Haaπππ ππJiwe anaongea lugha gan na huyu beberu?
Upo vizuri kwenye promotions na online marketing.Niwie radhi kaka yangu mimi sipo kwenye mambo ya siasa
Ila kila ukimuuliza kijana anasema atapigia Magufuli kura
Mimi nimeleta maoni ya watu
Wote. Mbona sisi huku singida hatutaki hata kumuona. Zao letu la mbaazi kaliharibu na sasa Galina solo kabisaWote wakiulizwa wanasema wanampenda na watampigia kura Rais Magufuli
hujui kitu !! we ni mgeni jukwaa hili tulia kijana.Beberu halina maana hiyo,history ulipata f nini?
Ukimwuliza kijana gani?Niwie radhi kaka yangu mimi sipo kwenye mambo ya siasa
Ila kila ukimuuliza kijana anasema atapigia Magufuli kura
Mimi nimeleta maoni ya watu
ππ Siasa hiziNi jambo jema.
Tundu Lisu yuko kariakoo anawasalimia mama lishe!
Wote. Mbona sisi huku Singida hatutaki hata kumuona. Zao letu la mbaazi kaliharibu na sasa Galina solo kabisa
Kibwengo Kama kibwengo πMpikie mumeo chai Acha kulopoka
Zao la mbaazi singida ππ.Wote. Mbona sisi huku singida hatutaki hata kumuona. Zao letu la mbaazi kaliharibu na sasa Galina solo kabisa
Singida mjini wanalima mbaazi pia na soka jpm ameliuwa pia korosho Kule kwingine hawamtaki hata kumuona na walimtaka kumuua one day akakwepaHapana wanazusha uwongo kaka, singida wanalima alizet tu
Zao la mbaazi kwa ujumla. Nimetoa mfano tu singida mjini wanalima mbaazi sana tuZao la mbaazi singida ππ.
Singida mjini wanalima mbaazi pia na soka jpm ameliuwa pia korosho Kule kwingine hawamtaki hata kumuona na walimtaka kumuua one day akakwepa
Acha uongoNiwie radhi kaka yangu mimi sipo kwenye mambo ya siasa
Ila kila ukimuuliza kijana anasema atapigia Magufuli kura
Mimi nimeleta maoni ya watu
Uongo uko wapi? Kwani solo la mbaazi lipo? Si jpm kaliua kwa ubabe wake na bungeni wakawakejeli wakulima kwama wazile wenyeweHuo ni uwongo tu kaka Rais Magufuli anafanya maendeleo sana
Kila ukimuuliza kijana anasema atapigia Magufuli kura
Acha uongo
Mjinga kweliHapana wanazusha uwongo kaka, singida wanalima alizet tu
Tarehe 29 October MkuuNa yule 'Mwakilishi' wa 'Wabeleshi / Wabelgiji' ambaye ni Balozi wa 'Mabeberu' kwa hapa nchini Tanzania TL nae 'Hati' yake ataiwasilisha lini labda?
Mjinga kweli
Vitunguu,mbaazi, dengu na karanga zote huzijui?