Rais Magufuli asikitishwa na vurugu za mechi ya Simba na Yanga,Sasa zazuiwa kutumia Uwanja wa Taifa

Rais Magufuli asikitishwa na vurugu za mechi ya Simba na Yanga,Sasa zazuiwa kutumia Uwanja wa Taifa

Uwanja utatumika kwa parade za majeshi tu. Kweli jpm ana busara!
 
Ila kumbuka ' upumbavu ' wa Mtanzania mmoja unawakilisha ' upumbavu ' wa Watanzania wote Mimi na Wewe ' inclusive '.
Hapa umeandika nini ? Mimi nimesema baadhi unaniletea habari zako za inclusive
 
Wamewafungia cha serikali ili watumie bus ccm wapate mapato, ilitakiwa wafungie mashabiki kuingia uwanjani mechi znazowausu apa dar
 
Watatumia uwanja gani? Wekeni njia mbadala za
kutatua matatizo kama ya kadi, kuwaelimisha mashabiki na wakifanya uharibifu basi mzuie pesa zao lakini sio kusema wote waadhibiwe kuto tumia uwanja wa taifa sabb ya wavuta bangi wachache.....
Ndio hapo wawathibiti hao wavuta bangi
 
Ustaarabu wetu katika kutunza mali za umma ni sifuri. Tujisahihishe!
 
Refa hamfundishi mtu ustaarabu Simba ni wahuni tu mbona Yanga ilipigwa 5-1 na wachezaji wao 2 wakapigwa red card hawakung'oa kiti hata kimoja??
Sijui kama hiyo marufuku itadumu wakati wote. Cha msingi tuangalie wapi tulipojikwaa tusiangalie tulipoangukia. Hivi unafikiri kwa marefa kama wale soka letu litapiga hatua???!
 
FB_IMG_1475406364016.jpg
Wachezaji kutoka azam, mtibwa nk watacheza timu ya taifa na sio lazima watoke simba na yanga. Kumbuka club yoyote hairuhusiwi na FIFA kumkataza mchezaji kui
Wapuuzi sana hawa Mashabiki wa Simba aisee! Sijui waling'oa viti kumkomoa Yanga, TFF au Serikali?
 
Hivi habari hii imethibitishwa au ndio watu mnazusha tuuuu!
 
Wanawafungia wakati wanaleta mfumo wa kielectronik ambao umewashinda wenyewe na kuleta marefa wabovu
 
Baada ya Uharibifu mkubwa wa Viti vya uwanja wa Taifa jijini Dar es Salaam uliokuwa unafanywa mara kwa mara na Mashabiki wanaoongozwa kwa Mihemko, Hasira na Matumizi yatokanayo na vilevi vikali kama Bange, Mirungi, Viloba n.k yaani Mashabiki wa Simba SC kwa nyakati Tofauti Tofauti umesababisha wizara husika kupitia waziri Nape Nnauye kupiga Marufuku klabu za Simba SC na YANGA SC kutumia uwanja huo kwa mechi za LigiKuu kuanzia hivi leo.

Mtanzania hajui kitu kizuri,so ilibidi hata uwanja usiwe na viti wakae kwenye sakafu ya simenti,yaani ustaarab zero koki za maji wanang'oa,wanakunywa na kukojoa sehwmu za kunawia yaani taabu tupu
 
Ndio,eeee kweli,haiwezekani,tena....wajenge tumechoka vita na wapangaji!...
 
Back
Top Bottom