Rais Magufuli ataja sababu kusitisha ujenzi bandari ya Bagamoyo kwa Mkopo wa Dola Bilioni 10

Ni Tanzania tu ambapo kiongozi aliyekuwa kimya mpaka mkataba wa kinyonyaji ukapita anakuja kusema huo mkataba ulikuwa mbovu! Wakati huo huo hata yeye huo Mkataba hataki kuonyesha nini kiko ndani ya huo mkataba alipokubali upite, kisha akaukataa.
Unaelewa fika jinsi katiba ya Tanzania ilivyo na kuwa Rais ndiyo mwisho wa kila kitu, ulitaka Magu kama waziri afanyeje?
Kichekesho ni pale rais huyo huyo anapogomea katiba mpya ili mambo yaendeshwe kwa uwazi zaidi na watu wanashangilia na kusema ni kiongozi sahihi!
Hivi ukimfunamia mzee wako na dada wa kazi utapiga tarumbeta kuwaambia majirani?
 
Unaelewa fika jinsi katiba ya Tanzania ilivyo na kuwa Rais ndiyo mwisho wa kila kitu, ulitaka Magu kama waziri afanyeje?

Hivi ukimfunamia mzee wako na dada wa kazi utapiga tarumbeta kuwaambia majirani?

Katiba ya Tanzania inasema kila mwananchi ni mlinzi wa rasilimali ya umma, au yeye anasoma katiba ipi?

Unaifananisha nchi na ngono ya mzazi wako?
 
Huna utetezi wenye mashiko zaidi ya kuleta mipasho.
Kama Magufuli angepayuka na kupiga kelele, leo hii asingeweza kuwa na nafasi ya kubadilisha mikataba ya madini, kuzuia leseni ya IPTL na kufufua mashirika ya uchukuzi.
 
Kama Magufuli angepayuka na kupiga kelele, leo hii asingeweza kuwa na nafasi ya kubadilisha mikataba ya madini, kuzuia leseni ya ITPL na Kufufua mashirika ya uchukuzi.

Kwa hiyo kubadilisha jambo nchi hii ni mpaka uwe rais? Sasa mnapotaka watu wawe wazalendo kabla hawajawa maraisi mnaamaanisha nini? Hamjui mpaka uonyeshe uzalendo ni lazima uwe rais?
 
Kwa hiyo kubadilisha jambo nchi hii ni mpaka uwe rais? Sasa mnapotaka watu wawe wazalendo kabla hawajawa maraisi mnaamaanisha nini? Hamjui mpaka uonyeshe uzalendo ni lazima uwe rais?
Hapana, hata wewe unayehoji unaweza kuwa mzalendo ila kufanya jambo kubwa nchi nzima lazima uwe na dhamana na hakuna mwenye hiyo dhamana zaidi ya rais.
 
Hapana, hata wewe unayehoji unaweza kuwa mzalendo ila kufanya jambo kubwa nchi nzima lazima uwe na dhamana na hakuna mwenye hiyo dhamana zaidi ya rais.

Mkuu jamaa amekuuliza nani mwenye dhamana ya kulinda rasirimali za nchi?
Nafikiri kuwa mzalendo ni pamoja na kuweka misingi imara itakayozuia mambo mabaya yasitokee siku za usoni, sasa misingi ni pamoja na kubadili katiba na baadhi ya sheria ili ziweze kuilinda nchi kila penye mwanya wa kutuingiza kwenye shida.. Huwezi kuwa mzalendo au kujiita mzalendo halafu ukashindwa kuweka misingi imara ya siku za usoni.
 
Hapana, hata wewe unayehoji unaweza kuwa mzalendo ila kufanya jambo kubwa nchi nzima lazima uwe na dhamana na hakuna mwenye hiyo dhamana zaidi ya rais.

Huo ujinga wa kwamba rais ndio mwenye dhamana ya kufanya jambo kubwa la nchi ndio hapo kama nchi tumejikuta tunaendeshwa kwa utashi wa rais, akiamua kutupiga anatupiga kisha genge lake linamtetea. Sisi tunaoamini kwenye nguvu za mtu tunaamini mifumo ndio sahihi kwa kuendesha nchi kwani mustakabali wa nchi hautapimwa kwa utashi wa rais.
 
Salaam hizi ziwafikie wakaazi wa msoga wote kuwa kila masika na mbu wake
 
Hayo maneno yako nakumbuka uliwahi kuyasema enzi za kikwete
 
Mikatabba ya Kiwanja cha ndege cha Chato, ya Stiegler's Gorge, ya ununuzi wa ndege pia viwekwe hadharani, ili watanzania wafanye comparisons!!!
Tutashukuru sana tukiwekewa hiyo mikataba
 
Ngoja tusikie mabobezi ya ukosowaji toka ufipani yakija na taarifa ya madhara tutakayopata kuukataa mradi huu usiendelee niko pembeni mwa smartphone yangu nasubiria mapovu kwa makamanda
Tuna mpa pole mzee mswahili wa msoga
 
Hiyo yote inafanyika chini ya ccm
 
JK naye alikuwa na mambo ya hovyo sana, miswaada na mikataba ilikuwa inapitishwa bungeni tena usiku
Hilo bunge, wajumbe wake walikuwa kina nani? Nitajie wawili maarufu kama utawakumbuka.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…