa.
Umeshaambiwa kwamba 35℅ ya wahanga wa Corona hawaonyeshi dalili za huo ugonjwa maanake no kwamba ukisubiri mtu mwenye dalili tu ndiye apimwe utakuwa unapililia janga la maambukizi kutoka kwa hao wasioonyesha dalili.Hivi mnashadadia kupima, hebu nipeni faida ya kupima corona kwanza zaidi ya kujua status ambapo kama ni -ve haitoi quarantee ya kubakia -ve! Na ikiwa +ve haitoi quarantee kuwa utaugua! Nipeni faida za kupima watu wote hata wasio na dalili nchi nzima zaidi ya kuleta taflani! Angalau tungefanya kampeni ya kupima kifua kikuu na malaria nchi nzima maana tukibaini walioambukizwa tutawatibu kwani matibabu yapo! Nielezeni kuhusu corona!
Ili ujue kupima kuna faida kubwa lazima uwe na uwelewa mpana wa kufikiri na kufuatilia mambo mbalimbali yaliyofanywa na baadhi ya nchi zilizofanikiwa kiasi kupunguza maambukizi katika nchi zao.Hivi mnashadadia kupima, hebu nipeni faida ya kupima corona kwanza zaidi ya kujua status ambapo kama ni -ve haitoi quarantee ya kubakia -ve! Na ikiwa +ve haitoi quarantee kuwa utaugua! Nipeni faida za kupima watu wote hata wasio na dalili nchi nzima zaidi ya kuleta taflani! Angalau tungefanya kampeni ya kupima kifua kikuu na malaria nchi nzima maana tukibaini walioambukizwa tutawatibu kwani matibabu yapo! Nielezeni kuhusu corona!
Acha kudanganya watu, haiwezekani kupima watu wote. Tambua kila baada ya wiki tatu unatakiwa kupima ukizingatia aliyepima leo anaweza kuambukizwa kesho tu. Hapo hujazingatiaKupima watu wote inawezekana kabisa.
Ni suala la kuwa na rasilimali za kutosha na dedicated staff yenye weledi na ari ya kuchapa kazi.
America wanaendelea kupima daily.. ni progressive. Sio kitu cha kupima sehem moja halafu unaacha.
Wanapima na wataendelea japo kuwa itachukua muda mrefu.
Na hawapimi wagonjwa tu. Hata wale ambao hawaonyeshi dalili.
WHO wametoa report juzi juzi kuwa 35% hawaonyeshi dalili japokuwa mdudu anakuwa ameshaingia ndani. Na wanatembea nae.
Huwezi kuonekana wa maana mbele za wazungu kama unafanya maamuzi bila data, hata kama maamuzi hayo yatakuwa sahihi.Uwezo gani wewe jikinge watu wanakufa wewe.Angalia afya yako.Uwezo wa kutokupima watu?uwezo gani waliambia watu wafanye kazi unafanya kazi gani sasa na hayo mazao unamwuzia nano wakati utaki kufuata maelekezo ya kanuni za afya.
Yaani watalii mtawasikia Kenya nyie .Juzi WHO wameandika Tanzania ni kati ya nchi hatari za kutembelea .Mnachekeana tu.Ukiumwa au kuuguliwa ndio utaijua Tz na system iliyopo ya afya.
Wenzako wanafanya maamuzi kwa data, leo nilikuwa naangalia briefing ya UK, viongozi wanapresent data kwa slides wakionesha graphs za vifo na maambukizi zinavyopungua.Katizame speech ya kenyata utajua kuwa hata ukipima haisaidii,
pia kupima watu wote ni kitu hakijawezekana, hata huko marekani toka wamepima hwajafikia hata robo ya watu wake na wako na uwezo mkuwa wa kifedha.
Watapimwa wale wanaoonyesha dalili tu, pia ujue hukobkenya wamejikinga na kupima lakini ugonjwa unazidi kusambaa sasa nipe jibu hapo wame pass au wameshindwa?
Wewe ndio huiamini WHO kwa sababu ya ulofa wako, lakini nchi zote zenye akili zinafuata ushauri wa WHO ikiwa ni pamoja na wewe.Who is WHO? WHO imeshapoteza mvuto, kote duniani haiaminiwi! Itabidi lianzishwe shirika mbadala wa WHO!
Tz ipo vizuri na watalii wataendelea kuja kwa kasi! Mungu naombi uzidi ibariki Tz!
Tofauti ni kubwa, Kenya wana data sisi hatuna. Watu wenye akili wataona ni afadhali kwenda Kenya kuliko Tanzania.Mkuu kama Kenya wagonjwa wa COVID-19 wanaongezeka na hatua za kufungia watu ndani au eneo flani hakuna kuingia au kutoka zinaondolewa, unafikiri kutakuwa na utofauti na Tanzania?
Sijui kama ulifikiria mara mbili kabla ya haujaandika hayo maneno niliyo kunukuu.
Tanzania tumekosea sana, kama tungechukua tahadhari mapema tusingefiwa na watumishi wa Mungu, mkuu wa wilaya, wafanyabiashara, n.k.Hapo sina tatizo kuhusu ugonjwa upo, shida yangu ni kwamba watu walitaka tufanye kama ulaya huku sisi ni africca,
Shida nipale watu walimbeza mr president kisha aliyoamua katika taifa ndo mataifa yanaaza kurudi huko huku wampata hasara,
Mataifa ya africa tungepiga nyungu wote na kunywa mavitunguu swaum tungepunguza sana tatizo.